Watu wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema Sepetu

Kwa kweli mimi nimemjua zaidi kwenye kile kipindi chake cha in my shoes,ni mbishi na mkorofi hapendi kukosolewa kabisa!
Mimi siwezi kuishi naye tungepigana hadharani!

Ungezichapa nae kavukavu??? Hahaha
 
We mwache ipo cku atakutana na watu waliopinda halafu atashika adabu yake....u celebrity wa kipumbavu huu sijapata ona
 

Nshaona clip yake jinc anavoporomoa mitus tena kwa saut mpaka wafanyakaz wanakimbia kujficha nyuma ya nyumba. Mmhh huyu bint cjui ni ln ataacha maisha ya kuigiza
 

Word! Wema unaweza kukuta amepanga haya yote ili kuuza zaidi kipindi chake! Hii imekaa kibiashara zaidi japo kwa ninavyo muona Wema hashindwi kupiga mtu kabisa maana hakubali kushindwa na nimjuaji!

Sito shangaa siku Martin Kadinda akipigwa hadharani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…