Watu wawili wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki

Watu wawili wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki

Ulisha wahi kuendesha gari hapa mjini? Asee kuna wakati unaweza sema maneno mabaya sana kwa ajili ya waendesha pikipiki. Yaana anaweza pita mbele yako shaaa unapambana kumukoa ila wala hajali. Jana mataa ya hapa Tangibovu yana ruhusu gari zinazotika goba zipite jamaa ww boda ana force apite usawq wa Tegeta kama vile taa ndio za upande wake, Kusema ukweli inatakiwa semina za lazima kila mwezi mara 1 kuwakumbusha la sivyo watakufa wengi saana.
Kuna watu hawajui hawa waendesha pikipiki wakoje barabarani.
 
Watoto wa kihindi hawa msishangae miaka. Mkadhani wagurumaji wenzetu. Hao hata miaka kumi na mbili wanaendesha cha msingi anayeendesha ni kaka na abiria ni mdogo. And not vice versa
 
Nimeona picha yao ya ajali duh,
Inasikitisha sana,
Halfuuuu hawa mwendokasi wapewe somo la kupunguza mwendo kila wanapopita mataa hata kama taa zinawaruhusu ili kuokoa vijana wetu,
Kwa kuwa wametengewa barabara yao basi ni amri moja tu hakuna kuangalia hata kama anapita kichaa, wazee, walemavu n. K.
Ilimradi taa zinawaruhusu?
Hili liangaliwe sana la sivyo hawa jamaa wataendelea kupasua vichwa vya bodaboda kila uchwao,
Ukitaka kujua mwendokasi ni wajeuri kaa kwenye taa halafu uone jinsi wanavyofanya fujo,
Hao wa jana wote walibasti vichwa
Daah!
 
Haya tuambie ukweli ni upi.

Aisee kwa michezo wanayofanya hawa madereva wa bodaboda kwenye mabarabara ya mwendokasi siyo sawa.
hao madogo siyo madereva wa bodaboda ni pikipiki yao
watoto wa kariakoo walisimama kwenye red ile green imewaka tu wakapita bad luck mwendokasi alikuwa moto akapita nao
 
hao madogo siyo madereva wa bodaboda ni pikipiki yao
watoto wa kariakoo walisimama kwenye red ile green imewaka tu wakapita bad luck mwendokasi alikuwa moto akapita nao
Niliona video yao,najua sio bodaboda. RIP watoto
 
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kuwa ajali hiyo imetokea jana Septemba 8, 2021 saa 3:20 usiku.

Amesema ajali hiyo imetokea katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari.

Ameitaja pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan (17), Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.

“Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani hususani taa za kuongozea magari, kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi,” amesema Muliro.

=====

TAARIFA YA AJALI YA BASI LA MWENDOKASI NA PIKIPIKI NA KUPELEKEA VIFO VYA WATU WAWILI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lianasikitika kutoa taarifa ya ajali iliyohusisha basi la Mwendokasi na Pikipiki iliyopelekea vifo vya watu wawili.

Ajali hiyo ilitokea tarehe 08/09/2021 majira ya saa 21:20 usiku katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari,ambapo pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan(17),Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani husasani taa za kuongozea magari,kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi.

Imetolewa na:-
MULIRO J. MULIRO- ACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM, DAR ES SALAAM.
09/09/2021
View attachment 1930929
Huyo dogo dereva wa pikipiki nani aliyempa Leseni akiwa na miaka 17 .
 
Hizi mwendokasi zingeishia jangwani hakuna dunia nzima mwendokasi katikati ya mji huku ni kutaka kuuana tu
 
Nimeona picha yao ya ajali duh,
Inasikitisha sana,
Halfuuuu hawa mwendokasi wapewe somo la kupunguza mwendo kila wanapopita mataa hata kama taa zinawaruhusu ili kuokoa vijana wetu,
Kwa kuwa wametengewa barabara yao basi ni amri moja tu hakuna kuangalia hata kama anapita kichaa, wazee, walemavu n. K.
Ilimradi taa zinawaruhusu?
Hili liangaliwe sana la sivyo hawa jamaa wataendelea kupasua vichwa vya bodaboda kila uchwao,
Ukitaka kujua mwendokasi ni wajeuri kaa kwenye taa halafu uone jinsi wanavyofanya fujo,
Hao wa jana wote walibasti vichwa
Upo sahihi sana, basi kuwa mwendokasi maana yake siyo liendeshwe na roboti........mtu huwezi kupita taa nyekundu ukiwa umekanyaga mafuta mithili ya mtu aliyevuta bangi akachanganya na kiroba, ni vizuri huyo dereva wa mwendokasi ahojiwe ilikuwaje akawagonga hao vijana, hakuwaona au vipi?
 
