Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

Kinachokera michango ya harusi tunachangishana kwa nguvu zote halafu siku mbili unasikia jamaa wameachana...
 
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha

Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.

Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.

Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.

Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
Ni kwa wanandoa wajinga tuu!

Wanao amini hakuna uchawi, hawawezi kurogwa na mtu yeyote wanaodharau mila na desturi zao kwa sababu ya Dini ya Vatican.
Wanandoa wote wanarogwaga ili wasielewane ukibisha njoo nikupe dawa ujaribu tu. na wachawai hawatokagi mbali. Kutambika ni muhimu changanya Dini na matambiko ya kwenu.

Nimeoa mchaga lkn kila Desemba Moshiiiii kutambika na hatuna gogoro mwaka wa 50 sasa.

Wwafrica wewe ni mwafrica tuuu fanya kimababu, ukijifanya uzungu hayaaa ndo yanakushinda sasa.
 
Ndoa raha aisee. Hasa mkikutana wote mnapenda sex. I have been married for 6 years na kiukweli kuinjoy ni kwingi zaidi ya malumbano. My wife ananielewa nnachopenda, she knows my fantasies na ananijulia aisee.

Tatizo watu wanaoana bila kua marafiki. Big mistake.
 
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha

Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.

Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.

Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.

Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
Mshana Jr
 
Ndoa raha aisee. Hasa mkikutana wote mnapenda sex. I have been married for 6 years na kiukweli kuinjoy ni kwingi zaidi ya malumbano. My wife ananielewa nnachopenda, she knows my fantasies na ananijulia aisee.

Tatizo watu wanaoana bila kua marafiki. Big mistake.
Hahaha
 
Back
Top Bottom