Nime waonea huruma kiasi flan ndio wamesha potea hivyo watatoka jela wakiwa wamechanganyikiwaHawa sasa kwenye game wapya naona
Hawajui code za kazi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Jumla hiyoMkuu umetisha kwa jumla au reja reja [emoji23]
Gram 201 tu hutokiHao ni wageni wa kazi hiyo
Inaelekea walipopata line hiyo
Walikuwa na wenge mambo mengi
Acha wanyooshwe kg30 hawatoki kirahisi
Rahisi sahv na walivyokuwa warembo huko
Jela watabadilika
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ipo bado watu wanajilipuaNisingeweza kuamini kama bado hii biashara inafanyika hapa Tz
Nakubaliana na wewe. Inaonekana ni wageni. Muuza unga mwenye akili hawezi kujiweka namna hiyo. Hata ukimkuta sehemu ni lazima utamshtukia tu kwa jinsi walivyo.Hawa walikuwa wanatumika kama chimbo&supply ni wageni wa kazi hiyoo
Wangejua sahv unga kuushika kukaa nao ni soo
Majigambo pia yamewaponza ndomna kesi yao mahakamani mpka bongomovie wasanii walienda kusikiliza mpk wengne wakaawa wanalia
Maana kutoka hawa ni mtihani
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kesi za madawa sheria zake sahv si mchzoMtu anafanya biashara kama hiyo anajimwaga mtaani kama vile anafanya biashara halali kweli hawa vijana wanaonekana bado wana ujinga na ushamba mwingi! Apo watatoka jela wakiwa pengine na miaka 50
Hatari sana mkuu
Washapotea haoooNime waonea huruma kiasi flan ndio wamesha potea hivyo watatoka jela wakiwa wamechanganyikiwa
Waombe wahukumiwe mapema aiseeKesi za madawa sheria zake sahv si mchzo
Hao walichukulia mambo simposimpo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuna watu nawajua wengine wamekula maisha
Hizi sheria mpya ni nzuri kama unahusika na hizo kazi ila ukifanyiziwa utajuta.Kuna watu nawajua wengine wamekula maisha
Wengine 15 wengine 20
Mpk ucheze na rufaa ushakaa ndani miaka 10
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Aisee bora nikeshe baharini nikitafuta samaki au nifanye kazi yoyote ngumu kuliko poda ina kupoteza kabisa mtu akikutoa uraiani miaka 20 huwezi simama tena mkuuWashapotea haooo
Ndiyo mshahara wa biashara hiyo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Noma sana maisha yake yanaenda kumalikia jela mzigo waliodakwa nao mkubwa sana.....Namuhurumia Shamim Zeze yupo nyuma ya nondo kitambo.Hatoki huyoooo
Akija kypigwa mvua itakuwa maisha
Madem zao sahv wanalialia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hawa wauza unga waache wakae jela wana vurugu sana na mindinga yao unique mjini.Kuna watu nawajua wengine wamekula maisha
Wengine 15 wengine 20
Mpk ucheze na rufaa ushakaa ndani miaka 10
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi shamim yeye yupo uraiani?Noma sana maisha yake yanaenda kumalizikia jela mzigo waliodakwa nao mkubwa sana.....Namuhurumia Shamim Zeze yupo nyuma ya nondo kitambo.
Kabisa...Aisee bora nikeshe baharini nikitafuta samaki au nifanye kazi yoyote ngumu kuliko poda ina kupoteza kabisa mtu akikutoa uraiani miaka 20 huwezi simama tena mkuu
Wale wanasubiria hukumuHivi shamim yeye yupo uraiani?
Hahaha mahakamani walikuwepo wasani bongoNDIO hawa hawa vijana wanatutombea madem zetu na madem zetu utawasikia fulan yupo smart kichwan hustler si unamchek side mbasha kaanza juz tu dukanla.nguo lakn anapanda tu
Utaambiwa wewe sijui unakwama wapi?