Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Utakufa masikini ivi iviHyo mahangaiko mvivu mie siyawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa masikini ivi iviHyo mahangaiko mvivu mie siyawezi
YahDuh!!....
Jirani 🤣🤣Nielekeze basi mambo ya nyota yanakuwaje, nataka hela ziwe zinanijia tu kila siku
Unataka kusema Mungu hayupo au hausiki chochote hapo?Raha ya pesa umeipata kwa njia ya halali na kuiendeleza kwa njia ya halali bila kumshirikisha Mwenyezi Mungu
Aisee...Kuamini nyota, zodiac signs, or whatever you call it ni uzwazwa first class.
mkuu chunguza uone,yaani kuna watu maisha yao ni kwa waganga tu,akitaka kusafiri lazima ampigie mganga amwangalizie kama njia ni salama,kama akiambiwa sio salama hawezi kusafiri,anahofia inaweza kumkuta ajaliUyo kafikia stage mbaya sana
Amani ilikuja baada ya kuacha maombi?pole mkuu,ukiwa upande wa Mungu mtu wa kuomba utajaribiwa SanaNi kwasababu ndio maana wana amini
Mm kuna kipindi nililazimika kufanya maombi ya vita unaamka saa saba mpa saa nane ila vita ilikuwa kali ase shetani anapandikiza chuki hadi kwa ndugu zako nilichukiwa sana pasi na sababu nikasema ngoja niache haya maombi mpaka leo amani ipo kubwa sana
Yah yaani niliona inazidi yaani mpaka watu wa karibu nikaacha siwezi omba maombi ya vita au kuonyeshwa adui balia kuondolewa adui na kupata amani huwa nikaaza maombi ya vita mambo yanakaza sana mpaka sioni pakutokeaAmani ilikuja baada ya kuacha maombi?pole mkuu,ukiwa upande wa Mungu mtu wa kuomba utajaribiwa Sana
Nitakufaje masikini na wewe best yangu upo, najua nikifulia huwezi nitosa😛Utakufa masikini ivi ivi
Huyo tunate kwenye familia mbona yeye hadi akianguka tu simu moja kwa mganga embu chungulia hukomkuu chunguza uone,yaani kuna watu maisha yao ni kwa waganga tu,akitaka kusafiri lazima ampigie mganga amwangalizie kama njia ni salama,kama akiambiwa sio salama hawezi kusafiri,anahofia inaweza kumkuta ajali
kuna watu humu wanaamini sana waganga,maisha yao yote ni waganga
Jirani na mie nataka niwe tajiri jiraniJirani 🤣🤣
Nakubali sana.Ni kweli ndugu yang. Sio kwamba wakristu hawaendi kanisani au hawafati elimu inayotolewa kanisani. Ila elimu yenyew wanayopokea mara nyingi ni potofu
Mimi hapa nimeambiwa nisile samaki wikii hii na nisivae nguo nyeusi yoyote ile dah 😂😂 uzalendo utanishindaNitakufaje masikini na wewe best yangu upo, najua nikifulia huwezi nitosa😛
Fata masharti bana hela zikujie nyingi unipe na mimiMimi hapa nimeambiwa nisile samaki wikii hii na nisivae nguo nyeusi yoyote ile dah 😂😂 uzalendo utanishinda
Utakuwa jirani, pesa zinakuja..Jirani na mie nataka niwe tajiri jirani
Yah hata nyota inakutaka ufanye kazi kwa bidii na nidhamu uwezi kuwa unaamini kuhusu nyota af umekaa ndani tangu asubuhi mpaka jioni
Sifanyi shirkiNenda zanbar kisiwa cha tumbaty uko utaonana na jini kabisa unaongea nae ana kwa ana kinaga ubaga
Niko hapa nazisubiria kwa hamu jiraniUtakuwa jirani, pesa zinakuja..
Waganga wanapokonya nyota za watu pasipo watu kujua punde unapoenda kupata msaada,Tiba za kinyota aziendani na shiriki