Watu wenye ID mbaya humu JamiiForums

Watu wenye ID mbaya humu JamiiForums

Mbona yule rafiki yako mpinzani yule kwenye ubishi kule hujamtaja au una muogopa[emoji1] [emoji1] maana yake nimeirudia thread mara 2 mbili sijaliona
 
Kuna huyu mwenye id flani hivi ananiumiza kichwa mno... yaani nakuwa kama na fanya mahesabu kwa lugha ya kichina

naamini akiiona hii comment atanielewa..
 
Katika miaka 3 niliyojiunga humu JamiiForums nimekutana ID mbalimbali zenye majina mabaya na nyingine hata kuzisoma na kutamka ni kazi.Kama zifuatazo : NYANI MZEE ,jichawi , Bujibuji ,@mzabmzab , @chinchlla coat , nyakandula ,Erythrocyte ,Wervemarcel ,@jacspyro,GENTAMYCINE ,makalio ya kienyeji ,Mzizi wa Mbuyu,MziziMkavu ,Nyani Ngabu,@zeduduz ,@mpigamsuli,@mavimavi ,@ndyoko,kyamafi, @ulukulokwitanga,@kifilio ,Naibili nk wadau mnaweza na nyie mkaongeza kwa kuweka ID mlizokutana nazo humu

Hapo Werve marcel Vipi????

Cc Eddy love.
 
Back
Top Bottom