Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.
Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.
Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.
Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.
Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watu wanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.
Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.
Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.