kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Afadhali ingekuwepo lakini wapenyezaji wanasema haijakamilika!Kwa sababu ni ujinga kunadi ilani huku wagombea wako wa ubunge na madiwani wakienguliwa kihuni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali ingekuwepo lakini wapenyezaji wanasema haijakamilika!Kwa sababu ni ujinga kunadi ilani huku wagombea wako wa ubunge na madiwani wakienguliwa kihuni!
Hizo ni stori za kwenye vijiwe vya kahawaAfadhali ingekuwepo lakini wapenyezaji wanasema haijakamilika!
Waulize vizuri walio ndani sababu walizotoa viongozi hazina mashiko!Hizo ni stori za kwenye vijiwe vya kahawa
Si mngewahi kuzisajili?Ndiyo maana wakawaambia watu wenye drones na magari ya matangazo wakajirejiste ili zile drones zinazorekodi mikutano wazipige pini ili zisiweze kuchukua views pana za watu kwenye mikutano na magari ya matangazo kipindi hiki cha kampeni wayapunguze mitaani.
Hawa jamaa wanajua hawana radhi ya umma kwa hiyo wanatumia njia za mapinduzi ya kijeshi kulinda utawala wao.
Sudan hawakupiga kelele mitandaoni walisimama kama vidume na si keyboard warriors
Picha ya asubuh acha ushabiki maandaziLissu hakuamini mpaka anafunga mkutano wahudhuriaji wachache!View attachment 1551374
Ccm wenye ilani lukuki mmezitumiaje kuyaboresha maisha ya watanzania zaidi ya kuwatia umasikini?Ni kuwa kwanini Lissu ameshindwa kusoma ilani iliyoandaliwa miaka mitano!
Ungeona tbc walichokuwa wanafanya ungebadil chanel si kwa yale bora walivyowatoaWamepanick wakaishia kuwafukuza TBC. Na lile lilikua kosa watakalojutia sana
Walielezea ni kwa nini hawakunad sera sku ukiacha ushabk na kufuatilia yote kwa usawa utakuwa mwemaNi kuwa kwanini Lissu ameshindwa kusoma ilani iliyoandaliwa miaka mitano!
Lazima utajua tu maana ulianza na mma, hadi utayajua kuwa ni maji.Ya kuomba wadhamini hii toa ya jana
Tatizo lako wewe chanzo chako cha habari ni uhuru na mzareendo na tbc na channel kumiSudan hawakupiga kelele mitandaoni walisimama kama vidume na si keyboard warriors
Kosa halisahihishwi na kosa, kitendo cha chama kinachoomba kushika dola kuwafukuza wanahabari kwa style Ile kimewashusha thamani na kuifanya jamii kuwaona kama viongozi wenye umakini mdogo sana na viongozi wanaofanya kazi kwa visasi na kuligawa taifaUngeona tbc walichokuwa wanafanya ungebadil chanel si kwa yale bora walivyowatoa
Tena hapo nichangamoto sana maana hata akishinda hatapata waziri mkuu wala spika maana hwa mazingira wamejitengenezea mazuri ya kushinda wengi.Sera ukamuuzie nani wakati unaotegemea kufanya nao kazi kama ukishinda wanaenguliwa kihuni?
Au unafikiri Baraza la mawaziri na manaibu waziri na waziri mkuu wanapatikana nje ya wabunge?
Hivi kwa akili zako ata ukionyesha hiyo picha hao watu ni wachache?Lissu hakuamini mpaka anafunga mkutano wahudhuriaji wachache!View attachment 1551374
Nini maana ya live mbona pengne hawakat hawawek kamera sehemu moja tupo na online tv nowKosa halisahihishwi na kosa, kitendo cha chama kinachoomba kushika dola kuwafukuza wanahabari kwa style Ile kimewashusha thamani na kuifanya jamii kuwaona kama viongozi wenye umakini mdogo sana na viongozi wanaofanya kazi kwa visasi na kuligawa taifa
alete pcha ya jion wakat wa tukio sio kablaHivi kwa akili zako ata ukionyesha hiyo picha hao watu ni wachache?
Hii ni mikutano miwili tofauti?Lissu hakuamini mpaka anafunga mkutano wahudhuriaji wachache!View attachment 1551374
Mwenyekiti kachanganyikiwa uzinduzi umebumaKampeni na kufikia wapiga kura sio kutafuta wadhamini wala kushangaa mtu anaeishi ulaya ila umeifanyia nini nchi na utaifanyia nini nchi. hakuna blah blah za damu ya wakenya!
Alitegemea wale waliokuwa wanakusanyika kipindi cha kutafuta wadhamini!Mwenyekiti kachanganyikiwa uzinduzi umebuma