Kweli mkuu unakuta kajitu kanaroho mbayaaaaa kisa kana PhD wala hakana mbele wala nyuma hakana ela hakana impact kwenye jamii kapo kapo.....big up dr tale tale na dr msukuma
Sijatukana PhD bali nasema wenye PhD kua na roho mbaya kuona watu wenye impact kwenye jamii kupewa hizo PhD....kwani msukuma anashida gani ya ela iyo PhD itamuongezea nn kwenye mishe zake kama sio heshima tu............Roho mbaya inahusiana Nini na PhD?. Akina msukuma imebidi wanunue ili na wao waiter madokta. Mnaitukana PhD wakati huo huo mnaenda kuinunua.
Nani kakwambia PhD unapata darasani? PhD ni uchimbuzi, Zaidi na kufanya research; kuhakikisha kinadharia na matendo.Ni kweli
Jaffo katupiga Kwenye madarasa enzi za Shujaa sasa na yeye ni PhD holder
Taja wawiliHao wanaopata hiyo PhD inaoitwa rasmi wengi wao wanawasilisha thesis bandia walioandikiwa. Ukilipa 500K utafanyiwa research kisha utaandikiwa dissertation safi utawasilisha na kupata hiyo PhD. WAPO WENGI
Na mkashangilia kwa nderemo na vifijo!! Yaan mataga nyie 🤾Ni kweli
Jaffo katupiga Kwenye madarasa enzi za Shujaa sasa na yeye ni PhD holder
Hata KUB alishangilia kule MachameNa mkashangilia kwa nderemo na vifijo!! Yaan mataga nyie 🤾