MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Watu wengi hapo mjini Dar huwa wanadhani huku Mwanza samaki ni bei rahisi, yaani wanafikiri ukiwa na buku unabeba mzigo wa kutosha kumbe wapi. Mtu akisikia unaenda Dar ukitokea Mwanza kila mtu utasikia anasema niletee samaki.
Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.
Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.