Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha

Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.

Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.

Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.

Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
Uktaka kujuwa kina Cha maji pima kwa nguu🏇🏇🏇
 
Walio ndoani hawasemi hivyo
Vimalaya na vikahaba ndio vinatusemea
 
Ndoa ni nzuri Sana Kama utaingia kwa kuifuata yenyewe lakini Kama utaingia kwa malengo mengine hautopata furaha yake.
 
@Demis
Ndoa ni pana sana ndugu yangu, ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa, ndoa ni zaidi ya furaha... Katika ndoa wengi mnafeli Kwa kusahau kuwa Mko kwenye ndoa na mkataka muishi Kama wachumba.
Ndoa inahitaji uvumilivu wa kuzoea yale ambayo ulikuwa huyajui na hukuyazoea... Kuna tabia Ulikuwa nazo kipindi hujaoa /Kuolewa inabidi kuziacha ambazo zinakunyima nafasi ya kuiwajibikia ndoa yako...
Unapoingia ktk ndoa ni lazima ujue kuwa kila kitu kinabadilika, Kama Ulikuwa uko huru kufanya mambo yako kwa 100% basi ujue sasa uko huru 50% ,meaning mke au mume wako anakuhitaji Kwa half percent iliyobaki.. Mkizaa watoto ujue uhuru unazidi kupungua, mtoto anakuhitaji, mke au mume anakuhitaji, kazi inakuhitaji.. Sasa unaposhindwa kubalance hivi vitu ujue wazi kabisa hutokaa ufurahie ndoa... Ukisema uongeze na mchepuko ndo kabisa unapotea.. Stress zinaanza, mke au mume anakuwa kero kwako.. Mnakosa kuheshimiana na kila kitu kinabaki kufanyika Kwa mazoea....

Ushauri wangu Kama ukiamua Kuolewa au kuoa , basi Jiulize swali kubwa hili"
“KWANINI NATAKA KUOLEWA/KUOA”
kisha Jipe majibu....
Pili Kabla ya kuingia ktk ndoa fanya tafiti ya watu na ndoa zao ambazo ziko successful na unsuccessful Kisha upate sababu za kila ndoa... Kisha uamue ndoa yako unataka ifanane na Nani kwa na Kwa sababu Zipi kupitia mfumo upi... Nina Hakika Kama utasimama Kama muhusika kamili ndani ya ndoa yako Basi ujue hutokuja kusema ndoa hazina raha.
 
Achana na hao wamama watano, unaweza kupata mifano hata zaidi ya 1M ya ndoa zinazosumbua lakini ikawa si tafsiri ya ndoa yako itakavyokuwa. Ndoa ni nyinyi wawili kuamua jinsi itakavyokuwa. Na lazima muelewe kuwa wote wawili mna mapungufu mengi hivyo muwe tayari kurekebishana na kusameheana ingawa kuna mengine jua lichomeze au lizame hutaweza kuyabadili katu kwenye maisha yenu yote. Sisi binadamu kuna udhaifu tunao ni wa kudumu ni kama kilema. Kwa hali hii itakubidi uvumilie. Kuna mambo mache yasiyovumilika kwa wenzi wa ndoa kama, usaliti( uzinzi), kunyimwa tendo la ndoa, na kipigo.

Kwa kweli hayo mambo matatu ni hatari kwenye ndoa na ndio maana hata sheria za nchi hata vitabu vitakatifu yanaonyesha kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika kama yapo na chanzo cha furaha ya ndoa kama hayatakuwapo. Hata uwe mcha Mungu namna gani au mwaminifu kwa kiwango chochote, mambo yote yatavumilika lakini kama mwenzi wako ni mzinzi na unafahamu, anakupiga kila siku, hakupi ulichofuata kwenye ndoa ( lile tendo ndio kiunganisho kikuu cha ndoa na sababu zingine ndogo zinafuata) basi jua uhai wa ndoa haupo na kama upo hiyo ndoa haina furaha.
Mm nimeshuhudia wamama kama watano wanalia ndoa ndoa sasa wananifanya nichanganyikiwe kabisa
 
Jamani jamani we ujui ninavyokumisigi, ila nashindwa sasa nitakupatia wapi, yani nakumis weeee daaah. we young generation utaniua eti, sijui umenipa nini
Hivi kweli mhenga hujui pa kunipata ama ni kiburi tuu...
Sawa bwana, mie nakuhamu mpaka nikaamua nikuzoommm
 
Achana na hao wamama watano, unaweza kupata mifano hata zaidi ya 1M ya ndoa zinazosumbua lakini ikawa si tafsiri ya ndoa yako itakavyokuwa. Ndoa ni nyinyi wawili kuamua jinsi itakavyokuwa. Na lazima muelewe kuwa wote wawili mna mapungufu mengi hivyo muwe tayari kurekebishana na kusameheana ingawa kuna mengine jua lichomeze au lizame hutaweza kuyabadili katu kwenye maisha yenu yote. Sisi binadamu kuna udhaifu tunao ni wa kudumu ni kama kilema. Kwa hali hii itakubidi uvumilie. Kuna mambo mache yasiyovumilika kwa wenzi wa ndoa kama, usaliti( uzinzi), kunyimwa tendo la ndoa, na kipigo.

