Watu wengi sana wanasumbuliwa na Psychological Trauma

Watu wengi sana wanasumbuliwa na Psychological Trauma

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Muda sio mrefu nimetoka julwaa la love connect nimeshtushwa sana kuona watu wanavyowaponda watu ambao wanatafuta wachumba/ wake

Wengine wanatumia mwavuli eti wanafanya utani na masihara kiukweli watu wanatrauma nyingi sana, wana-vidonda kwenye mioyo yao na wamekosa msaada.

Huwezi kuwa mtu ambaye una utimamu wa akili na hisia ukaanza kumshambulia mtu anayetafuta mchumba, rafiki au mke au ukaleta mizaha

Ni kawaida sana ukaja na uzi wako na ghafla mtu/watu kukuporomeshea matusi kwa njia ya indirect kana kwamba anakujua bila sababu yeyote ile ya msingi ni kama anamalizia stress zake na maumivu anayopitia.

Kuna member ukimuona tu ame-comment jua ni ametukana indirect
au ameponda ni nadra sana kumuona yuko positive yeye yupo negative tu

Jamiiforum waangalie namna ya kuliokomboa jukwaa la love connect limeharibiwa sana na watu ambao wana-stress za maisha na wanasumbuliwa na majeraha kwenye mioyo yao na kwa sababu wao wamefeli wanataman kila mtu afeli kama wao

Serekali iangalie hili swala hali inatisha sana watu wana-majeraha makubwa sana kwenye mioyo yao na hawana msaada
 
huyu nae walewale naye anatrauma huyu si keshawaponda wenye trauma yao mjini!!,hii sasa inaitwa trauma imekula trauma imegeuka imekuwa uma...😀
 
Mda sio mrefu nimetoka julwaa la love connect nimeshtushwa sana kuona watu wanavyowaponda watu ambao wanatafuta wachumba/wake

Wengine wanatumia mwavuli eti wanafanya utani na masihara kiukweli watu wanatrauma nyingi sana, wana-vidonda kwenye mioyo yao na wamekosa msaada

Huwezi kuwa mtu ambaye una utimamu wa akili na hisia ukaanza kumshambulia mtu anayetafuta mchumba, rafiki au mke au ukaleta mizaha

Jamiiforum ni kawaida sana ukaja na uzi wako na ghafla mtu/watu kukuporomeshea matusi kwa njia ya indirect kana kwamba anakujua bila sababu yeyote ile ya msingi ni kama anamalizia stress zake na maumivu anayopitia

Kuna member ukimuona tu ame-comment jua ni ametukana indirect
Au ameponda ni nadra sana kumuona yuko positive yeye yupo negative tu

Jamiiforum waangalie namna ya kuliokomboa jukwaa la love connect limeharibiwa sana na watu ambao wana-stress za maisha na wanasumbuliwa na majeraha kwenye mioyo yao na kwa sababu wao wamefeli wanataman kila mtu afeli kama wao

Serekali iangalie hili swala hali inatisha sana watu wana-majeraha makubwa sana kwenye mioyo yao na hawana msaada
Ni ujuha kutafuta wachumba JF
 
Back
Top Bottom