Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo.

Halafu suala la ajenda za nchi, usijiweke mbele, subiri mifumo yenyewe iji-set. Jamii yenyewe huwa inajiivisha, na inakuwa tayari kwa mabadiliko. Ndio maana kwa Tanzania, mnataka watu waandamane, kwanza watu wenyewe wanawashangaa. Mnasema sijui katiba mpya, jamii kwa ujumla haijafikia hatua ya kuihitaji as long as serikali haiiwekei makucha jamii hiyo kwa ujumla wake, ukiacha wake wenye akili zilizopiga shoti kama Mdude Nyagali. Hawa lazima wapate mikwaruzo, kwa kuwa wanatembea kwenye eneo lenye umeme mkubwa.
Laanakum
 
Labda walikuwa wanatembea na wake za watu, jamaa wameamua kulipiza. Vijana wanapenda sana mashangazi

Sasa kama walitekwa, hii story umesimuliwa na nani? Maana walio experience hili jambo hawapo.

Halafu suala la ajenda za nchi, usijiweke mbele, subiri mifumo yenyewe iji-set. Jamii yenyewe huwa inajiivisha, na inakuwa tayari kwa mabadiliko. Ndio maana kwa Tanzania, mnataka watu waandamane, kwanza watu wenyewe wanawashangaa. Mnasema sijui katiba mpya, jamii kwa ujumla haijafikia hatua ya kuihitaji as long as serikali haiiwekei makucha jamii hiyo kwa ujumla wake, ukiacha wake wenye akili zilizopiga shoti kama Mdude Nyagali. Hawa lazima wapate mikwaruzo, kwa kuwa wanatembea kwenye eneo lenye umeme mkubwa.
🚮
 
akina @Martin Maranja Masese, Boniface Jacob etc ambao wamejipanga. Wale hawatekwi kibwege
Hizo mbinu za kusababisha kutotekwa kibwege zinafaa kujulikana kwa wengi ili watu wajue kujihami. Nchi imepoteza mwelekeo
 
Malisa ndio mwanzilishi wa mama anaupiga mwingi.
Tunafutwa machozi
😂 😂 😂
 
Sasa mkuu mbona kama hujali athari hizo?
Ninajali sana. Ndiyo maana nasema kama vijana wanaweza kuepuka "harakati za kushindana na Dola" bora wafanye hivyo.

Nimemfuatilia sana huyu kijana Deusdedith Soka. Amewahi kushikwa na Polisi zaidi ya mara 3. Kila akishikwa ni familia yake ndiyo ina suffer. Lakini wale mashabiki wa harakati wanamuona kama bingwa wao au shujaa.

Mtu kma huyu dogo anajidanganya tu kudhani anaweza kubadili mfumo wa dola. Hata hawa akina Mbowe ambao ni viongozi wa CHADEMA leo hii waliamza taratibu siyo kwa jeuri na kiburi kama cha huyu dogo.
 
"Binadamu anaangalia maslahi yake, ukiitwa kupambana hakikisha una mgao wako unaolingana na viungo utakavyopoteza au kifo." Tsh

Sijui kama Deusdedith Soka alikwisha pata masilahi ya kutosha kabla ya kuingia kwenye hizi harakati. Otherwise ataacha machungu tu kwa ndugu zake.

Harakati awaachie akina Martin Maranja Masese, Boniface Jacob etc ambao wamejipanga. Wale hawatekwi kibwege

Ukiwa kwenye siasa haitakiwi uamini mtu yeyote.....Mimi hata mtu nayemjua anipigie njoo na bla bla kibao siendi mpaka anieambie motive behind otherwise namwambia aongee tumalizane kwenye simu.

Mwamba alikuwa Zakaria alivyotaka kuwamwaga Ubongo wasiojulikana , watu wakija kukuchukua hakikisha hautoki kizembe othewise piga nduru umevamiwa na wezi(Unapiga yowe tu weziiii ,majirani weziiiiiii) raia watoke ,raia wakishajaa hata wakiwa na mitutu watasalenda.

Ukipigiwa simu na mtu akianza kukuuliza sijui upo wapi mara kuna issue inabidi tuongee tuiweke sawa mwambie direct aongee kwenye simu ukiona anang'ang'ania uko wapi mara tukutane jua hapo jamaa anapewa malekezo na manjagu stuka ,yeyusha tu kwamba upo bukoba kikazi na hauwezi kukutana nao kwa leo mpaka muda mwingine kama urgent waongee kwenye simuj.
 
