dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha, mi pia ilinishangaza, nilinunua paketi bei sawa(au kuzidi kidogo) na DarHaya mambo huwa yanashangaza sana. Mimi nilienda Mtwara nikajua nitapata korosho kwa bei ya kutupwa ila niichokutana nacho huko sasa[emoji114][emoji114]
nilitegemea paketi ya buku 5 Dar kule niipate kwa jero