Linda Joseph
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 462
- 863
Guy sorry huyo allu anatumia jina gani insta?Na huyo allu ni pisi kali kishenzi, ukimuona kama wakutoka nje vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guy sorry huyo allu anatumia jina gani insta?Na huyo allu ni pisi kali kishenzi, ukimuona kama wakutoka nje vile.
Kitengo sahv kuna vijana mule wanajuaa balaaNina wana watatu walikua wana connection kuliko unavodhani na walikua wanavimba na escort hadi wanakokwenda nowdays hiyo sahau dili likijamba linanuka tu kama kawaida, ile task force ya madawa kuna kila aina ya mtu ukitaka mabishoo wanaosukuma ma vogue wamo, walivhofanya ni kwenda sambasamba na wazungu, wajinga ukiruka south nao wapo na hadi apartment unayofikia wapo, tena hadi mzigo wanakuagiza wananunua kifuatacho utajuta na ndio maana askari wa kawaida kitengoni wote huwaoni au ushawaona kile kitengo wamevaa magwanda ya polisi?
Kweli kabisa awamu hii upande huo wana stahili credit kubwaaaHakuna cha kingpin wala nini, uliona wachungaji wote suspect wanaunga mkono juhudi unadhani utani kwenye drugs na magendo Magu kafanya vyema sana tena kuliko kawaida
Hiyo ndiyo yenyewe...Wazee wa mtumba grade A tujuane hapa
Kweli kabisa awamu hii upande huo wana stahili credit kubwaaa
Ova
Hiyo ndiyo yenyewe...
Enzi zangu napiga pamba mambo ya ujana ubaharia nguo na viatu nlikuwa nanunua kwa mudy mars na kinondoni kna jamaa alikuwa analeta nguo toka usa alikuwa na duka la joes up to date wear...pamba pamba kweli kiatu kiatu kweli
Sahv bora nivae mtumba grade A tu
Ova
Guy sorry huyo allu anatumia jina gani insta?
Pusha unaisha don anakula kona [emoji23][emoji23][emoji23]Hata kujiuliza tu kinje mbona haji sana Dar watu hawataki, haya huyo kakosa connection ipi? Wana wanaleta utani awamu hii! Au akawaulize madon wa hotel za kitalii Arachuga waliokua wnaingiza pombe kali bila kodi, mzigo wa whisky unadunda kutoka dizonga, unavuka zambezi unapepea chirundu yote bila mushkheli leo hii wako wapi?
Namuonea huruma maana maisha ya jela mpaka ayazoeee atapata shida sana....kutwa atakuwa analialia tuView attachment 1723855
Huyo hapo yuko na wema sepetu ndio allu kuna zaidi?
Mm haunishauri niende dukani nikanunue nguo, ni mwendo wa mtumba grade A mpaka viatuWazee wa mtumba grade A tujuane hapa
Hawa tamaa zao zimewaponzaView attachment 1723855
Huyo hapo yuko na wema sepetu ndio allu kuna zaidi?
Namuonea huruma maana maisha ya jela mpaka ayazoeee atapata shida sana....kutwa atakuwa analialia tu
Ova
Pusha unaisha don anakula kona [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana mnaweza wote jumuishwa
Mkuu ukienda keko wamejaa huko balaaa
Ova
Huo ndio uhalisia hawa hawatoki kwa mzigo waliodakwa naoUsikariri ndugu
Hii biashara imesahaulika kabisaAngalia meno ya tembo walivodakwa kama kuku ndio utajua maana walianza kubanwa wawindaji wenye vitalu vya uwindaji anzia wadogo wa rostam, akina kinana, hadi waarabu koko wa kakonko wale akina jamal, kigwangala akatenga bajeti ya kununua, ikawa ukiingia na mzigo toka mozambique tayari wana wewe, inatangazwa bei mnajua ni wanunuzi then mnadakwa kizembe halafu mkidakwa unatafutwa mtandao wote hadi mtajane leo hii meno ya tembo ni kaa la moto hayagusiki.
Hawa tamaa zao zimewaponza
Walitaka maisha mazuri na wameyapata
Ova
Kuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimboPusha ana sifa kuliko Don, unakuta pusha na punda wakikutana wanaonesha Hennessy huku wakiogelea wakati Don haonekani zaidi yuko Casino huko na camera zinazimwa na hakuna selfie wala nini huku anakung’uta Cigar taratibu akiyawaza mapunda yake kama yatafika salama noma sana
Tayari keshazoea.Namuonea huruma maana maisha ya jela mpaka ayazoeee atapata shida sana....kutwa atakuwa analialia tu
Ova
Acha wanyooshwe tuAfu wanaambuliaga iphone za macho matatu, design lunch mahotel makubwa yenye hadhi ya nyota tano na shopping za Dubai kidogo basi ukija kuwauliza wana nini zaidi unakuta wapo wapo tu maana akili na muda mwingi waliuchukua kufanya photo shoot, wakati drug cartels wa maana mexicana na colombia hata sura zao huwezi kuziona
Tatizo la vijana ni tambo zisizo na msingiKuna watoto fulani wa ilala walipewa line hiyo wakapewa na magari ...boss wao aliwachia nyumba hko mbezi ya kimara kama chimbo
Walikuwa full vurugu basi unafikiri walidumu
Waliishaaa nao walikutwa na kg kadhaa
Mpk leo wako ndani wanaenda mwaka wa 3 sasa
Ova