Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Nina wana watatu walikua wana connection kuliko unavodhani na walikua wanavimba na escort hadi wanakokwenda nowdays hiyo sahau dili likijamba linanuka tu kama kawaida, ile task force ya madawa kuna kila aina ya mtu ukitaka mabishoo wanaosukuma ma vogue wamo, walivhofanya ni kwenda sambasamba na wazungu, wajinga ukiruka south nao wapo na hadi apartment unayofikia wapo, tena hadi mzigo wanakuagiza wananunua kifuatacho utajuta na ndio maana askari wa kawaida kitengoni wote huwaoni au ushawaona kile kitengo wamevaa magwanda ya polisi?
Kitengo sahv kuna vijana mule wanajuaa balaa
Wanajua kusoma mchezo hadi kukumaliza..
Unafikiri polisi wa vituo fulani wakiwakamata
Watu kama hawa wangewapeleka ubaoni zaidi ya kuchkua mpunga tu
Ogopa mtu anakamata mzg wa mamilion na kila we ukitaka kumuhonga wanachomoa
Wanakwambia wee lazima tukusongeshe

Ova
 
Wazee wa mtumba grade A tujuane hapa
Hiyo ndiyo yenyewe...
Enzi zangu napiga pamba mambo ya ujana ubaharia nguo na viatu nlikuwa nanunua kwa mudy mars na kinondoni kna jamaa alikuwa analeta nguo toka usa alikuwa na duka la joes up to date wear...pamba pamba kweli kiatu kiatu kweli
Sahv bora nivae mtumba grade A tu

Ova
 
Kweli kabisa awamu hii upande huo wana stahili credit kubwaaa

Ova

Hata kujiuliza tu kinje mbona haji sana Dar watu hawataki, haya huyo kakosa connection ipi? Wana wanaleta utani awamu hii! Au akawaulize madon wa hotel za kitalii Arachuga waliokua wnaingiza pombe kali bila kodi, mzigo wa whisky unadunda kutoka dizonga, unavuka zambezi unapepea chirundu yote bila mushkheli leo hii wako wapi?
 
Hiyo ndiyo yenyewe...
Enzi zangu napiga pamba mambo ya ujana ubaharia nguo na viatu nlikuwa nanunua kwa mudy mars na kinondoni kna jamaa alikuwa analeta nguo toka usa alikuwa na duka la joes up to date wear...pamba pamba kweli kiatu kiatu kweli
Sahv bora nivae mtumba grade A tu

Ova

Sahivi nikujimwaga tu grade mambo yanasonga mbishe za europian class hayapo tena, na hivi lonya huko kajaa mkorea na mchina hakutamaniki hapo ndio mtu unavizia buti mtumba kutoka Nairobi kidogo tunasonga
 
Guy sorry huyo allu anatumia jina gani insta?

IMG_6640.jpg

Huyo hapo yuko na wema sepetu ndio allu kuna zaidi?
 
Hata kujiuliza tu kinje mbona haji sana Dar watu hawataki, haya huyo kakosa connection ipi? Wana wanaleta utani awamu hii! Au akawaulize madon wa hotel za kitalii Arachuga waliokua wnaingiza pombe kali bila kodi, mzigo wa whisky unadunda kutoka dizonga, unavuka zambezi unapepea chirundu yote bila mushkheli leo hii wako wapi?
Pusha unaisha don anakula kona [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana mnaweza wote jumuishwa
Mkuu ukienda keko wamejaa huko balaaa

Ova
 
Pusha unaisha don anakula kona [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana mnaweza wote jumuishwa
Mkuu ukienda keko wamejaa huko balaaa

Ova

Pusha ana sifa kuliko Don, unakuta pusha na punda wakikutana wanaonesha Hennessy huku wakiogelea wakati Don haonekani zaidi yuko Casino huko na camera zinazimwa na hakuna selfie wala nini huku anakung’uta Cigar taratibu akiyawaza mapunda yake kama yatafika salama noma sana
 
Angalia meno ya tembo walivodakwa kama kuku ndio utajua maana walianza kubanwa wawindaji wenye vitalu vya uwindaji anzia wadogo wa rostam, akina kinana, hadi waarabu koko wa kakonko wale akina jamal, kigwangala akatenga bajeti ya kununua, ikawa ukiingia na mzigo toka mozambique tayari wana wewe, inatangazwa bei mnajua ni wanunuzi then mnadakwa kizembe halafu mkidakwa unatafutwa mtandao wote hadi mtajane leo hii meno ya tembo ni kaa la moto hayagusiki.
Hii biashara imesahaulika kabisa
 
Hawa tamaa zao zimewaponza
Walitaka maisha mazuri na wameyapata

Ova

Afu wanaambuliaga iphone za macho matatu, design lunch mahotel makubwa yenye hadhi ya nyota tano na shopping za Dubai kidogo basi ukija kuwauliza wana nini zaidi unakuta wapo wapo tu maana akili na muda mwingi waliuchukua kufanya photo shoot, wakati drug cartels wa maana mexicana na colombia hata sura zao huwezi kuziona
 
Pusha ana sifa kuliko Don, unakuta pusha na punda wakikutana wanaonesha Hennessy huku wakiogelea wakati Don haonekani zaidi yuko Casino huko na camera zinazimwa na hakuna selfie wala nini huku anakung’uta Cigar taratibu akiyawaza mapunda yake kama yatafika salama noma sana
Kuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimbo
Walikuwa full vurugu basi unafikiri walidumu
Waliishaaa nao walikutwa na kg kadhaa
Mpk leo wako ndani wanaenda mwaka wa 3 sasa

Ova
 
Namuonea huruma maana maisha ya jela mpaka ayazoeee atapata shida sana....kutwa atakuwa analialia tu

Ova
Tayari keshazoea.
Kesho wataenda muona wengi na mikuku baadae atazoea tu. Tena kwa sasa hata mahabusu kazi mnapiga lazima ataelewa
 
Afu wanaambuliaga iphone za macho matatu, design lunch mahotel makubwa yenye hadhi ya nyota tano na shopping za Dubai kidogo basi ukija kuwauliza wana nini zaidi unakuta wapo wapo tu maana akili na muda mwingi waliuchukua kufanya photo shoot, wakati drug cartels wa maana mexicana na colombia hata sura zao huwezi kuziona
Acha wanyooshwe tu

Ova
 
Kuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimbo
Walikuwa full vurugu basi unafikiri walidumu
Waliishaaa nao walikutwa na kg kadhaa
Mpk leo wako ndani wanaenda mwaka wa 3 sasa

Ova
Tatizo la vijana ni tambo zisizo na msingi
 
Back
Top Bottom