dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha, mi pia ilinishangaza, nilinunua paketi bei sawa(au kuzidi kidogo) na DarHaya mambo huwa yanashangaza sana. Mimi nilienda Mtwara nikajua nitapata korosho kwa bei ya kutupwa ila niichokutana nacho huko sasa[emoji114][emoji114]
Watu wengi hapo mjini Dar huwa wanadhani huku Mwanza samaki ni bei rahisi, yaani wanafikiri ukiwa na buku unabeba mzigo wa kutosha kumbe wapi. Mtu akisikia unaenda Dar ukitokea Mwanza kila mtu utasikia anasema niletee samaki.
Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.
....vyuma vimeka**za. Huku ni mnavupori, mkhunungu/mlenda uliokaushwa na karanga kwa kwenda mbele.Samaki wapo bei sanaa...huku watu ni mwendo wa msumari tu
We jamaa; mfungwa hachagui gereza. Umekubali ajira serikalini utapelekwa popote Tz. ole wako ulete za kuleta.Na wewe huna gari kama sisi wana jamii fórum wengine hadi uishi mkoani kwa mbinde hivyo ![emoji28][emoji28]
We upo kiteto-manyara??Hee, Basi usiombe wajue unatoka Umasaini ndanindani huko. Utasikia bro; tunaomba utuandalie mbuzi wa krismasi hii.Tutakupitia hapo kumchukua. Hawajui mbuzi anayefaa kwa sasa huku Umasaini ni 120,000/= hadi 250,000/= au zaidi.(bei ya mnadani tar.02/10/2022).
Ndio mkuu. Karibu sana kwetuWe upo kiteto-manyara??
Kabxaa..juzi nmeona tipa imajaa mapank nikafikir anaenda kupewa mbwa..kugeuka dk kadhaa naona watu wanapigania kuuziwa kwa bei chee...kumbe jion wanayatupa kwny mafuta inakuwa kitoeo....vyuma vimeka**za. Huku ni mnavupori, mkhunungu/mlenda uliokaushwa na karanga kwa kwenda mbele.
We uko wapi?Ndio mkuu. Karibu sana kwetu
We upo wapi?We upo kiteto-manyara??
Mnataka kula nyama tu?Huku kwetu zamani ilikuwa Mmaasai kula samaki ni kituko au tuseme haiwezekani. Lakini kwa sasa tunakula hadi dagaanyama wa baharini kutoka Tanga kwa starehe kabisa.
Wasagie sumu tu wanywe. Alafu waambie wao sio sisi.Watu wengi hapo mjini Dar huwa wanadhani huku Mwanza samaki ni bei rahisi, yaani wanafikiri ukiwa na buku unabeba mzigo wa kutosha kumbe wapi. Mtu akisikia unaenda Dar ukitokea Mwanza kila mtu utasikia anasema niletee samaki.
Jitahidini kabla ya kuagiza kuletewa samaki mtume na hela ya kununulia, maisha yameshakuwa ghali hata sisi tunakula matembele.
Sehemu gan???Ndio mkuu. Karibu sana kwetu
Niko kikijini Lesoit kitongoji cha Orbigit jirani sana na shule ya Sekondari.Sehemu gan???