Watu wenye kauli hizi uwaepuke, zinaambukiza

Watu wenye kauli hizi uwaepuke, zinaambukiza

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
1: Mimi au sisi ni masikini
Mtu anayekiri umasikini ataishia kuwa masikini tu na ukimuendekeza atakuambukiza.

2: Maisha ni magumu
Haisaidii kitu kukiri ugumu wa maisha. Tumia Muda mwingi kutafuta suluhisho. Ukizungukwa na watu wa namna hii kila kitu na wewe utakiona ni kigumu.

3: Haiwezekan i kutoboa, sisi tumeandikiwa kufeli hata tufanyeje. Kimbia kabisa mtu huyu unless amekuonyesha hilo daftari na muandishi wake ambaye analisti wa watu watakaofeli.

Dunia inawatu 8B+ huwezi kuwa na ukaribu na kila mtu, chagua ambaye kauli zenu zinaendana. Watu wanaokuongezea kasi, watu wanaokuongezea nguvu. Hawa wengine usiwachukie lakini usiwape nafasi kubwa watakuambukiza.

Wawili wawezaje kutembea isipokuwa wamepatana? Amos 3:3

Ni hayo tu.
 
Wewe bado hujafanikiwa ndo maana una primitive thinking, people are no longer walking the talk. Waliofanikiwa wengi wanaongea vitu in opposite meaning, they don't mean at all what they say maana easy say ndo easy goes. Pambana ufike level ya kuelewa hivyo vitu vidogo boss kubwa.
 
1: Mimi au sisi ni masikini.
Mtu anayekiri umasikini ataishia kuwa masikini tu na ukimuendekeza atakuambukiza.

2: Maisha ni magumu.
Haisaidii kitu kukiri ugumu wa maisha. Tumia Muda mwingi kutafuta suluhisho. Ukizungukwa na watu wa namna hii kila kitu na wewe utakiona ni kigumu.

3: Haiwezekan i kutoboa, sisi tumeandikiwa kufeli hata tufanyeje. Kimbia kabisa mtu huyu unless amekuonyesha hilo daftari na muandishi wake ambaye analisti wa watu watakaofeli.

Dunia inawatu 8B+ huwezi kuwa na ukaribu na kila mtu, chagua ambaye kauli zenu zinaendana. Watu wanaokuongezea kasi, watu wanaokuongezea nguvu. Hawa wengine usiwachukie lakini usiwape nafasi kubwa watakuambukiza.

Wawili wawezaje kutembea isipokuwa wamepatana? Amos 3:3


Ni hayo tu.
 
Waiteeee.....tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta,na hakika inafunguka
 
unafikiri kuna tajiri mjinga atakwambia nina miliki 1,2,3 na biashara ina faida 1,2,3 nk futa kichwani hilo tena kwa ufuto mkali


Kwani kuwa na positive vibe ama kunena maneno chanya ndio kutoa ramani ya Hazina?


Umewahi kuzungumza on a mutual level na mtu gani unaeamini ni tajiri kwa Upeo wako japo dakika 10 tu(Sio Wanasiasa na watumishi wa ummah a.k.a waheshimiwa)? Mlizungumza jambo gani?


Maneno yana nguvu ya ajabu sana kwa kiumbe hai. Hasa mwenye ufahamu juu ya uwepo wake na mazingira yake.
 
Back
Top Bottom