Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo.

Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA ni Jacob Mlay na Frank Mbise.

GVjzp_gWQAAr9Cd.jpg
GVjzp_hXkAAQw3R.jpg
GVjzp_aWIAAwXM0.jpg

Malisa ameandika haya;

Leo ni siku ya 5 vijana watatu wa Chadema wanaodaiwa kutekwa huko Temeke hawajulikani walipo. Deus Soka, Jacob Mlay na Frank Mbise.

Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka afike polisi Chang'ombe kwa utambuzi wa pikipiki yake iliyoibiwa mwaka 2023.

Soka alikua anamiliki pikipiki, akampa mshkaji wake Frank Mbise aendeshe, lakini ikaibiwa. Wakatoa taarifa Polisi Chang'ombe ambapo lilifunguliwa jalada la uchunguzi.

Pia soma: Kuelekea 2025 - CHADEMA yadai Viongozi wake Wilayani Temeke wameshikiliwa, Polisi wakana

Kwahiyo alipopigiwa simu kwamba pikipiki imepatikana ilikua habari njema. Akamjulisha Frank waende pamoja maana ndiye aliyekua na pikipiki wakati inaibiwa. Akampigia pia Katibu wa Chadema Wilaya ya Temeke, Jacob Mlay kumjulisha kuhusu wito wa Polisi. Mlay akamshauri waende pamoja. Kwahiyo ikawa timu ya watu watatu; Deus Soka, Frank Mbise na Jacob Mlay.

Wakiwa wanaelekea kituoni kupanda gari ilitokea Noah nyuma yao. Ghafla wakatoka watu wenye silaha na kuwaamuru kuingia. Kabla hawajafanya lolote wakaporwa simu zao na kisha gari ikaondolewa kwa kasi.

Baadhi ya Mashuhuda wanasema waliona vijana watatu wanatembea na ghafla ikaja Noah wakatoka watu wenye makoti, kisha wale vijana wakaingia ndani. Hawakuelewa kama lilikua tukio la utekaji.

Taarifa imetolewa Polisi lakini wamekanusha kuwashikilia na wamekanusha kumpigia simu Soka akafuate pikipiki yake.

Lakini familia haina imani na Polisi kwa sababu, Polisi walikanusha kumshikilia Kombo Mbwana, lakini baada ya siku 29 wakakiri yupo mikononi mwao. Pia ni Polisi haohao waliokanusha kumshikilia Robert Mushi lakini baada ya siku 10 mwili wake ukakutwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Familia ya Soka inadai ndugu yao amekua akipokea vitisho kutoka kwenye vyombo vya Dola. Tar 10 August vijana wa Chadema Temeke walikamatwa wakielekea Mbeya kwenye kongamano la Bavicha, wakapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe, lakini Soka alipelekwa Kilwa Road. Tar.12 Soka alitolewa Kilwa Road na kupelekwa Chang'ombe ili akapewe dhamana pamoja na wenzie.

Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
 
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo.

Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA ni Jacob Mlay na Frank Mbise.

Malisa ameandika haya;

Leo ni siku ya 5 vijana watatu wa Chadema wanaodaiwa kutekwa huko Temeke hawajulikani walipo. Deus Soka, Jacob Mlay na Frank Mbise.

Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka afike polisi Chang'ombe kwa utambuzi wa pikipiki yake iliyoibiwa mwaka 2023.

Soka alikua anamiliki pikipiki, akampa mshkaji wake Frank Mbise aendeshe, lakini ikaibiwa. Wakatoa taarifa Polisi Chang'ombe ambapo lilifunguliwa jalada la uchunguzi.

Kwahiyo alipopigiwa simu kwamba pikipiki imepatikana ilikua habari njema. Akamjulisha Frank waende pamoja maana ndiye aliyekua na pikipiki wakati inaibiwa. Akampigia pia Katibu wa Chadema Wilaya ya Temeke, Jacob Mlay kumjulisha kuhusu wito wa Polisi. Mlay akamshauri waende pamoja. Kwahiyo ikawa timu ya watu watatu; Deus Soka, Frank Mbise na Jacob Mlay.

Wakiwa wanaelekea kituoni kupanda gari ilitokea Noah nyuma yao. Ghafla wakatoka watu wenye silaha na kuwaamuru kuingia. Kabla hawajafanya lolote wakaporwa simu zao na kisha gari ikaondolewa kwa kasi.

