Watu wenye kauli hizi uwaepuke, zinaambukiza

Watu wenye kauli hizi uwaepuke, zinaambukiza

Kwani kuwa na positive vibe ama kunena maneno chanya ndio kutoa ramani ya Hazina?


Umewahi kuzungumza on a mutual level na mtu gani unaeamini ni tajiri kwa Upeo wako japo dakika 10 tu(Sio Wanasiasa na watumishi wa ummah a.k.a waheshimiwa)? Mlizungumza jambo gani?


Maneno yana nguvu ya ajabu sana kwa kiumbe hai. Hasa mwenye ufahamu juu ya uwepo wake na mazingira yake.
tayari umenifunga kwenye mabano mkuu...ila huo ndio ukweli na uhalisia wenyewe uliza popote
 
Kwani kuwa na positive vibe ama kunena maneno chanya ndio kutoa ramani ya Hazina?


Umewahi kuzungumza on a mutual level na mtu gani unaeamini ni tajiri kwa Upeo wako japo dakika 10 tu(Sio Wanasiasa na watumishi wa ummah a.k.a waheshimiwa)? Mlizungumza jambo gani?


Maneno yana nguvu ya ajabu sana kwa kiumbe hai. Hasa mwenye ufahamu juu ya uwepo wake na mazingira yake.
 
Maisha ni magumu kweli.

Kwanini kusema uongo wakati ni kweli maisha ni magumu, kama marahisi ni kwako na wengine, sio wote wana urahisi wa maisha.

Nakufananisha na wale wahubiri wakujiita manabii na mitume.
Wakikuombea na hujapona watakulaumu una imani ndogo ila ukipona sifa zote kwao.
 
Wengine wanajifanya masikini labda ni maelekezo ya waganga. Nazungumzia watu wanaoishi kwa kufuata kanuni za asili na za Mungu.
 
Wewe bado hujafanikiwa ndo maana una primitive thinking, people are no longer walking the talk. Waliofanikiwa wengi wanaongea vitu in opposite meaning, they don't mean at all what they say maana easy say ndo easy goes. Pambana ufike level ya kuelewa hivyo vitu vidogo boss kubwa.
 
tayari umenifunga kwenye mabano mkuu...ila huo ndio ukweli na uhalisia wenyewe uliza popote


Sina haja ya kuuliza sana maana Kama wewe ni mtanzania mwenzangu nina Imani yaliyopo kwako na kwangu yapo na kinyume chake.


Sasa kweli wanasiasa na ‘waheshimiwa’ wa Tanzania wanaweza kuwa na mazungumzo chanya yapi ya kumuinua mtu anaetafuta kuinuka ama aliekata tamaa?

Lini umewashuhudia hata katika mazungumzo ya kawaida kabisa na jamii ya kawaida kabisa wakiongea maneno ya kujaza moyo na kuamsha moto wa mapambano yoyote yale ya kimaisha?



Tukiachana na hao je hawa matajiri ambao ni raia wema majirani zetu na ndugu zetu mitaani wenyewe wanamazungumzo chanya Yapi kati yetu sisi na wao?

Ni katika mazungumzo yako mangapi na watu wa jamii yako waliofanikiwa na ambao wanapambana kufanikiwa umewahi kuwasikia wakiwazungumza maneno chanya yenye kujenga ari na nguvu ya ndani ya kupambana?

Ndani ya family zetu ni wangapi wanazungumza na sisi mazungumzo chanya ya kunyanyua na kujenga?

Nguvu ya uumbaji ipo kwenye maneno pia.
 
Sina haja ya kuuliza sana maana Kama wewe ni mtanzania mwenzangu nina Imani yaliyopo kwako na kwangu yapo na kinyume chake.


Sasa kweli wanasiasa na ‘waheshimiwa’ wa Tanzania wanaweza kuwa na mazungumzo chanya yapi ya kumuinua mtu anaetafuta kuinuka ama aliekata tamaa?

Lini umewashuhudia hata katika mazungumzo ya kawaida kabisa na jamii ya kawaida kabisa wakiongea maneno ya kujaza moyo na kuamsha moto wa mapambano yoyote yale ya kimaisha?



Tukiachana na hao je hawa matajiri ambao ni raia wema majirani zetu na ndugu zetu mitaani wenyewe wanamazungumzo chanya Yapi kati yetu sisi na wao?

Ni katika mazungumzo yako mangapi na watu wa jamii yako waliofanikiwa na ambao wanapambana kufanikiwa umewahi kuwasikia wakiwazungumza maneno chanya yenye kujenga ari na nguvu ya ndani ya kupambana?

Ndani ya family zetu ni wangapi wanazungumza na sisi mazungumzo chanya ya kunyanyua na kujenga?

Nguvu ya uumbaji ipo kwenye maneno pia.
itoshe kusema hakuna haja ya kujipambanua sana..kuna watu si wakuwaeleza ukweli utachakaa
kwani kuna haja gani ya kuamsha walio lala unafikiri wahenga ni wajinga kukwambia utalala wewe pia nakubali kutokubaliana na wewe.
 
Nyinyi wa design hii tunawaita waua Hatma...yaani mnapotosha wenzenu wasifanikiwe,sijui inawasaidia Nini!
Unamaanisha sisi ndio tuna hatma ya watu wengine? Acha kujidanganya kuna watu hata uwape ukweli wa namna gan nothing will change them Zaid ya kupiga mizinga tu
 
Unamaanisha sisi ndio tuna hatma ya watu wengine? Acha kujidanganya kuna watu hata uwape ukweli wa namna gan nothing will change them Zaid ya kupiga mizinga tu
Hampendi wenzenu wafanikiwe.
 
Hamna watu nawachukia Kama motivation speakers!!, Ndio dizaini yako mtoa mada!!. Hakuna njia nyepesi ya kutamka ugumu wa maisha... Yaani unataka mtu aseme maisha ni rahisi ili hali hapati mahitaji yanayomtoshelezi?, Kwamba ukisema maisha magumu ndio huwezi kupata pesa?.
Acheni kupaka mafuta mambo yanayohitaji kusemwa bayana, haya wewe usiyoyasema haya umefanikiwa/umetoboa?, Maisha kwako ni rahisi?.

Motivation speakers wanakwambia ukilima nyanya hekari mbili unapata zaidi ya 3m 😅🙄 wakati huo hajawahi hata kulima nyanya hizo....
 
Hampendi wenzenu wafanikiwe.
Izo ni kauli tu mdogo wangu,bila shaka hata baba ako huwa anazitumia ila haina maana hapendi wengine wafanikiwe! Labda Kama una lengo lingine lkn ukizungumzia mafanikio ya wengine nimesaidia wengi sana mpaka sasa Wana maisha yao
 
Wewe bado hujafanikiwa ndo maana una primitive thinking, people are no longer walking the talk. Waliofanikiwa wengi wanaongea vitu in opposite meaning, they don't mean at all what they say maana easy say ndo easy goes. Pambana ufike level ya kuelewa hivyo vitu vidogo boss kubwa.
 
Back
Top Bottom