Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

Nakuhamu mimi jamani mhenga...

Mie ndo mke wa jirani
Kweli eeeh. mana nakumis mwenzio hadi nahisi kizungu zungu, yani unavyoniham basi ndo nakwisha kabisa, kama ntakufa baadae. Mahaba kama yote, makopa kopa yakujaza ndoo kubwa ya Lita 20.
 
Acha kudanga, Uoelewe usitafute kujifariji hapa.
 
Kweli eeeh. mana nakumis mwenzio hadi hadi nahisi kizungu zungu, yani unavyoniham basi ndo nakwisha kabisa, kama ntakufa baadae. Mahaba kama yote, makopa kopa yakujaza ndoo kubwa ya Lita 20.
Wewe hujanimiss wala, mbona hujanitafuta eti....
Mpaka nikajiongeza kupita kwa duka lako nikusalimie
 
Wewe hujanimiss wala, mbona hujanitafuta eti....
Mpaka nikajiongeza kupita kwa duka lako nikusalimie
Jamani jamani we ujui ninavyokumisigi, ila nashindwa sasa nitakupatia wapi, yani nakumis weeee daaah. we young generation utaniua eti, sijui umenipa nini
 
Baada ya sisi kusema kama tuna furaha/huzuni na ndoa zetu, singles mtoke mseme kama loneliness inawapa furaha/huzuni.

Maisha haya hupati kila unachotaka, ukiwa single utachezea upweke tu, ukiwa kwenye ndoa kuna nyakati utaboreka na kukosa furaha. Maisha sio "Avogadro's constant", yapo so dynamic.
 
Katika pita pita zangu wasio kwenye ndoa ndiyo hutoa comments za ndoa...

Ni nadra nimekutana na mwanaume anayesema ndoa yake haifurahii......

Kuweni makini na virusi single.
 
furaha ni uamuzi wako, kwa sababu kila eneo iwe kazini sehemu ya biashara kuna changamoto hasi na chanya.

ndoa inapaswa kuwa sehemu ya kutuliza mkazo/stress ulizopata uko ulikotoka iwe kwenye biashara, au kuajiriwa.
sasa kama ndoa tena ina kuwa kama UMEMEZA NDOANO ndugu KUPIGA MBIZI KWENYE LAMI KUTAKUHUSU.

jambo la msingi tusiwe na matarajio makubwa sana kuhusu ukamilifu wa wenza wetu, kila mtu kalelewa huko alivyolelewa tujaribu kutumia ipasavyo yale yanayotuunganisha then furaha itakuwepo
 
Wewe huna ndoa, umeyajua vp ya wana ndoa?
 
Umenena vyema mkuu kumbe tunafeli kwenye matarajio
 
Hahahaha umejua kunichekesha wewe.
Katika pita pita zangu wasio kwenye ndoa ndiyo hutoa comments za ndoa...

Ni nadra nimekutana na mwanaume anayesema ndoa yake haifurahii......

Kuweni makini na virusi single.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…