Uchaguzi 2020 Watu wastaarabu walifuata sera

Uchaguzi 2020 Watu wastaarabu walifuata sera

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
2015 mgombea wa uraisi kupitia CHADEMA kwa mwamvuli wa ukawa alishindwa kusoma ilani ya chama akaishia kutoa yake ya kichwani kuwa atamleta Balali marehemu,kumuachia babu seya na kuwatoa masheikh wa uamsho.

Jana kwa mara nyingine watu wastaarabu walikwenda kufuata kusikiliza ilani ya CHADEMA na kusikiliza sera za mgombea uraisi na kujua muelekeo lakini kinyume na matarajio jamaa akaanza kutoa historia ambayo kila mmoja anaijua kiasi kwamba watu wameshaichoka kuisikia ,

Na waliokwenda pale sio kwamba wote ni CHADEMA watu wamekwenda kusikia mropokaji atakuwa na jipya gani.

Kifupi ni kuwa CHADEMA kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Magufuli ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.

Kilichofuata ni kituko cha chairman kuchanganyikiwa na kufukuzs kila mtu kumuona mchawi kweli damu ya mtu haikuwachi salama.

Wastaraabu wanataka sera sio vioja wala watu hawahitaji maandamano ni dalili za kushindwa mapema hata wahudhuriaji hawakuwa wengi!

Angalizo;
Kampeni na kufikia wapiga kura sio kutafuta wadhamini wala kushangaa mtu anaeishi ulaya ila umeifanyia nini nchi na utaifanyia nini nchi. hakuna blah blah za damu ya wakenya!
 
Lissu hakuamini mpaka anafunga mkutano wahudhuriaji wachache!
IMG_20200829_054142.jpg
 
Kudadadeeeki ndiyo maana mliwatuma ma tbc yenu kwenda kufanya sabotage ya mkutano wa mh Lissu siyo.? View attachment 1551376View attachment 1551377

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo maana wakawaambia watu wenye drones na magari ya matangazo wakajirejiste ili zile drones zinazorekodi mikutano wazipige pini ili zisiweze kuchukua views pana za watu kwenye mikutano na magari ya matangazo kipindi hiki cha kampeni wayapunguze mitaani.

Hawa jamaa wanajua hawana radhi ya umma kwa hiyo wanatumia njia za mapinduzi ya kijeshi kulinda utawala wao.
 
Ndiyo maana wakawaambia watu wenye drones na magari ya matangazo wakajirejiste ili zile drones zinazorekodi mikutano wazipige pini ili zisiweze kuchukua views pana za watu wenye mikutano na magari ya matangazo kipindi hiki cha kampeni wayapunguze mitaani.

Hawa jamaa wanajua hawana radhi ya umma kwa hiyo wanatumia njia za mapinduzi ya kijeshi kulinda utawala wao.
Uzuri ni kuwa sasa hivi kila mtanzania ashazijua njama haramu za ccm na vibaraka wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri ni kuwa sasa hivi kila mtanzania ashazijua njama haramu za ccm na vibaraka wao

Sent using Jamii Forums mobile app

CCM inatembelea mgongo wa majeshi, haina sapoti kubwa ya wananchi. Hilo CCM wenyewe wameshalijua na ndiyo maana wana behave kama fisi mwenye njaa kwa kuvuruga michakato yote ya kuwezesha kuwapa wananchi chaguzi za haki na za uwazi!
 
Back
Top Bottom