Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Alchelaus Mutalemwa amewataja watu hao ambao ni Daudi Elias Nyakongo (45), Rajabu Rashidi (45) na Fikiri Steven (45) wote ni wakazi wa Kata ya Mkonze.
Kamanda Mutalemwa amesema kuwa watuhumiwa wanahojiwa na uchunguzi ukikamilika, watafikishwa mahakamani.
Soma Pia: