Watu wengi wa Dar huwa wanajua huku Mwanza ukiwa na buku unapata ndoo ya samaki

Watu wengi wa Dar huwa wanajua huku Mwanza ukiwa na buku unapata ndoo ya samaki

Wakati naishi dar mboga yangu ilikuwa kibua au dagaa mchele.
Nikapangiwa kibarua cha serikali hapa SHIRATI yaani nikinunua sangara mkubwa wa tsh 15K mwenye wastani wa 5kg Hadi 6kg Huwa nakula mwezi mzima.
Bimkubwa alikuja nitembelea nikamnunulia sangara mwenye uzito wa 10kg Kwa 30k, Aisee alishangaa sana na siku hiyo alishinda anamuandaa na kumchoma kwenye mafuta fuko limejaa kama mzigo na kuludi nae dar, Basi Huwa namwambia nataka kuhama huku unasikia Kaa huko huko me niwe nakula samaki.
 
Watu wengi hapo mjini Dar huwa wanadhani huku Mwanza samaki ni bei rahisi, yaani wanafikiri ukiwa na buku unabeba mzigo wa kutosha kumbe wapi. Mtu akisikia unaenda Dar ukitokea Mwanza kila mtu utasikia anasema niletee samaki.

Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.

Na wewe huna gari kama sisi wana jamii fórum wengine hadi uishi mkoani kwa mbinde hivyo ![emoji28][emoji28]
 
Hee, Basi usiombe wajue unatoka Umasaini ndanindani huko. Utasikia bro; tunaomba utuandalie mbuzi wa krismasi hii.Tutakupitia hapo kumchukua. Hawajui mbuzi anayefaa kwa sasa huku Umasaini ni 120,000/= hadi 250,000/= au zaidi.(bei ya mnadani tar.02/10/2022).
We upo kiteto-manyara??
 
Yaani..

Screenshot_20221003-153421~2.png
 
Watu wengi hapo mjini Dar huwa wanadhani huku Mwanza samaki ni bei rahisi, yaani wanafikiri ukiwa na buku unabeba mzigo wa kutosha kumbe wapi. Mtu akisikia unaenda Dar ukitokea Mwanza kila mtu utasikia anasema niletee samaki.

Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.
Wasagie sumu tu wanywe. Alafu waambie wao sio sisi.
 
Back
Top Bottom