Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe nafasi hakika hutajuta, always happy!Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!
Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha
Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.
Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.
Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.
Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.
Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.
Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.
Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .
Location: Napita kwa huzuni.
Kimsingi unachokisema kunaukweli ndani yake. Ndoa nyingi hazina furaha sio kwasababu watu hawapendani lahasha, bali kunanyakati huwa za furaha na nyakati za huzuni. Ni kama vile unavokula muwa tu.
Ananiandalia Bomu la hiroshimaaa soon atanipiga naloo
iviTatizo wanawake "wanamidomo"
YAP YAP..LETA
SAWA MKUUBora kuishi mwenyewe kuliko kuishi na mwanamke...
Nimejaribu kuangalia maisha ya wanandoa wengi nikayatafakari nikagundua bora utafute watoto wako hata wawili alafu uwapeleke kwa bimkubwa baada ya hapo upambane na maisha yako ukiwa single. Ninasema haya maana kuna wakati mtu unaweza kupambana na hali tete ya maisha ili siku isonge ukirudi home...www.jamiiforums.com
Sasa unataka kunilazimishia jibu ndugu yangu.Hahahhahaha usinichekeshe kaka yangu bhn mbn malalamiko kila konaaa