Baadhi ya Mashuhuda wanasema waliona vijana watatu wanatembea na ghafla ikaja Noah wakatoka watu wenye makoti, kisha wale vijana wakaingia ndani. Hawakuelewa kama lilikua tukio la utekaji.

Taarifa imetolewa Polisi lakini wamekanusha kuwashikilia na wamekanusha kumpigia simu Soka akafuate pikipiki yake.

Lakini familia haina imani na Polisi kwa sababu, Polisi walikanusha kumshikilia Kombo Mbwana, lakini baada ya siku 29 wakakiri yupo mikononi mwao. Pia ni Polisi haohao waliokanusha kumshikilia Robert Mushi lakini baada ya siku 10 mwili wake ukakutwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Familia ya Soka inadai ndugu yao amekua akipokea vitisho kutoka kwenye vyombo vya Dola. Tar 10 August vijana wa Chadema Temeke walikamatwa wakielekea Mbeya kwenye kongamano la Bavicha, wakapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe, lakini Soka alipelekwa Kilwa Road. Tar.12 Soka alitolewa Kilwa Road na kupelekwa Chang'ombe ili akapewe dhamana pamoja na wenzie.

Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
Simiyu wameandamana, nyinyi subirini kibali cha Polisi.
 
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo.

Halafu suala la ajenda za nchi, usijiweke mbele, subiri mifumo yenyewe iji-set. Jamii yenyewe huwa inajiivisha, na inakuwa tayari kwa mabadiliko. Ndio maana kwa Tanzania, mnataka watu waandamane, kwanza watu wenyewe wanawashangaa. Mnasema sijui katiba mpya, jamii kwa ujumla haijafikia hatua ya kuihitaji as long as serikali haiiwekei makucha jamii hiyo kwa ujumla wake, ukiacha wake wenye akili zilizopiga shoti kama Mdude Nyagali. Hawa lazima wapate mikwaruzo, kwa kuwa wanatembea kwenye eneo lenye umeme mkubwa.
 
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo
Ungesoma ungeelewa, ila kwakuwa unalipwa kwa post hukuangaisha ubongo wako kusoma na kuelewa kilichoandikwa.
 
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo.

Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA ni Jacob Mlay na Frank Mbise.


Malisa ameandika haya;

Leo ni siku ya 5 vijana watatu wa Chadema wanaodaiwa kutekwa huko Temeke hawajulikani walipo. Deus Soka, Jacob Mlay na Frank Mbise.

Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka afike polisi Chang'ombe kwa utambuzi wa pikipiki yake iliyoibiwa mwaka 2023.

Soka alikua anamiliki pikipiki, akampa mshkaji wake Frank Mbise aendeshe, lakini ikaibiwa. Wakatoa taarifa Polisi Chang'ombe ambapo lilifunguliwa jalada la uchunguzi.

Kwahiyo alipopigiwa simu kwamba pikipiki imepatikana ilikua habari njema. Akamjulisha Frank waende pamoja maana ndiye aliyekua na pikipiki wakati inaibiwa. Akampigia pia Katibu wa Chadema Wilaya ya Temeke, Jacob Mlay kumjulisha kuhusu wito wa Polisi. Mlay akamshauri waende pamoja. Kwahiyo ikawa timu ya watu watatu; Deus Soka, Frank Mbise na Jacob Mlay.

Wakiwa wanaelekea kituoni kupanda gari ilitokea Noah nyuma yao. Ghafla wakatoka watu wenye silaha na kuwaamuru kuingia. Kabla hawajafanya lolote wakaporwa simu zao na kisha gari ikaondolewa kwa kasi.

Baadhi ya Mashuhuda wanasema waliona vijana watatu wanatembea na ghafla ikaja Noah wakatoka watu wenye makoti, kisha wale vijana wakaingia ndani. Hawakuelewa kama lilikua tukio la utekaji.

Taarifa imetolewa Polisi lakini wamekanusha kuwashikilia na wamekanusha kumpigia simu Soka akafuate pikipiki yake.

Lakini familia haina imani na Polisi kwa sababu, Polisi walikanusha kumshikilia Kombo Mbwana, lakini baada ya siku 29 wakakiri yupo mikononi mwao. Pia ni Polisi haohao waliokanusha kumshikilia Robert Mushi lakini baada ya siku 10 mwili wake ukakutwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Familia ya Soka inadai ndugu yao amekua akipokea vitisho kutoka kwenye vyombo vya Dola. Tar 10 August vijana wa Chadema Temeke walikamatwa wakielekea Mbeya kwenye kongamano la Bavicha, wakapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe, lakini Soka alipelekwa Kilwa Road. Tar.12 Soka alitolewa Kilwa Road na kupelekwa Chang'ombe ili akapewe dhamana pamoja na wenzie.

Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
LAKINI sOKA ALISHASEMAKUWA KUWA OCCID WA TEMEKE ANAMFUATILIA SANA. POLISI WANAYE HUYU KIJANA


“Nisipoonekana uraiani muulizeni OCCID wa Temeke anayeitwa Mohammed Mirabo, kwasababu ananifuatilia sana kila siku”Maneno ya Mwanaharakati
@DEUSDEDITHSOKA
ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Temeke kabla ya kukamatwa na jeshi la polis
@tanpol
pamoja na wenzake wawili.
https://x.com/Grounders_/status/1826313707476947400/photo/1
 
Hizo ndizo gharama za harakati R.I.P CHE GUEVARA at least wewe ulikua na unacho kipambania..

serikali huwa inatumia mbinu mbali mbali moja ya mbinu ni to be ""ELIMINATED""

img_1_1724301812690_1.jpg
 
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo.

Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA ni Jacob Mlay na Frank Mbise.


Malisa ameandika haya;

Leo ni siku ya 5 vijana watatu wa Chadema wanaodaiwa kutekwa huko Temeke hawajulikani walipo. Deus Soka, Jacob Mlay na Frank Mbise.

Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka afike polisi Chang'ombe kwa utambuzi wa pikipiki yake iliyoibiwa mwaka 2023.

Soka alikua anamiliki pikipiki, akampa mshkaji wake Frank Mbise aendeshe, lakini ikaibiwa. Wakatoa taarifa Polisi Chang'ombe ambapo lilifunguliwa jalada la uchunguzi.

Pia soma: Kuelekea 2025 - CHADEMA yadai Viongozi wake Wilayani Temeke wameshikiliwa, Polisi wakana

Kwahiyo alipopigiwa simu kwamba pikipiki imepatikana ilikua habari njema. Akamjulisha Frank waende pamoja maana ndiye aliyekua na pikipiki wakati inaibiwa. Akampigia pia Katibu wa Chadema Wilaya ya Temeke, Jacob Mlay kumjulisha kuhusu wito wa Polisi. Mlay akamshauri waende pamoja. Kwahiyo ikawa timu ya watu watatu; Deus Soka, Frank Mbise na Jacob Mlay.

Wakiwa wanaelekea kituoni kupanda gari ilitokea Noah nyuma yao. Ghafla wakatoka watu wenye silaha na kuwaamuru kuingia. Kabla hawajafanya lolote wakaporwa simu zao na kisha gari ikaondolewa kwa kasi.

Baadhi ya Mashuhuda wanasema waliona vijana watatu wanatembea na ghafla ikaja Noah wakatoka watu wenye makoti, kisha wale vijana wakaingia ndani. Hawakuelewa kama lilikua tukio la utekaji.

Taarifa imetolewa Polisi lakini wamekanusha kuwashikilia na wamekanusha kumpigia simu Soka akafuate pikipiki yake.

Lakini familia haina imani na Polisi kwa sababu, Polisi walikanusha kumshikilia Kombo Mbwana, lakini baada ya siku 29 wakakiri yupo mikononi mwao. Pia ni Polisi haohao waliokanusha kumshikilia Robert Mushi lakini baada ya siku 10 mwili wake ukakutwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Familia ya Soka inadai ndugu yao amekua akipokea vitisho kutoka kwenye vyombo vya Dola. Tar 10 August vijana wa Chadema Temeke walikamatwa wakielekea Mbeya kwenye kongamano la Bavicha, wakapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe, lakini Soka alipelekwa Kilwa Road. Tar.12 Soka alitolewa Kilwa Road na kupelekwa Chang'ombe ili akapewe dhamana pamoja na wenzie.

Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
Mwenyezi Mungu atuokoe
 
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo.

Halafu suala la ajenda za nchi, usijiweke mbele, subiri mifumo yenyewe iji-set. Jamii yenyewe huwa inajiivisha, na inakuwa tayari kwa mabadiliko. Ndio maana kwa Tanzania, mnataka watu waandamane, kwanza watu wenyewe wanawashangaa. Mnasema sijui katiba mpya, jamii kwa ujumla haijafikia hatua ya kuihitaji as long as serikali haiiwekei makucha jamii hiyo kwa ujumla wake, ukiacha wake wenye akili zilizopiga shoti kama Mdude Nyagali. Hawa lazima wapate mikwaruzo, kwa kuwa wanatembea kwenye eneo lenye umeme mkubwa.
Mkuu Chiembe sidhani kama wewe una kibri zaidi ya Kheri James wa Enzi zile.

