Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #61
Kwenu kati ya bibi yako na mama yako nani ni mchawi?Mhhhh chizi karogwa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu kati ya bibi yako na mama yako nani ni mchawi?Mhhhh chizi karogwa tena
We si unajifanya mpemba kamwambie sheikh wako apige ramli akupe jibu.Kwenu kati ya bibi yako na mama yako nani ni mchawi?
Jiangalie bint ...sisi hatuchezewi ujue...unaweza patwa na shipa likaota katikati ya mapaja kwa nyuma....shauri yako... Au unaweza kuwa unakunya mananazi kwa muda wa week nzima.....usije sema sikukuonyaWe si unajifanya mpemba kamwambie sheikh wako apige ramli akupe jibu.
Hongera sana kwa kufikia hatua hyo. Kawaulize vzuri wapemba mim nimetokea wapi chimbuko langu lipi alfu ukimaliza waambie waje nyt kunijaribu watakupa majibu.Jiangalie bint ...sisi hatuchezewi ujue...unaweza patwa na shipa likaota katikati ya mapaja kwa nyuma....shauri yako... Au unaweza kuwa unakunya mananazi kwa muda wa week nzima.....usije sema sikukuonya
Dk chache ngoja nipate jina lako. Utanipa majibu.Hongera sana kwa kufikia hatua hyo. Kawaulize vzuri wapemba mim nimetokea wapi chimbuko langu lipi alfu ukimaliza waambie waje nyt kunijaribu watakupa majibu.
Ukitaka na jina la babu muanzisha ukoo ntakupaDk chache ngoja nipate jina lako. Utanipa majibu.
Nitumie please. Na namba yako ya simu nihakikishe jinaUkitaka na jina la babu muanzisha ukoo ntakupa
Unataka kusema naye anafanana na yule mchizi aliyepotwa siku hizi? Bila dawa halali?Tumia dawa zako tafadhali
Namba yangu ya simu kamuulize mganga wakoNitumie please. Na namba yako ya simu nihakikishe jina
😂😂Unataka kusema naye anafanana na yule mchizi aliyepotwa siku hizi? Bila dawa halali?
Kabisa aiseee. Ni wivu tuYah, kwa staili hii jamii lazima ikuchukue