Watu wenye akili hatupendwi, jamii inatuchukia na kututenga sana

I don't think you have reached that stage. You have got to reach the stage of self determination first, before you can reach the stage of self recognition.
The process you have passed through aint no for all formula. 😁
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life.

Ndugu Chizi Maarifa , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu ya ofisi.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni
 
Safi sana. Wewe ulibaki peke yako room? Halafu sabuni yako ndo unaita simu ya ofisi?😁😁😁
 
Kuwa hana nafahamu ..sasa kasema anazo ngoja wamsachi usikute kazificha
Angeficha kama angekuwa nazo... Hana halafu hajui kama hana....wanaweza msachi akawa anakataza wasiguse mifuko mingine kumbe humo kaficha mawe.....πŸ˜‚
 
Angeficha kama angekuwa nazo... Hana halafu hajui kama hana....wanaweza msachi akawa anakataza wasiguse mifuko mingine kumbe humo kaficha mawe.....πŸ˜‚
Nashauri wamkague katikati ya makalio anaonekana ndo anachotafuta
 
Mhhhh chizi karogwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…