HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wangeishi bila showoff wangekuwa mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangeishi bila showoff wangekuwa mbali
Wakikukuta mnabebwa woteHuyu demu aliyekutwa na Side naye hizi mishe alikuwa anahusika au jumba bovu limemwangukia?
Mkikutwa wote ina wote mnahusika ss kama kna mzg mwingine ulikutwa kwa dem ina maana alikuwa kama chimboHuyu demu aliyekutwa na Side naye hizi mishe alikuwa anahusika au jumba bovu limemwangukia?
Vp kama wataamua kucheua mzigo kama 3b kwa DPP?Hatoki huyoooo
Akija kypigwa mvua itakuwa maisha
Madem zao sahv wanalialia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Thubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheuaVp kama wataamua kucheua mzigo kama 3b kwa DPP?
Aise acha wakanyee debe kwani unga unaharibu sana vijana na nguvu kazi ya taifaThubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheua
Hao madg inaelekea mzg syo wao wao ni supplier tu watu wa kati sasa sahv wawataje hao waliyowapa mzigo
Hao ndy bye bye watakaa ndani mpk watayazoea maisha ya huko maana huko ndk
Makaz yao mapya
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
anatumia jina gani instaNa huyo allu ni pisi kali kishenzi, ukimuona kama wakutoka nje vile.
hivi shkuba kashatoka?Watahukumiwaje mapema wakati kuna watu wamekamatwa tangu 2010 upelelezi bado haujakamilika?
Siku hizi kesi ya madawa hata kuhukumiwa mahakamani pia lazima uhonge.
Vinginevyo utasota mahabusu hata miaka 15 bila hukumu.
Cide26 alikuwa anapiga mdemu wawili kwa mpigo na wanajuana wote hahahaaa.
mrangi biashara ya unga huipendi kinom[emoji2][emoji2][emoji2]Thubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheua
Hao madg inaelekea mzg syo wao wao ni supplier tu watu wa kati sasa sahv wawataje hao waliyowapa mzigo
Hao ndy bye bye watakaa ndani mpk watayazoea maisha ya huko maana huko ndk
Makaz yao mapya
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
hivi yule binti wa liyumba alitoka?Mkikutwa wote ina wote mnahusika ss kama kna mzg mwingine ulikutwa kwa dem ina maana alikuwa kama chimbo
Na walikuwa wanajua A,b,c zote za majamaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Pesa noma sana aisee..Cide26 alikuwa anapiga mdemu wawili kwa mpigo na wanajuana wote hahahaaa.
Koka jero tu.. baridiiiiCoca na heroin zina value tofauti!
Everyday is Saturday............................... 😎
Yupo ngome bdhivi yule binti wa liyumba alitoka?