Ninajali sana. Ndiyo maana nasema kama vijana wanaweza kuepuka "harakati za kushindana na Dola" bora wafanye hivyo.

Nimemfuatilia sana huyu kijana Deusdedith Soka. Amewahi kushikwa na Polisi zaidi ya mara 3. Kila akishikwa ni familia yake ndiyo ina suffer. Lakini wale mashabiki wa harakati wanamuona kama bingwa wao au shujaa.

Mtu kma huyu dogo anajidanganya tu kudhani anaweza kubadili mfumo wa dola. Hata hawa akina Mbowe ambao ni viongozi wa CHADEMA leo hii waliamza taratibu siyo kwa jeuri na kiburi kama cha huyu dogo.
Okay kumbe unamjua? Tuache huyo mwanaharakati na hao wengine vipi?

Na je huyo mwanaharakati yeye amevunja sheria gani?
 
LAKINI sOKA ALISHASEMAKUWA KUWA OCCID WA TEMEKE ANAMFUATILIA SANA. POLISI WANAYE HUYU KIJANA


“Nisipoonekana uraiani muulizeni OCCID wa Temeke anayeitwa Mohammed Mirabo, kwasababu ananifuatilia sana kila siku”Maneno ya Mwanaharakati
@DEUSDEDITHSOKA
ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Temeke kabla ya kukamatwa na jeshi la polis
@tanpol
pamoja na wenzake wawili.

View: https://x.com/Grounders_/status/1826313707476947400/photo/1

Nchi hii watu wanataka kuwafanya vijana waanzishe makundi kama ya Mungiki kule Kenya wakati ule. Yalikuwa makundi ya kulipa visasi kwa wenye mamlaka wanaoyatumia vibaya kwa kutesa jamii.
Mfano huyo OCCID Mohamed Mirabo si anafahamika? Na pengine ana mke na watoto! Kwa akili zile za Mungiki alikuwa tayari kesha weka familia yake matatani. Mmenielewa.
Jee ndiko tunataka kuwapeleka vijana wetu waone hiyo ni njia sahihi kulipa visasi? Maana wamefikishwa point of NO RETURN
 
Mwamba alikuwa Zakaria alivyotaka kuwamwaga Ubongo wasiojulikana , watu wakija kukuchukua hakikisha hautoki kizembe othewise piga nduru umevamiwa na wezi(Unapiga yowe tu weziiii ,majirani weziiiiiii) raia watoke ,raia wakishajaa hata wakiwa na mitutu watasalenda.
Hii mbinu yako itafanya kazi kama kweli ni vibaka wanaotaka kukuibia lakini sio Watekaji ambao wanakuja na Baraka zote kutoka juu.
 
Ninajali sana. Ndiyo maana nasema kama vijana wanaweza kuepuka "harakati za kushindana na Dola" bora wafanye hivyo.

Nimemfuatilia sana huyu kijana Deusdedith Soka. Amewahi kushikwa na Polisi zaidi ya mara 3. Kila akishikwa ni familia yake ndiyo ina suffer. Lakini wale mashabiki wa harakati wanamuona kama bingwa wao au shujaa.

Mtu kma huyu dogo anajidanganya tu kudhani anaweza kubadili mfumo wa dola. Hata hawa akina Mbowe ambao ni viongozi wa CHADEMA leo hii waliamza taratibu siyo kwa jeuri na kiburi kama cha huyu dogo.
Huwezi kuzuia 'mfumo asili' (nature) kwa mtutu wa bunduki.

Kama aina ya uongozi wa ccm haukubaliki tena na jamii hata watumie maguvu ya kila aina, lakini wataanguka tu...ni suala la muda.
 
Huwezi kuzuia 'mfumo asili' (nature) kwa mtutu wa bunduki.

Kama aina ya uongozi wa ccm haukubaliki tena na jamii hata watumie maguvu ya kila aina, lakini wataanguka tu...ni suala la muda.
Hatua ambayo ccm wamefikia ni Sawa na Kicks of Dying Horse
 
kwa mtiririko wa habari hii, Kwa 100% wahusika ni hawa 'wajomba'
Ila wajomba mmepoteza credibility yenu kabisa kwa UMMA wa wa Tanzania kwani mnatumika kwa maslahi ya wachache badala ya wananchi wote! siku zaja haya yatakuwa na mwisho!
 
Back
Top Bottom