Watu wengi wanapenda uchawi (shiriki)

Watu wengi wanapenda uchawi (shiriki)

Nyota has nothing to do with maisha yako. Huo ni uzwazwa wa kufikirika tu

Nyota ni story za kusadikika kama zilivyo story za ushirikina.

Mtu anaefanya kazi kwa bidii na maarifa atafanikiwa tu hahitaji kujua sijui rangi ya kuvaa au siku ya kufanya jambo ili afanikiwe. Huo ni uzwazwa unaoaminiwa na watu vilaza kiwango cha PhD.
Dah maarifa tunayo ila haya mambo yapo usijifanye hujui yapo
 
Hi,

Watu wengi hapa Tanzania wanapenda uchawi mambo ya kulogana na wanaamini ivyo na wengi washaliwa hela zao nyingi na waganga wa Dar hakuna mganga bali kuna waganga njaa ambao watatoa utabili wa uongo.

Mtu kama anataka kufanikiwa afwate au zingatia sana ushauri wa kinyota kuijua siku yako ya bahati rangi gani inavuta pesa kwako ukivaa au ukipaka nyumba yako kingine pete ya kinyota.

Acheni kuwaamini waganga wa Dar hapa.
Mtoa mada umekuja na topic nzuri ila sasa ww mwenyewe ni mshirikina ety tumia nyota ivi unajua unachokiongea lakini?
Unaijua Elimu ya Falaq ww?

Yni m nabaki kucheka tu mtu ata baskeli hana ety ana nyota ana miliki nyota huu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kabisaaa

Mtoa mada acha kuwaingiza watu kwenye ushirikina
Yni watu kma nyie ndo wale nyani haoni kundule
 
Dah maarifa tunayo ila haya mambo yapo usijifanye hujui yapo

Na wewe unaamini kuna rangi inabidi uvae siku fulani ili ufanikiwe?

Unadhani kuna mambo huwezi fanya just because of your zodiac sign?

Nyie ndo mnaoanza kuuliza partner wenu signs zao na kuanza kuwajudge based on that.

Una tofauti gani na mtu anaeambiwa asioge mwaka mzima ili awe tajiri au alale na nduguye kupata mali? Different sides of the same coin.

Kuamini uchawi na/au nyota ni uzwazwa.
 
Mtoa mada umekuja na topic nzuri ila sasa ww mwenyewe ni mshirikina ety tumia nyota ivi unajua unachokiongea lakini?
Unaijua Elimu ya Falaq ww?

Yni m nabaki kucheka tu mtu ata baskeli hana ety ana nyota ana miliki nyota huu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kabisaaa

Mtoa mada acha kuwaingiza watu kwenye ushirikina
Yni watu kma nyie ndo wale nyani haoni kundule

Different sides of the same coin. Wote wale wale tu.
 
Ila waganga wa vijijini wanaofuata masharti wako poa. Nyota yako inaweza kuchafuliwa au kuchukuliwa na wachawi usipopata mganga mzuri wa kukuganga. Ukiambiwa maisha ni mchezo ni mambo kama hayo.
 
Na wewe unaamini kuna rangi inabidi uvae siku fulani ili ufanikiwe?

Unadhani kuna mambo huwezi fanya just because of your zodiac sign?

Nyie ndo mnaoanza kuuliza partner wenu signs zao na kuanza kuwajudge based on that.

Una tofauti gani na mtu anaeambiwa asioge mwaka mzima ili awe tajiri au alale na nduguye kupata mali? Different sides of the same coin.

Kuamini uchawi na/au nyota ni uzwazwa.
Kuamini mambo ya nyota ni kuacha nature ndio ikuamulie mustakabali wa maisha yako, inatakiwa uicontrol nature na sio nature ndio ikukocontrol.
Waafrika nature ndio inawaamulia wafanye nini
 
Nilizikwagwa na sikufa ndio chupu chupu yangu ya kupona maradhi hatari sanaa
 
Mtoa mada umekuja na topic nzuri ila sasa ww mwenyewe ni mshirikina ety tumia nyota ivi unajua unachokiongea lakini?
Unaijua Elimu ya Falaq ww?

Yni m nabaki kucheka tu mtu ata baskeli hana ety ana nyota ana miliki nyota huu ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu kabisaaa

Mtoa mada acha kuwaingiza watu kwenye ushirikina
Yni watu kma nyie ndo wale nyani haoni kundule
Ika bora nyota kuliko shiriki shiriki watu wanauwana
 
Na wewe unaamini kuna rangi inabidi uvae siku fulani ili ufanikiwe?

Unadhani kuna mambo huwezi fanya just because of your zodiac sign?

Nyie ndo mnaoanza kuuliza partner wenu signs zao na kuanza kuwajudge based on that.

Una tofauti gani na mtu anaeambiwa asioge mwaka mzima ili awe tajiri au alale na nduguye kupata mali? Different sides of the same coin.

Kuamini uchawi na/au nyota ni uzwazwa.
Uchawi na nyota ni tofauti bhna
 
Back
Top Bottom