Watu wenye akili hatupendwi, jamii inatuchukia na kututenga sana

Watu wenye akili hatupendwi, jamii inatuchukia na kututenga sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.

Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.

Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.

Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
 
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.

Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.

Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.

Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
Mbona ulichoandika kinaashiria kuna tatizo kubwa, mtafaruku kichwani mwako🤣
 
Write your reply...Acha watu waongee mazuri yako kina Umughaka masuperstar na hawana kelele na credits wanapewa wewe ujuaji mwingi pole mkuu eti una hela hahahaaaaa
 
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.

Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.

Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.

Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
Umesema kweli. Ndiyo maana wahuni kama Diamond wanaula wakati wasomi tena madaktari wanasota. Ukiandika kitabu leo hupati fedha. Ukitunga wimbo wa matusi unalala maskini na kuamka tajiri kama Diamond na wenzake. Ndiyo maana tuna mabaa na guest houses za chap chap kuliko hospitali na shule nchini. TV zetu zinatangaza ngono kuliko ujasiriamali.
 
Yesu mwenyewe alichukiwa na mazuzu itakuwa wewe ndugu.
 
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.

Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.

Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.

Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
Akili zipi unazomaanisha hapo?
 
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.

Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.

Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.

Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
Nahis uzi nimeandika mimi ukamalzia wewe
Shida ni wewe niligundua hili nina misimamo yangu nina maisha yangu ila watu wa kawaida hawapendi kuonyeshwa wazi wazi ufahamu wao ni wa chini hivyo badilika ishi na falsafa ya mjinga mpe cheo

Usipende kuanzisha complex dialogue wasikilize cheka moyoni fanya yako
 
Nimefatilia hizo comment mkuu ni kweli kabsa watu wanakuchukia, pole sana mkuu
 
Nimefatilia hizo comment mkuu ni kweli kabsa watu wanakuchukia, pole sana mkuu
Nashukuru. Nadhani umeona? Sababu ni kuwa na akili tu.... Ukiwa na akili utachukiwa tu bila sababu. Na wasio nazo utawaona tu wanavyotokwa na povu
 
Back
Top Bottom