Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Watu wenye miguu flat ..wana shida gani?

Nilikua nasikia sikia tu kuwa watu wenye miguu flat chini
yaani nyao zao hazina uvungu katikati huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi
sababu hawataweza mikikimikiki ya jeshi hasa kukimbia mchakamchaka

Juzi kati nimethibitishiwa na watu wa jeshini kuwa ni kweli kabla ya kujiunga
jeshini lazima ukaguliwe miguu na ukikutwa ni flat feet hawakuchukui

Niko very very curious na hili.....

je hii ni scientific theory?
nchi zote inatumika hii au kwetu tu??

Na mtu kuwa na miguu flat maana yake ana afya dhaifu?

kuna yeyote anaeweza kunipa maelezo zaidi?
 
Nilikua nasikia sikia tu kuwa watu wenye miguu flat chini
yaani nyao zao hazina uvungu katikati huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi
sababu hawataweza mikikimikiki ya jeshi hasa kukimbia mchakamchaka

Juzi kati nimethibitishiwa na watu wa jeshini kuwa ni kweli kabla ya kujiunga
jeshini lazima ukaguliwe miguu na ukikutwa ni flat feet hawakuchukui

Niko very very curious na hili.....

je hii ni scientific theory?
nchi zote inatumika hii au kwetu tu??

Na mtu kuwa na miguu flat maana yake ana afya dhaifu?

kuna yeyote anaeweza kunipa maelezo zaidi?
Pia kwa wanawake nasikia wengi wao huwa na njia ndogo sana ya uzazi kitu ambacho hupelekea wengi wao kujifungua kwa kisu.
 
Pia kwa wanawake nasikia wengi wao huwa na njia ndogo sana ya uzazi kitu ambacho hupelekea wengi wao kujifungua kwa kisu.
Nijuacho na niliambiwa kuhusu hill,Ni kwamba huwa ukiduu nae ,ukitoka mlangoni utotoke kinyumenyume,mama zivyo utapa mabalaaa,kila sijaprove kama Ni kweli maana wansema wahenga kuwa huwa hawana bahati ukimuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilisikia hasa kwa kina dada kwamba wana huruma!! si wachoyo kabisa.
 
Watu wengi hawana flat sole.
Kama mtu Ana flat sole hakubaliwi jeshini kwasababu theory Ni kuwa wanapata shida kukimbia.

Mtu kwenye Sole ya kawaida anaweza kutembea vizuri na muni know kwasababu pronation(yani movement ya mguu kuelekea ndani) na suppination( movement ya mguu kuelekea nje na mbele) ziko neutral,yani haijazidi wala kupungua.Kwaiyo ana balance nzuri.

Mtu mwenye flat sole Ana over pronate..mguu Una rotate zaidi kuelekea ndani na inachukua mda kwa mguu Ku suppinate yani kuelekea nje na pia kusukuma mguu mbele.
Kwa hiyo anashidwa kujibalance.Akishindwa kujibalance inamaana anashindwa kuhimili shock sanasana wakati wakukimbia.hivyo hana stability.
Na kama hana stability atapata majeraha na jeshi siyo sehemu yake since kuna mazoezi mazito.

Pia kama unapendelea kuvaa flat shoes Kama simples sanasana kwa wanawake,unaweza ukapata athari Kama za wenye flat feet.




Sent using Jamii Forums mobile app

d8f2f0_1777bcd0ed4b96f7570efa55ac7615ac.jpg_256
Flat-Foot1.jpg




nyie mna uhakika na mchowaambia wapiga kura?, mimi mbona nina flat foot lakini kwa kutembea kaka kutwa nzima hunitoi, kukimbia hata km 20 utachoka wewe, hizo ni theory tu za miaka mingi - kuna muda walisema jeshini hawapokei watu wafupi - lakini sasa hebu kaangalie vi-anduje kibao tu mbona.
 
d8f2f0_1777bcd0ed4b96f7570efa55ac7615ac.jpg_256
Flat-Foot1.jpg




nyie mna uhakika na mchowaambia wapiga kura?, mimi mbona nina flat foot lakini kwa kutembea kaka kutwa nzima hunitoi, kukimbia hata km 20 utachoka wewe, hizo ni theory tu za miaka mingi - kuna muda walisema jeshini hawapokei watu wafupi - lakini sasa hebu kaangalie vi-anduje kibao tu mbona.
Exactly,hiyo Ni theory.Kwahiyo sijadanganya popote.
Ni theory kwasababu watu wote wenye flat feet hawaonyeshi the same manifestations.
Wako wengine wanaoteseka na inabidi wavae sole maalumu kuwasaidia.
Wengine kama wewe hawana shida.Kwa hiyo since hauna shida usione wote wako kama wewe.
 
Back
Top Bottom