Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Vp kama wataamua kucheua mzigo kama 3b kwa DPP?
Thubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheua
Hao madg inaelekea mzg syo wao wao ni supplier tu watu wa kati sasa sahv wawataje hao waliyowapa mzigo
Hao ndy bye bye watakaa ndani mpk watayazoea maisha ya huko maana huko ndk
Makaz yao mapya

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Thubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheua
Hao madg inaelekea mzg syo wao wao ni supplier tu watu wa kati sasa sahv wawataje hao waliyowapa mzigo
Hao ndy bye bye watakaa ndani mpk watayazoea maisha ya huko maana huko ndk
Makaz yao mapya

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Aise acha wakanyee debe kwani unga unaharibu sana vijana na nguvu kazi ya taifa
 
Watateseka sana na ukute maisha ya shida hawajazoea kabsa
 
Bwana jela watafaidi sana.

Kama Allu mwenyewe ndy huyo.
IMG_20210317_125323_228.JPG
 

Attachments

  • IMG_20210317_125323_228.JPG
    IMG_20210317_125323_228.JPG
    152.6 KB · Views: 2
Thubutu ....basi wakina kiboko na madon wengine wangecheua
Hao madg inaelekea mzg syo wao wao ni supplier tu watu wa kati sasa sahv wawataje hao waliyowapa mzigo
Hao ndy bye bye watakaa ndani mpk watayazoea maisha ya huko maana huko ndk
Makaz yao mapya

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
mrangi biashara ya unga huipendi kinom[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom