Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Dar yenu chungu....siitakiUmeadimika sana na unakuja kwa kubipu njoo Bobo upo wapi
Niko zangu Dodoma kwa Mpalange....hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar yenu chungu....siitakiUmeadimika sana na unakuja kwa kubipu njoo Bobo upo wapi
Aiseee Elimu Elimu Elimu.....Nani aliyekwambia huyo ndio huyo mwanamke aliyetajwa?? Huyo mwanamke ana ndevu? kwahiyo huyo Mwenye Pajama ya Blue ndio Allu au sio?Kwani hujui kusoma? soma kwanza ndio uanze kuuliza maswali yako ya kitoto. Mwandishi kaandika majina matatu,moja la kike na mwanamke mwenyew ndio huyo unayeulizia umbo lake. Muwe mnasoma kwanza kilichoandikwa badala ya kuwa na mihemuko na picha.
Huyu demu aliyekutwa na Side naye hizi mishe alikuwa anahusika au jumba bovu limemwangukia?Hata hawa maelezo ya kamishna yanasema raia wema walitoa taarifa tarehe 2 march , then tarehe tatu march akadakwa Dalidali akasema mzigo upo kino kwa Alu wakamdaka Alu zigo lioo kwake akaminywa akataja Side, kwenda hiko mdio wakamkuta na huyo demu mwingine na cash dola 14000, na shiling za kibongo milion 13 asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto anawaka kama anaogea maji ya chupa.Kwa hii manzi, ningeuza team. Bora sipo kitengo maana mie na ngoswe damu moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazito walikuwa zamani,,enzi za unanijuwa mm nani?
Sio zama hizi.
Huyo mzito mwenyewe atakukimbia.
Anaonekana ni mtamu sana, na anajua kuililia pale kwenye lile li uwanja wa 6 mala 6 😀😀😀. Kitengo wangenimaliza tu, ningetibua ramani ili kumuokoa mtoto ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto anawaka kama anaogea maji ya chupa.
Jina lake full kashalipata liko hapo juu kwenye uzi.Miezi sita mingi sana man. Miwili tu au mitatu. Kikubwa tafuta jina lake full. Ujue atafungwa wapi. Ukifika akiuliza we nani unasema mi follower wako Instagram. [emoji23][emoji23]
Ungekula chuma.Anaonekana ni mtamu sana, na anajua kuililia pale kwenye lile li uwanja wa 6 mala 6 😀😀😀. Kitengo wangenimaliza tu, ningetibua ramani ili kumuokoa mtoto ..
Oh! Tate nane! Huyo binti hilo parachichi ni Original au Genetics Modified Organic?Ni huyo?mdogo wema sepetu - Google Search
www.google.com
Kawaida tu hiyo mwamba kwa msariti na anae kiuka maadili ya kazi, ila na mie nisingeuza maechi kizembe.. 😀😀😀😀. Ila ingebainika basi nisingekuwa na namna zaidi ya kupotezwaUngekula chuma.
Litakuwa lake + plus pesa lazima lingae zaidi.. maana halikalii vitu vigumu vigumuOh! Tate nane! Huyo binti hilo parachichi ni Original au Genetics Modified Organic?
Maana si la kitoto.
Acha wanyooshwe naona sahv videm vyao vnalialia tu
Hii chain wamengolewa wengi aise [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo peti man sijui ndio mgawa connection za upunda naona vijana wa mjini wanamsujudu sana.
Peti yy connection ya madem tuHuyo peti man sijui ndio mgawa connection za upunda naona vijana wa mjini wanamsujudu sana.
Peti yy connection ya madem tu
Ndomana hao wako karibu naye
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Huyu nae wamkamate. Achezee popo atakuwa na ABC za punda wengineHuyo peti man sijui ndio mgawa connection za upunda naona vijana wa mjini wanamsujudu sana.
Hao madem kpenda mambo mazuri ndiyo yamewaponzaKumbe ndokaz yake.
Petii ye zake kuwa connect na madem bongo movie