alikamatiwa airport kizembe sana. rasta tiko tiko yupo mtaani kamaliza kifungo chake
Mkuu sio mzembe..
Ilikuwa ni order maalum akamatwe.
Shkuba alikimbilia south Africa.,
Baada ya kesi ya jamaa mmoja kule Lindi kukamatwa na madawa mengi sana kwenye viloba.
Shkuba alihusishwa....akakimbilia South Africa.
Yupo mtu mkubwa serikalini akamwambiya kesi wewe huna rudi Tanzania.
Kaingia Tanzania vizuri ,,,siku anataka kurudi south,,
Kufika airport,
Migration akataka dola 2000$ tu amgongee passport aondoke..
Maana tayari alikuwa most wanted by Interpol kwenye system.
Shkubar akaanza kubishana bila kujuwa alikuwa blocked by Interpol.
Akawekwa pembeni.
Alimpigia yule mkubwa lakini haikusaidia kitu.
Baada ya mwezi kule mahabusu alifika dau dola 100,000$..aachiwe.
Bado watu wakaweka ngumu...
Mkuu zako zikifika hata mali yako haitokusaidia kitu.