Watu wazima 25+: Ukiachana na kufiwa, ni TUKIO gani kubwa liliwahi kukutoa machozi hadharani 😭

Watu wazima 25+: Ukiachana na kufiwa, ni TUKIO gani kubwa liliwahi kukutoa machozi hadharani 😭

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
FB_IMG_1651833243023.jpg
images (2).jpeg
 
Form one hiyo swahili speaker oyaa wauni tukaitwa pale mbele tuchapike kipigo kikaanza viboko vilikuwa vizito, mara paap!! ticha kanituma fimbo nikaenda class kulikuwa hakuna watu wote wapo mstarini nikachukuwa na daftari nikaliweka kama cover ili viboko visipite fresh takoni *****😀😀 kufika pale ndo nakuta wameisha kitambo bado mimi nilipigwa stiki moja yale madaftari yakashuka mpaka mapajani alafu fimbo iliuma kinoma nikahisi yale macover yanakitu nataka kutowa ticha ananiambia wewe yarudishe tu yanaweza kukusaidia😭😭😭 ilikuwa ni kwere pale juu.
 
Form one hiyo swahili speaker oyaa wauni tukaitwa pale mbele tuchapike kipigo kikaanza viboko vilikuwa vizito, mara paap!! ticha kanituma fimbo nikaenda class kulikuwa hakuna watu wote wapo mstarini nikachukuwa na daftari nikaliweka kama cover ili viboko visipite fresh takoni *****😀😀 kufika pale ndo nakuta wameisha kitambo bado mimi nilipigwa stiki moja yale madaftari yakashuka mpaka mapajani alafu fimbo iliuma kinoma nikahisi yale macover yanakitu nataka kutowa ticha ananiambia wewe yarudishe tu yanaweza kukusaidia😭😭😭 ilikuwa ni kwere pale juu.

Ulikua form one ukiwa above 25 yo?
 
Form one hiyo swahili speaker oyaa wauni tukaitwa pale mbele tuchapike kipigo kikaanza viboko vilikuwa vizito, mara paap!! ticha kanituma fimbo nikaenda class kulikuwa hakuna watu wote wapo mstarini nikachukuwa na daftari nikaliweka kama cover ili viboko visipite fresh takoni *****😀😀 kufika pale ndo nakuta wameisha kitambo bado mimi nilipigwa stiki moja yale madaftari yakashuka mpaka mapajani alafu fimbo iliuma kinoma nikahisi yale macover yanakitu nataka kutowa ticha ananiambia wewe yarudishe tu yanaweza kukusaidia😭😭😭 ilikuwa ni kwere pale juu.
form 1 25+
 
Furaha iliyopitiliza.[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Upande wangu hakuna...

Depal ni tukia gani lilowahi kukutoa machozi hadharani...
 
Siku ile Dada angu amejifungua mtoto wa kwanza ..anatoka wodini mimi nipo nje nililia kwafuraha ile siku Hadi watu wakawa wananishangaa 😂😂😂😂
 
Tukio lingine lililonifanya nilie hadharani my Dada alipograduate chuo ..alivyorudi home kwenye kumpokea nilijikuta nalia tu Mimi...loh🤣🤣 ingawa sikua Nimefika 25
 
Upande wangu hakuna...

Depal ni tukia gani lilowahi kukutoa machozi hadharani...
Back in 2018 kushuka chini nilikuwa siwezi kuangalia movie yenye scenes za mazishi. .. hiyo siku tumekaa seblen tunaangalia zile tamthiliya zilizokuwa zikirushwa ITV.


Kikaja kipande cha msiba, raia wanalia hatari… msibani mpaka makaburini.. mdo mdo machozi yakanianza 😂
Mdogo wangu mmoja akaropoka hiiii da D analia 🤣🤣🤣 si ndio watu kunitazama… wee niliangusha kilio moja hiyo 😅😅 mama sasa aah hakawezagi hako kuangalia mov zenye huzuni huzuni 😋
Mimi ndio nazidi kulia… yan nilikuwa mjinga 🤣🤣🤣
 
Back in 2018 kushuka chini nilikuwa siwezi kuangalia movie yenye scenes za mazishi. .. hiyo siku tumekaa seblen tunaangalia zile tamthiliya zilizokuwa zikirushwa ITV.


Kikaja kipande cha msiba, raia wanalia hatari… msibani mpaka makaburini.. mdo mdo machozi yakanianza 😂
Mdogo wangu mmoja akaropoka hiiii da D analia 🤣🤣🤣 si ndio watu kunitazama… wee niliangusha kilio moja hiyo 😅😅 mama sasa aah hakawezagi hako kuangalia mov zenye huzuni huzuni 😋
Mimi ndio nazidi kulia… yan nilikuwa mjinga 🤣🤣🤣
😅 😅 kuna mambo yanafurahisha sana...

Ila siku hizi unajifanya nunda... wakati bado mchumba tu...
 
Upande wangu hakuna...

Depal ni tukia gani lilowahi kukutoa machozi hadharani...
Nyingine juzi kati tu hapo 2019.. niliumwa jino 🤣🤣🤣 nimefika hosp naliaa
Ikabidi nipate sindano ya kutuliza maumivu, maana manesi waliona sasa inakuwaje binti mzima hivyo unalia!!


Mimi kuumwa na kulia nimeacha mwaka huu feb.. juzi kati hapo niliumwa na sijalia 🤣 kwahiyo nina uhakika nitakuwa nimeacha.
 
Nyingine juzi kati tu hapo 2019.. niliumwa jino 🤣🤣🤣 nimefika hosp naliaa
Ikabidi nipate sindano ya kutuliza maumivu, maana manesi waliona sasa inakuwaje binti mzima hivyo unalia!!


Mimi kuumwa na kulia nimeacha mwaka huu feb.. juzi kati hapo niliumwa na sijalia 🤣 kwahiyo nina uhakika nitakuwa nimeacha.
Kumwa na kulia bado hujaacha cha utundu...

Na pia sindano za matakoni zinakulizaga hadharani...
 
Siku moja nilienda kariakoo Kuna mtaa maduka ya chini nilikuwa nachek check nguo dah Kuna watoto walikuwa wawili mmoja mkubwa kambeba mwenzie wanaomba msaada wako peku Kila duka wanapuuziwa kuna jamaa aliwasimamisha akiwa anawauliza maswali mi niko karibu we acha tu anasema "mdogo wangu anaumwa hatujala siku ya pili "
Dah we acha tu yaani kavaa kanga tu nguo ya ndani chafu unaiona kadogo kalichobebwa sijui kamekata moto kametulia kamela hata miaka 4 naona hakifiki

Nilitoka machozi Kwa kweli itabidi pesa niwape na yule jamaa amewapa kama elfu 10 ivi
Ikawa anawatoa huku anaongea nao zaidi sijui aliondoka nao
 
Back
Top Bottom