Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Hahaha mahakamani walikuwepo wasani bongo
Movie sasa sjui walijua wataachiliwa kwa dhamana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Inaonekana hawa madogo walikuwa wanawabust hao bongo muvi ***** Sasa mirija ya uchawa inakatwa wakat mwingne namsifu Sana magu kwa kukomaa na madawa japo kuna mambo anafel
 
Kati ya hao mademu Kuna demu mmja ana undugu na wema sepenga ndo maan bongo movie walikuwep mahakaman

Sema hao madogo wanatumika sna kisa wanaopenda mambo easy

Watto wa kino hawepand kazi ngum ngum ,
Lakini wenzao wa zamani kweny business walikuwa na akili mingi Sana na timing saiz weng wapo clean kabsa sabab walijua namna ya kutakatisha pesa

Vijan fanyen kAz , Akuna watu wanaujasiri kam madem wanapend watu weny pesa bill kujali zinatoka api
 
Back
Top Bottom