Kumbe ndio maana bodaboda walio wengi ni watoto waliokimbia shule na kupewa leseni za kubeba abiria?

Sasa nimejua hawa watoto hawana shida bali walezi wao (serikali) ndio tatizo
Bodaboda wengi ni vijana zaidi ya miaka 18. Usituongopee. Hapa bongo miaka 16 bado wanafunzi. Hakuna mzazi ataruhusu mwanaye awe boda boda kwa umri huo. Marehem suka alikua mhindi.
 
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kuwa ajali hiyo imetokea jana Septemba 8, 2021 saa 3:20 usiku.

Amesema ajali hiyo imetokea katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari.

Ameitaja pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan (17), Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.

“Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani hususani taa za kuongozea magari, kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi,” amesema Muliro.

=====

TAARIFA YA AJALI YA BASI LA MWENDOKASI NA PIKIPIKI NA KUPELEKEA VIFO VYA WATU WAWILI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lianasikitika kutoa taarifa ya ajali iliyohusisha basi la Mwendokasi na Pikipiki iliyopelekea vifo vya watu wawili.

Ajali hiyo ilitokea tarehe 08/09/2021 majira ya saa 21:20 usiku katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari,ambapo pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan(17),Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani husasani taa za kuongozea magari,kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi.

Imetolewa na:-
MULIRO J. MULIRO- ACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM, DAR ES SALAAM.
09/09/2021
View attachment 1930929
Hawa kwa majina yao ni kama watoto wa kihindi waliokuwa kwenye matembezi yao.
 
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kuwa ajali hiyo imetokea jana Septemba 8, 2021 saa 3:20 usiku.

Amesema ajali hiyo imetokea katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari.

Ameitaja pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan (17), Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.

“Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani hususani taa za kuongozea magari, kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi,” amesema Muliro.

=====

TAARIFA YA AJALI YA BASI LA MWENDOKASI NA PIKIPIKI NA KUPELEKEA VIFO VYA WATU WAWILI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lianasikitika kutoa taarifa ya ajali iliyohusisha basi la Mwendokasi na Pikipiki iliyopelekea vifo vya watu wawili.

Ajali hiyo ilitokea tarehe 08/09/2021 majira ya saa 21:20 usiku katika barabara ya mwendokasi eneo la Lumumba kwenye taa za kuongozea magari,ambapo pikipiki yenye namba za usajili MC 663 CDX aina ya Boxer ikiendeshwa na Sami Riyaz Khan(17),Mkazi wa Gerezani, akiwa na abiria wake Patrick Chohan(16) iligongana na basi la mwendokasi lenye namba za usaji T 880 DGV aina ya Golden Dragon lililokuwa likitokea Kimara kuelekea Kivukoni na kusababisha vifo vya dereva wa pikipiki na abiria.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha ajali ni dereva wa pikipiki kujaribu kupita taa nyekundu kinyume cha sheria, ndipo walipogongwa na gari la Mwendokasi na kufariki dunia wote.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawataka madereva wa pikipiki kutii sheria za usalama barabarani husasani taa za kuongozea magari,kuvaa kofia ngumu na kutopita kwenye barabara za Mwendokasi.

Imetolewa na:-
MULIRO J. MULIRO- ACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM, DAR ES SALAAM.
09/09/2021
View attachment 1930929
Wakufe tu, wamezidi papara.
Ukiona pikipiki inaendeshwa na hao viduku Boyz usipande
 
Nimeona picha yao ya ajali duh,
Inasikitisha sana,
Halfuuuu hawa mwendokasi wapewe somo la kupunguza mwendo kila wanapopita mataa hata kama taa zinawaruhusu ili kuokoa vijana wetu,
Kwa kuwa wametengewa barabara yao basi ni amri moja tu hakuna kuangalia hata kama anapita kichaa, wazee, walemavu n. K.
Ilimradi taa zinawaruhusu?
Hili liangaliwe sana la sivyo hawa jamaa wataendelea kupasua vichwa vya bodaboda kila uchwao,
Ukitaka kujua mwendokasi ni wajeuri kaa kwenye taa halafu uone jinsi wanavyofanya fujo,
Hao wa jana wote walibasti vichwa
Mwendokasi wamekuwa kama gari moshi! Ila WaTz tuna roho mbaya sana, hatujali utu kabisa, si polisi, si wanasiasa, si wananchi baina yetu wenyewe. Ni unyama na ubabe tu!
 
Back
Top Bottom