Watu wenye akili hatupendwi, jamii inatuchukia na kututenga sana

Wapi GENTAMYCINE?
 
Unaambiwa usiwaguse MASIHI wa Bwana, na pia unaambiwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Tangu amemvamia UMUGHAKA, anaambulia za chembe kwenye kila analolifanya
Kupanga ni kuchagua.... Mi nimechagua hivi.... Kuna ambao wanatukanwa sababu ya kumpongeza Magufuli, Samia,Mbowe n.k. mimi nimechagua hivi. Hili ni jukwaa huru. Na wewe chagua kuwa chawa wa mtu flani ili upendwe....πŸ˜‚
 
I can repeat one Men down..over ! Do you copy..? ...over
 
Utaona mtu mwenye akili hata anapotukanwa harudishii...yaani unamwona yupo so cool.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Oyi, stop bragging about yourself...!
 
Kweli wewe ni chizi maarifa ni Mhaya nini mbona sifa kibao ungekua na akili tungekuona kwenye orodha ya matajiri duniani watu wenye akili ni matajiri nyinyi wa kukariri makaratasi ni ubishi tu.
 
Kweli wewe ni chizi maarifa ni Mhaya nini mbona sifa kibao ungekua na akili tungekuona kwenye orodha ya matajiri duniani watu wenye akili ni matajiri nyinyi wa kukariri makaratasi ni ubishi tu.
Bob unataka nitembee nimebandika kwenye shati mali nlizo nazo? Uhaya pia hauhisiani kabisa na mimi kujitambua. Unajua kila mtu ana haki ya kujitambua alivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…