Watu wengi wanapenda uchawi (shiriki)

Kudadeki masharti yote hayo, wacha tu niendelee kumpikia chai mhindi
 
Maarifa, bidii na nidhamu.
Yah hata nyota inakutaka ufanye kazi kwa bidii na nidhamu uwezi kuwa unaamini kuhusu nyota af umekaa ndani tangu asubuhi mpaka jioni
 
Kanisani naposali Padri alilalamika kuwa kuna waumini wanamloga😀
Kuna watu wa Yesu wanaumwa, wananynyasik, wanakufa huko Ukraine na duniani, wanamwita Bwana are ila anawaacha wanateketea. Ina maana huoni?
Yako hata mabaya zaidi ya uliyoyataja mimi nafahamu watu waliookoka na watumishi wa Mungu wanateseka! Ndio maana nikasema ukizijua njia zake na kuzitenda. Wengi walio wakristo kwa bahati mbaya hawazijui njia za Yesu na kuzishika, wanaishi kwa mazoea na ujinga.
 
Mwanangu una mapicha picha mbona hutaki kunisaidia. Nionyesh au nielekeeze kwenye hizo nyuzi. .

Haya maisha yana visanga hujui tu tjnayopitia
Hao wapumbavu si lolote si chochote usiwaogope
 
Ni kweli ndugu yang. Sio kwamba wakristu hawaendi kanisani au hawafati elimu inayotolewa kanisani. Ila elimu yenyew wanayopokea mara nyingi ni potofu
 
Ndo ulivyo uchawi hata waenda KWA waganga uamini watayashinda matatizo
Waganga siwaamini nilimshuhudia mganga mmoja akisema akija hapa najifanya nataka kitenge ili aninulie alikuwa anamwambia ndugu yake kuna mteja alikuwa anaenda kumuona
 
Watu mpo vizuri
 
Duh!!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…