Lakini yaliisha akajifunza sasa hivi anachapa kazi. Ameachana na mambo hayo.

Mungu akusaidie sana.
 
Mkuu Chiembe sidhani kama wewe una kibri zaidi ya Kheri James wa Enzi zile.

Lakini yaliisha akajifunza sasa hivi anachapa kazi. Ameachana na mambo hayo.

Mungu akusaidie sana.
Heri James kijana wa kabuhoro Kirumba, Mwanza alikuwa na mbwembwe za siasa tu.

Sawa na Mwaipaya, akiongea unaweza kudhani anaweza kubeba gunia la kilo 100, kumbe "mdebwedo", kama ulizaliwa 2000, hilo neno hutalielewa
 
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo.

Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA ni Jacob Mlay na Frank Mbise.


Malisa ameandika haya;

Leo ni siku ya 5 vijana watatu wa Chadema wanaodaiwa kutekwa huko Temeke hawajulikani walipo. Deus Soka, Jacob Mlay na Frank Mbise.

Siku ya tukio Soka alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari akimtaka afike polisi Chang'ombe kwa utambuzi wa pikipiki yake iliyoibiwa mwaka 2023.

Soka alikua anamiliki pikipiki, akampa mshkaji wake Frank Mbise aendeshe, lakini ikaibiwa. Wakatoa taarifa Polisi Chang'ombe ambapo lilifunguliwa jalada la uchunguzi.

Pia soma: Kuelekea 2025 - CHADEMA yadai Viongozi wake Wilayani Temeke wameshikiliwa, Polisi wakana

Kwahiyo alipopigiwa simu kwamba pikipiki imepatikana ilikua habari njema. Akamjulisha Frank waende pamoja maana ndiye aliyekua na pikipiki wakati inaibiwa. Akampigia pia Katibu wa Chadema Wilaya ya Temeke, Jacob Mlay kumjulisha kuhusu wito wa Polisi. Mlay akamshauri waende pamoja. Kwahiyo ikawa timu ya watu watatu; Deus Soka, Frank Mbise na Jacob Mlay.

Wakiwa wanaelekea kituoni kupanda gari ilitokea Noah nyuma yao. Ghafla wakatoka watu wenye silaha na kuwaamuru kuingia. Kabla hawajafanya lolote wakaporwa simu zao na kisha gari ikaondolewa kwa kasi.

Baadhi ya Mashuhuda wanasema waliona vijana watatu wanatembea na ghafla ikaja Noah wakatoka watu wenye makoti, kisha wale vijana wakaingia ndani. Hawakuelewa kama lilikua tukio la utekaji.

Taarifa imetolewa Polisi lakini wamekanusha kuwashikilia na wamekanusha kumpigia simu Soka akafuate pikipiki yake.

Lakini familia haina imani na Polisi kwa sababu, Polisi walikanusha kumshikilia Kombo Mbwana, lakini baada ya siku 29 wakakiri yupo mikononi mwao. Pia ni Polisi haohao waliokanusha kumshikilia Robert Mushi lakini baada ya siku 10 mwili wake ukakutwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Familia ya Soka inadai ndugu yao amekua akipokea vitisho kutoka kwenye vyombo vya Dola. Tar 10 August vijana wa Chadema Temeke walikamatwa wakielekea Mbeya kwenye kongamano la Bavicha, wakapelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe, lakini Soka alipelekwa Kilwa Road. Tar.12 Soka alitolewa Kilwa Road na kupelekwa Chang'ombe ili akapewe dhamana pamoja na wenzie.

Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
Askari wanaruhusiwa kuwa na Rasta? Au ni kikosi maalum?
 
Polisi ni majambazi wenye leseni ya kufanya ujambazi. Nguzo kuu ni "hatuwezi kuwafanya chochote"
Mzee mmoja alipata kuniambia mambo matatu ya kuchunga maishani kuepuka matatizo yanayo epukika
1. Tii mamlaka (serikali)
2.Ishi VIZURI na watu/ jamii inayo kuzunguka ishi nao vyema.
3.Heshimu/ wapende wazazi,familia,ukoo na nduguzo

NB.
Maaskari Wengi ni watu wa kupokea maelekezo kutoka juu na hutakiwi kuhoji maana ITS AN ORDER AND NOT A REQUEST
 
Back
Top Bottom