Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hata wakiwafikia wakija huku mashambani wanatoa mimacho wanataka ndoo ya maharage kwa elfu 5. Yaani wakija likizo wanazunguka kuombaomba vyakula wanapakia IST mpaka inatembelea upande kama nyani.
Maisha mikoani bado yanazo chembechembe nyingi za upendo na ujirani mwema sio huko dar ambapo nasikia panyarodi wanafunga mtaa na kucharaza watu halafu hakuna anayepiga walau nduru - wote sio wanawake au wanaume ni kimyaaa. Yan kila mtu anaishi kivyake-vyake.Sass si mnatuaminisha wenyewe kwamba mikoani maisha ni rahisi...🤣🤣🤣
Sio mikoa yote mkuu sehemu zingine huko mikoani watu wanakunja sana roho hakuna cha upendo wala ujirani mwema...ila hapa tulizungumzia muktadha wa kuambiwa ulete samaki...ila cha msingi mnatakiwa kusema ukweli kwamba hali ni ngumuMaisha mikoani bado yanazo chembechembe nyingi za upendo na ujirani mwema sio huko dar ambapo nasikia panyarodi wanafunga mtaa na kucharaza watu halafu hakuna anayepiga walau nduru - wote sio wanawake au wanaume ni kimyaaa. Yan kila mtu anaishi kivyake-vyake.
Hata mm asee Mtwara nilifikir ndio hivyo nilichokutana nacho duuhHaya mambo huwa yanashangaza sana. Mimi nilienda Mtwara nikajua nitapata korosho kwa bei ya kutupwa ila niichokutana nacho huko sasa[emoji114][emoji114]
😁😁😁😁We ukiwa bushi likapita Sumry pale mbele kwenye kioo Cha dereva Kuna mikate unatamani lipinduke Basi upate hiyo mikatehalafu wakija wao bush wanakuja na vimkate vya jero jero
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata wakiwafikia wakija huku mashambani wanatoa mimacho wanataka ndoo ya maharage kwa elfu 5. Yaani wakija likizo wanazunguka kuombaomba vyakula wanapakia IST mpaka inatembelea upande kama nyani.
Sisi tulikuwa na dogo anasoma Mwanza hivo ikawa tunamtumia hela atutumie samaki tukijua angalau itakuwa nafuu ila kuja kupiga hesabu ni karibu sawa na kununua tulipo.2020 nilienda Mwanza na niliulizia bei hawa wakilo moja watatu elfu kumi na mbili na nusu kilo ya samaki ni sh. Elfu saba wapo watatu ukikaangiwa elfu nane
Matui.Niko kikijini Lesoit kitongoji cha Orbigit jirani sana na shule ya Sekondari.
Mbona ww husemi uko wapi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huku kwetu zamani ilikuwa Mmaasai kula samaki ni kituko au tuseme haiwezekani. Lakini kwa sasa tunakula hadi dagaanyama wa baharini kutoka Tanga kwa starehe kabisa.
Yawezekana haujui kuandika hizo no. kwa tarakimu, ni ubashiri tu lkn2020 nilienda Mwanza na niliulizia bei hawa wakilo moja watatu elfu kumi na mbili na nusu kilo ya samaki ni sh. Elfu saba wapo watatu ukikaangiwa elfu nane
Tarehe 14 nakuja dosidosi mnadani!then 15 kiteto!tuonan niwekee vimbuzi vidogo vya vile bestiNdio mkuu. Karibu sana kwetu
Niko Lesoit .Ni mbali na Kibaya mnadani. Hata hivyo mm sifanyi biashara.Tarehe 14 nakuja dosidosi mnadani!then 15 kiteto!tuonan niwekee vimbuzi vidogo vya vile besti