Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Comment yako imeshiba sana. Mwenye kuelewa na aelewe
 
"Binadamu anaangalia maslahi yake, ukiitwa kupambana hakikisha una mgao wako unaolingana na viungo utakavyopoteza au kifo." Tsh

Sijui kama Deusdedith Soka alikwisha pata masilahi ya kutosha kabla ya kuingia kwenye hizi harakati. Otherwise ataacha machungu tu kwa ndugu zake.

Harakati awaachie akina Martin Maranja Masese, Boniface Jacob etc ambao wamejipanga. Wale hawatekwi kibwege
 
Hahaha, naona umeamua mpaka somo lieleweke.
 
Soka aliwaeleza ndugu zake kwamba akiwa kwenye gari la Polisi kutoka Kilwa Road kwenda Chang'ombe, askari mmoja mwenye marasta alimwambia "muda si mrefu tutamalizana na wewe mazima."
Duh,

'Failed states' huwa zinaanza hivihivi.

Wale waliotarajiwa kuwa walinzi wa umma na mali zao wanajigeuza kimya kimya kuwa wahalifu, majambazi, wauaji, nk dhidi ya umma.

Taratibu taratibu hii awamu ya 6 imekuwa ya ajabu na hovyo sana sana!!!
Lucas Mwashambwa
 
Stuxnet wakati wa Hayati Magufuli ulionekana wa maana sana ukipinga mambo kama haya.

Sasa ni wakati wenu unafurahia mambo yale yale uliyochukia kwa Hayati.
 
Mzee wa nchi gani?
 
Na mwisho wanakuwaga wanapindua nchi.....inaanza taratibu
 
Hao watakuwa Kituoni mbona wanahojiana nao kuhusu ile jinai ya Mbeya.
 
Stuxnet wakati wa Hayati Magufuli ulionekana wa maana sana ukipinga mambo kama haya.

Sasa ni wakati wenu unafurahia mambo yale yale uliyochukia kwa Hayati.
Magufuli ni tofauti na Samia. Magufuli alimiliki yeye mwenyewe binafsi kundi la WASIOJULIKANA. Hawa watekaji wa sasa hivi ni athari zitokanazo na ushenzi alioanzisha Mwendazake na jamii yenyewe ya Watanzania. Utekaji, mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, ubakaji watoto ni vitu vinavyotokana na uozo wa jamii yetu wenyewe wala siyo kazi ya Rais
 
Sasa mkuu mbona kama hujali athari hizo?
 
Wakati baba yake na Malisa akiwa Kamishna wa Magereza, wafungwa walitumika sana kumlimia mashamba yake binafsi
Wewe ni mpumbavu kabisa, Onel Malisa marehemu alikuwa kamishna mkuu wa magereza mtoto wake anaitwa Godlisten Onel Malisa ni diwani wa ccm kata ya minazi mirefu.

Unadandia dandia kwa kuungaunga vitu usivyovijuwa tutusa wahed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…