Mickbrown
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 409
- 496
Tumia akili zako kurekebishaOne Men?π³π³π³π³ Jamani msiige mambo msiyoyajua.ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili zako kurekebishaOne Men?π³π³π³π³ Jamani msiige mambo msiyoyajua.ππππ
Siyo one men. Ni one man down. Tunza hii itakusaidia next time.Tumia akili zako kurekebisha
I don't think you have reached that stage. You have got to reach the stage of self determination first, before you can reach the stage of self recognition.Self Recognition. Are you aware of that?
The process you have passed through aint no for all formula. πI don't think you have reached that stage. You have got to reach the stage of self determination first, before you can reach the stage of self recognition.
Tangazo ukilichana ndio Usha lisomaSiyo one men. Ni one man down. Tunza hii itakusaidia next time.
If you think about it deeply, the better you are going to get my point.The process you have passed through aint no for all formula. π
Safi sana. Wewe ulibaki peke yako room? Halafu sabuni yako ndo unaita simu ya ofisi?πππTunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life.
Ndugu Chizi Maarifa , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu ya ofisi.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni
I wish you could get a chance to start thinking deeply first. πIf you think about it deeply, the better you are going to get my point.
Kumbuka kumeza dawa zako, ni kutwa Γ30Safi sana. Wewe ulibaki peke yako room? Halafu sabuni yako ndo unaita simu ya ofisi?πππ
Ukiziona nistue...Najaribu kuzitafuta Akili ndani Ya andiko Lako...Lkn waapi..! Una hakika Unazo.?
Hapa sasa nawaachia wadau wasome wa conclude wao....π Nlijua tu utathibitisha ndo maana nlikuwa naenda nawe pole pole.Kumbuka kumeza dawa zako, ni kutwa Γ30
Ataona wakati hana akili? Si rahisi.Ukiziona nistue...
Unaweza elewa kichina ikiwa hukifahamu? Si rahisi. πNajaribu kuzitafuta Akili ndani Ya andiko Lako...Lkn waapi..! Una hakika Unazo.?
Kuwa hana nafahamu ..sasa kasema anazo ngoja wamsachi usikute kazifichaAtaona wakati hana akili? Si rahisi.
Well, let's end here. "Your wish is my command".I wish you could get a chance to start thinking deeply first. π
Angeficha kama angekuwa nazo... Hana halafu hajui kama hana....wanaweza msachi akawa anakataza wasiguse mifuko mingine kumbe humo kaficha mawe.....πKuwa hana nafahamu ..sasa kasema anazo ngoja wamsachi usikute kazificha
Nashauri wamkague katikati ya makalio anaonekana ndo anachotafutaAngeficha kama angekuwa nazo... Hana halafu hajui kama hana....wanaweza msachi akawa anakataza wasiguse mifuko mingine kumbe humo kaficha mawe.....π
Mhhhh chizi karogwa tenaWe angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili.
Mi najiona kabisa kila nikitoa hoja watwanapinga sababu hawaelewi. Ila wachache wenye akili ndo wanaelewa.
Mi nachukiwa sana humu JF. Nadhani naongoza. Lakini ukitizama ni sababu tu NINA AKILI,NINA PESA, HENDISAMU NA NAPENDEZA KINYAMA. hii inasababisha nichukiwe sana. Nimekuwa nikitoa ma idea makali watu wanaenda pigia pesa huko kitaa.
Nyuzi zangu kadhaa watu wameenda ombea mkopo na nyingine zimetumika kufundishia vyuoni. Ila waswahili wananichukia sana. Ni wivu tu....hamna kingine. Na nitawala sana dada zao mbwah hawa. Ndo waelewe aliyepewa kapewa tu.