Watu wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema Sepetu

Watu wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema Sepetu

Huwezi kuokota embe chini ya mchungwa...
Mimi wala sishangai...

Clip ya mama yake anaporomosha matusi ya aibu na umri ule ndio ilinifanya niache kumshangaa...
 
sikuwah kua na mahaba na wema aiseeee hyu mdada hapana jamani mwacheni Diamond afanye yake
 
Weka picha.

Unataka Picha?
Hii hapa:
images.jpg
 
Huyo binti atakuja kufa kifo kibaya sana.

Na kama mmoja wao hao watu wanaodaiwa kupigwa ningekuwa mimi, basi ningemuwinda huyo Wema nimuue kikatili sana.

Yeye ni nani hadi awe anaamrisha watu wake wawapige watu wengine?

Kama hao jamaa hawatalipiza kisasi nitawaona wajinga kabisa.

Na ingekuwa ni mimi ningepigana mpaka mwisho. Siwezi kuruhusu kunyanyaswa na mtu mwingine.

Heri nife nikipigana kutetea utu wangu kuliko kukubali kupokea kichapo nikiwa nimejikunyata kwa woga.

Miafrika ndivyo tulivyo, kupenda kuabudiwa.
Kama ni kweli hii imetokea basi huyu Dada siku zake zinahesabika.
Nasikia aliwahi tena kumlamba vibao Meneja wa Hoteli mpaka akashtakiwa.
 
Mmmh huyo mama steve nae mpana...

Halafu unaweza kukuta mafundi wamelipwa kudundwa ili kurushwa kwenye in my shoes

Lakini kama ana kamkono kepesi ka kupika utamponza

Ila kama hao mafundi wanaume...halafu wamepigwa mpaka kuvuliwa nguo...... uanaume wao inabidi uchunguzwe zaidi

Sasa wanaume wawili mbele ya wanaume saba mabaounsa watafanya nini?

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Huyo binti atakuja kufa kifo kibaya sana.

Na kama mmoja wao hao watu wanaodaiwa kupigwa ningekuwa mimi, basi ningemuwinda huyo Wema nimuue kikatili sana.

Yeye ni nani hadi awe anaamrisha watu wake wawapige watu wengine?

Kama hao jamaa hawatalipiza kisasi nitawaona wajinga kabisa.

Na ingekuwa ni mimi ningepigana mpaka mwisho. Siwezi kuruhusu kunyanyaswa na mtu mwingine.

Heri nife nikipigana kutetea utu wangu kuliko kukubali kupokea kichapo nikiwa nimejikunyata kwa woga.

well said.....ur really a fighter dude
 
Hahahaa hakya mungu mwaka unaniishia vizuri mambo yanaenda step kwa step,ngoja niendelee na juisi yangu ya ukwaju
 
jamani petit kushinda kwa wema ni sana yuko kazini kwake kama nyie mnavyoshinda maofisin mkiacha wake zenu home. mlitaka akaibe. hivi kuna muigizagji mwingine ana wanyakazi wengi kama wema? duu wema is not only a problem is an issue!
 
Uhmmmm,wanawake wasio zaa hawana uchungu wanastress znazofanana
 
Huyu Petit ndio shemeji wa Diamond sasa nimeelewa kwanini nilisikia Diamond alikuwa hamkubali jamaa! Yani huyu hana shughuli ya kufanya? au pale nyumbani kwa Wema ndio ofisi? Wema atakuwa ana walipa!

Wale ni makuwadi wa Wema,kila mmoja anafight kule pedeshee lenye mapesa
 
Hahahaa! Umefanya niombee sana muanze kuishi pamoja kazi yangu iwe kukusanya ndoo za popcorn. Ila wapambe wake ndo wanamharibu sana na kumfanya awe kama mtemi mtemi.
Ova

Hahahaaa usisahau na first aid kit maana damu zingemwagika kila siku,ningemshikisha adabu!
 
Back
Top Bottom