Watu wengi tumekua na kulelewa pamoja ila sasa hatuzungumzi

Watu wengi tumekua na kulelewa pamoja ila sasa hatuzungumzi

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Wengi wetu tulikuwa hivi; kulala na kuchanganywa na binamu zetu, lakini sasa hivi tumekuwa watu wazima, hatuzungumzi tena! Kila mtu sasa ana viwango, matajiri wanakwepa simu kutoka kwa ndugu maskini na maskini wana tabia ya kujitenga ili kuokoa kiburi vyao. Sasa tunakutana tu na kuishi kama familia wakati wa msiba na mazishi.

Inasikitisha sana!!!

1713618350048.jpg
 
Wengi wetu tulikuwa hivi; kulala na kuchanganywa na binamu zetu, lakini sasa hivi tumekuwa watu wazima, hatuzungumzi tena! Kila mtu sasa ana viwango, matajiri wanakwepa simu kutoka kwa ndugu maskini na maskini wana tabia ya kujitenga ili kuokoa kiburi vyao. Sasa tunakutana tu na kuishi kama familia wakati wa msiba na mazishi.

Inasikitisha sana!!!

View attachment 2969214



Hilo lipo kwa jamii za watu weusi tu.

Ila sisi wahindi na wapemba bado tupo na bloodline , tunaishi pamoja Familia hamna kutengana
 
Fedha ilipoingia katika jamii za watu weusi walianza kujitenga wao wenyewe,mwenye nazo hataki kukaa na nduguze wasiokuwa nacho. hivyo undugu unakuwa na faida kama wote mko level za kiuchumi sawa,tofauti na hapo acha kupoteza muda.
 
Na ndugu masikini kutwa kujipendekeza kwa ndugu well off, kuwatembelea wajukuu wa shangazi ila watoto wa dada au kaka yake tumbo moja hawana taimu nao, ndugu akipost kitu ktk social media lazma wa like au ku comment
 
Wengi wetu tulikuwa hivi; kulala na kuchanganywa na binamu zetu, lakini sasa hivi tumekuwa watu wazima, hatuzungumzi tena! Kila mtu sasa ana viwango, matajiri wanakwepa simu kutoka kwa ndugu maskini na maskini wana tabia ya kujitenga ili kuokoa kiburi vyao. Sasa tunakutana tu na kuishi kama familia wakati wa msiba na mazishi.

Inasikitisha sana!!!

View attachment 2969214
Mkuu umeniwahi kuleta hii mada. Ni kila familia inakumbana na hii kitu. Yani siblings wakishaanza kujitegemea ule upendo waliokuwa nao toka udogoni wakikua unapotea.

Nimeona sana na kushuhudia katika familia nyingi hata kwa wazungu, waarabu na wahindi.

Kwa mfano kuna familia flani jamaa badala asaidie ndugu zake wa damu wa karibu kwasababu ana uwezo wa kifedha hataki lakini anatoa msaada wa kifedha hadi kwenye charities na inauma zaidi anaenda mbali nakutoa hadi kwenye animals charities kama mijibwa na mipaka ana donate.
 
Basi bwana by then nmemaluza chuo nikamtafuta ndg yangu alikuwa mwalimu Sasa Kila nikimpigia ananiuliza jina, Kama mara tatu tofauti Sasa sijui alihisi ntamlilia shida.. kumbe mi nlikuwa namsabagi kukuza udugu. Sasa mungu c athumaniiiii nkajishindia biko... Bonge la jikazii. Alivyosikia akatafuta namba yangu akanipigia namu sikusave Wala sijawahi mtafuta tena. Kwao naenda nasalimia najiondokea.Sio Kila anayekutafuta anakuomba Hela.. wengine tumeumbwa kuvumilia shida zetu hatuzibebi kwenye mifuko ya Rambo [emoji17][emoji17]
 
Wengi wetu tulikuwa hivi; kulala na kuchanganywa na binamu zetu, lakini sasa hivi tumekuwa watu wazima, hatuzungumzi tena! Kila mtu sasa ana viwango, matajiri wanakwepa simu kutoka kwa ndugu maskini na maskini wana tabia ya kujitenga ili kuokoa kiburi vyao. Sasa tunakutana tu na kuishi kama familia wakati wa msiba na mazishi.

Inasikitisha sana!!!

View attachment 2969214
Tena wale wa tumbo moja, ndio balaa, nimewahi kutimuliwa na ndugu yangu nyumbani kwake, tena nyumba niliyomsaidia milioni 10 yq kuanzia kujenga! Sikuwahi kuidai! Hapo ndio nilipoamini wahenga waliposema, ndugu ni kufaana sio kufanana!
Changamoto za maisha, na malezi sana sana yq kiafrika, swala la umoja wazazi hawalisisitizi sana, anayefanya vzr, anasifiwa, kila za anasemwa vibaya
 
Tena wale wa tumbo moja, ndio balaa, nimewahi kutimuliwa na ndugu yangu nyumbani kwake, tena nyumba niliyomsaidia milioni 10 yq kuanzia kujenga! Sikuwahi kuidai! Hapo ndio nilipoamini wahenga waliposema, ndugu ni kufaana sio kufanana!
Changamoto za maisha, na malezi sana sana yq kiafrika, swala la umoja wazazi hawalisisitizi sana, anayefanya vzr, anasifiwa, kila za anasemwa vibaya
Mmh ilikuaje mpaka mkafukuzana.?
 
Mkuu umeniwahi kuleta hii mada. Ni kila familia inakumbana na hii kitu. Yani siblings wakishaanza kujitegemea ule upendo waliokuwa nao toka udogoni wakikua unapotea.

Nimeona sana na kushuhudia katika familia nyingi hata kwa wazungu, waarabu na wahindi.

Kwa mfano kuna familia flani jamaa badala asaidie ndugu zake wa damu wa karibu kwasababu ana uwezo wa kifedha hataki lakini anatoa msaada wa kifedha hadi kwenye charities na inauma zaidi anaenda mbali nakutoa hadi kwenye animals charities kama mijibwa na mipaka ana donate.
Duh au waligombana..
 
Back
Top Bottom