Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good! Miss dodomaHahahaha hongera wewe ni wachache kati ya mia .
Piah huwa sina muda wa kumchimba mtu sijazoea .
Kwa kweli ndoa nyingi hazina Amani, na hakuna sababu ya msingi ya kutokuwa na Amani ila ni wanandoa wenyewe tu wameamua kuishi hivyo. Kwani kuishi kwa furaha au karaha ni maamuzi ya wanandoa, sasa kama mnaona karaha si muamue muishi kwa Amani ila kila mtu anajifanya yeye kamanda bendera bati mlingoti chuma. Acha sisi tuendele kula matunda tuliyorithi kuotka kwa adamu na Hawa
Kupanga nikuchagua relaxHahahaha wewe umetisha jaman kwahiyo saivi hakuna haja ya kuolewa?
Kabisa mkuuTupo pamoja mkuu. Imefika wakati tujitafakari na kuangalia mfumo mwingine kama wa ndoa za mikataba, open relationship..
USITAKE tuanze kufukunyia nyuziJaman unanisingizia
Unajuwa, wenye ndoa na wasio nazo wapo wenye furaha wasio nayo... Tofauti Yao NI kuwa wasio na ndio rahisi SANA kusema ITS OVER BILA KUHUSISHA MTU.. HUKU KWENYE NDOA UKIMFIKIRIA BABA PAROKO, NDUGU WA PANDE ZOTE, ETC unaona ngoja kwanzaHahahaha sawa hata mm sitaki
Ahsante sana mkuuKaribu kanda ya kati