Kwa kweli hayo mambo matatu ni hatari kwenye ndoa na ndio maana hata sheria za nchi hata vitabu vitakatifu yanaonyesha kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika kama yapo na chanzo cha furaha ya ndoa kama hayatakuwapo. Hata uwe mcha Mungu namna gani au mwaminifu kwa kiwango chochote, mambo yote yatavumilika lakini kama mwenzi wako ni mzinzi na unafahamu, anakupiga kila siku, hakupi ulichofuata kwenye ndoa ( lile tendo ndio kiunganisho kikuu cha ndoa na sababu zingine ndogo zinafuata) basi jua uhai wa ndoa haupo na kama upo hiyo ndoa haina furaha.
Asante Kwa mawazo mazuri.Kila siku huwa nasema mtu asitishwe na experience za wengine.Kila ndoa ina utafauti wake wa kipekee ndoa hazifanani jamani.Ndoa X ikivunjika haimanishi ndoa Y nayo itavunjika.

Ingia kwenye ndoa ukijua ndoa yako ni ya kipekee hakuna kama yako.Kama ulivosema kikubwa kwenye ndoa ni UPENDO.Ukimpenda mwenzio hutochepuka,hutomnyima iliyo haki yenu,utamsamehe akikosea na mengine mengi,Kwa sababu upendo uvumilia na hauesabu mabaya.Miaka nane sasa kwenye ndoa sijawai juta.
 
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha

Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.

Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.

Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.

Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
ehe
 
Maisha yetu wanandoa ni maisha ya kawaida tu. Kwa sababu hata ukiwa single kuna kuwa na nyakati za huzuni na nyakati za furaha vivyo hivyo ndoani kuna nyakati huwa tunafuraha sana mpaka unahisi umeabrikiwa kuliko binadamu wote wenye ndoa ila kuna wakati pia unahisi una mkosi kuliko viumbe wote duniani.

Hivyo maisha ya yasikutishe kwa sababu ukichunguza wengi huwa wanaomba ushauri kipindi ambacho ndoa zinawasumbua lakini kipindi cha furaha hakuna anayeomba ushauri kuwa Leo nina furaha ndani ya ndoa nifanyaje ili niendelee kuitunza Amani hii.

Ndio maana tunabaki na zile kumbukumbu mbaya tu za wanandoa kwa sababu wanakaa kimya nyakati zao za furaha.
 
Kigori, tuyaache hayo tuyamalize basi mpenzi wangu. Nikuombe msamaha mara ngapi eti? Nifanyeje nipate tena kibali moyoni mwako.[emoji22]
Kumbe kuna muda huwa unanimiss eehhh....
Ndoa yetu ndo inaongoza kwa vurugu duniani, chanzo ni wewe apo handsome
 
Hivi kweli mhenga hujui pa kunipata ama ni kiburi tuu...
Sawa bwana, mie nakuhamu mpaka nikaamua nikuzoommm
Daaah. Sakayo ningejua pa kukupata kila siku ningekupata, ila kama najua sijui, embu nidokeze basi niwe nakuzooom na mimi,
NB: PM hata sifungagi, si unajua joto mjini inatulazimu tulale mlango wazi, wewe je?
 
Baada ya sisi kusema kama tuna furaha/huzuni na ndoa zetu, singles mtoke mseme kama loneliness inawapa furaha/huzuni.

Maisha haya hupati kila unachotaka, ukiwa single utachezea upweke tu, ukiwa kwenye ndoa kuna nyakati utaboreka na kukosa furaha. Maisha sio "Avogadro's constant", yapo so dynamic.
Married and bored or single and lonelyyy
Hupati vyote
 
Achana na hao wamama watano, unaweza kupata mifano hata zaidi ya 1M ya ndoa zinazosumbua lakini ikawa si tafsiri ya ndoa yako itakavyokuwa. Ndoa ni nyinyi wawili kuamua jinsi itakavyokuwa. Na lazima muelewe kuwa wote wawili mna mapungufu mengi hivyo muwe tayari kurekebishana na kusameheana ingawa kuna mengine jua lichomeze au lizame hutaweza kuyabadili katu kwenye maisha yenu yote. Sisi binadamu kuna udhaifu tunao ni wa kudumu ni kama kilema. Kwa hali hii itakubidi uvumilie. Kuna mambo mache yasiyovumilika kwa wenzi wa ndoa kama, usaliti( uzinzi), kunyimwa tendo la ndoa, na kipigo.

Kwa kweli hayo mambo matatu ni hatari kwenye ndoa na ndio maana hata sheria za nchi hata vitabu vitakatifu yanaonyesha kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika kama yapo na chanzo cha furaha ya ndoa kama hayatakuwapo. Hata uwe mcha Mungu namna gani au mwaminifu kwa kiwango chochote, mambo yote yatavumilika lakini kama mwenzi wako ni mzinzi na unafahamu, anakupiga kila siku, hakupi ulichofuata kwenye ndoa ( lile tendo ndio kiunganisho kikuu cha ndoa na sababu zingine ndogo zinafuata) basi jua uhai wa ndoa haupo na kama upo hiyo ndoa haina furaha.
Excellent points

Wapii papaa libolo wazee ya michepuko
 
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha

Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.

Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.

Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.

Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
THE BAD ADVICE FOR THE COUPLES IN THIS 21 CENTURY THEY SERIOUSLY LISTEN AND PUT IN MIND SINGLE MOTHER,SINGLE FATHER AND BACHELOR ADVICE IN THEIR MARRIAGE RELATION, MY DEAR THERE IS NO WAY THAT A DEVIL CAN EVER TELL YOU THE TRUTH EVEN IF HE CHANGES TO BECOME AN ANGEL.
 
Back
Top Bottom