Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hili nalo neno. Ngoja nisubiri wengine watapochoka mie ndio niingiez nawapa mieiz sita tu, wata watenga, alafu mie naingia na nguvu kweli kweli tena ya maana
Miezi sita mingi sana man. Miwili tu au mitatu. Kikubwa tafuta jina lake full. Ujue atafungwa wapi. Ukifika akiuliza we nani unasema mi follower wako Instagram. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Miezi sita mingi sana man. Miwili tu au mitatu. Kikubwa tafuta jina lake full. Ujue atafungwa wapi. Ukifika akiuliza we nani unasema mi follower wako Instagram. πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na kweli miezi mitatu wataanza choka kwenda segerea kama leo. Najua leo wamejazana huko. Nitaanza mvt soon, wana mwesheria kweli ? Maana kama hawana hiyo ndio kiko nzuri ya kuingilia
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na kweli miezi mitatu wataanza choka kwenda segerea kama leo. Najua leo wamejazana huko. Nitaanza mvt soon, wana mwesheria kweli ? Maana kama hawana hiyo ndio kiko nzuri ya kuingilia
Maisha ni kubet. Ngoma ikitema unakula pasafi kinoma. Sema mkeka ukichanika sio mbaya. Hasara roho. Ila uwe mvumilivu. Unaweka tu timetable kila jumamosi moja ya mwezi au mbili unamuibukia na mazaga zaga ya kula.
 
Maisha ni kubet. Ngoma ikitema unakula pasafi kinoma. Sema mkeka ukichanika sio mbaya. Hasara roho. Ila uwe mvumilivu. Unaweka tu timetable kila jumamosi moja ya mwezi au mbili unamuibukia na mazaga zaga ya kula.
Napeleka na mshauri wa kisaikolojia na mambo ya kiroho ili kuunda base imara
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anza homework sasa huu muda. Kujua taarifa za msingi.
Natafuta mmbongo movie mmoja, niende nae kama chambo, ili mtoto anione na anijue, next time naibuka mwenyewe kuonesha upendo...πŸ˜€πŸ˜€
 
Hao ni wageni wa kazi hiyo
Inaelekea walipopata line hiyo
Walikuwa na wenge mambo mengi
Acha wanyooshwe kg30 hawatoki kirahisi
Rahisi sahv na walivyokuwa warembo huko
Jela watabadilika

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Unachotakiwa kujua ni kuwa hao sio wamiliki wa huo mzigo ila wasambazaji. Shida ya pod wakuu wenu wakizinguana ndio wanachomeana mwisho vinakamatwa vidagaa kama hivi
 
kiongozi kama jamaa anafanya biashara nyingine sijui ila biashara ya nguo kama una mtaji mkubwa inalipa
ukisha zoeana na mchina huna haja ya kusafiri ni kuletewa mzigo tena si lazima ulipe cash mzigo wote
kuhusu masuala ya kodi sijui sana ila hivyo vinguo vya kkoo vinavyouzwa 15k 20k kwa wanaofanya hizo biz ukienda turkey china bei ya jumla wanachukua kwa mpaka 3k pc moja
Ah ah naona whozu ushakuja....haya bana....na macover ya iphone mwenge je?
 
IMG_20210313_180151.jpg


Raia Instagram wanawafuata kwenye page zao.
 
Huyo mwenye pajama ya blue mbona mofoloji yake inatia shaka? Ni mwanamme kweli? Halafu 24 mbona wana miili mikubwa sana?
Kwani hujui kusoma? soma kwanza ndio uanze kuuliza maswali yako ya kitoto. Mwandishi kaandika majina matatu,moja la kike na mwanamke mwenyew ndio huyo unayeulizia umbo lake. Muwe mnasoma kwanza kilichoandikwa badala ya kuwa na mihemuko na picha.
 
Back
Top Bottom