Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Haahaaaaaaaa,you have made my night
Have a good night+ sweet dreams.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaaaaaaaa,you have made my night
Hivi mtu unawezaje kuvutiwa na mwanaume kama petit!!!???
Mi nilijua Petit ni kale ka mbwa kake, kumbe ni mtu? Mwenye picha ake anipatie please na mm nimjue petit
Huyo binti atakuja kufa kifo kibaya sana.
Na kama mmoja wao hao watu wanaodaiwa kupigwa ningekuwa mimi, basi ningemuwinda huyo Wema nimuue kikatili sana.
Yeye ni nani hadi awe anaamrisha watu wake wawapige watu wengine?
Kama hao jamaa hawatalipiza kisasi nitawaona wajinga kabisa.
Na ingekuwa ni mimi ningepigana mpaka mwisho. Siwezi kuruhusu kunyanyaswa na mtu mwingine.
Heri nife nikipigana kutetea utu wangu kuliko kukubali kupokea kichapo nikiwa nimejikunyata kwa woga.
Mmmh huyo mama steve nae mpana...
Halafu unaweza kukuta mafundi wamelipwa kudundwa ili kurushwa kwenye in my shoes
Lakini kama ana kamkono kepesi ka kupika utamponza
Ila kama hao mafundi wanaume...halafu wamepigwa mpaka kuvuliwa nguo...... uanaume wao inabidi uchunguzwe zaidi
View attachment 208813
Huyo wa mbele ndo petit ana mke ila anashinda nyuma ya wema kama mkia wake wema mwenyewe anawaita "my boys"
hii mijanaume sijui fyatu
Huyo binti atakuja kufa kifo kibaya sana.
Na kama mmoja wao hao watu wanaodaiwa kupigwa ningekuwa mimi, basi ningemuwinda huyo Wema nimuue kikatili sana.
Yeye ni nani hadi awe anaamrisha watu wake wawapige watu wengine?
Kama hao jamaa hawatalipiza kisasi nitawaona wajinga kabisa.
Na ingekuwa ni mimi ningepigana mpaka mwisho. Siwezi kuruhusu kunyanyaswa na mtu mwingine.
Heri nife nikipigana kutetea utu wangu kuliko kukubali kupokea kichapo nikiwa nimejikunyata kwa woga.
Aiseeeee!Noma sana!
Msigazi!Wema naija kukukoma
Huyu Petit ndio shemeji wa Diamond sasa nimeelewa kwanini nilisikia Diamond alikuwa hamkubali jamaa! Yani huyu hana shughuli ya kufanya? au pale nyumbani kwa Wema ndio ofisi? Wema atakuwa ana walipa!
Hahahaa! Umefanya niombee sana muanze kuishi pamoja kazi yangu iwe kukusanya ndoo za popcorn. Ila wapambe wake ndo wanamharibu sana na kumfanya awe kama mtemi mtemi.
Ova