Naongezeaa π Maradona and Lionel Messi ni wachezaji wa ajabu kuwahi kutokea...
Zile zilikuwa βfixβ zake tu, tena alikuwa chizi! Katika nchi makini angeshtukiwa asingepata nafasi ya kugombea u Rais!Ila John kaexit kiboya sana;eti kafia hospitali ya Mzena
Dikteta wetu aliuawa na dude alilolichukulia βpoaβ. Naona βnyunguβ zilidunda. Bila shaka anaendelea kuvuna alichopanda. Anawashuhudia aliowadhulumu uhai wakifarijiwa, anapiga kelele kuwaomba msaada, ukuta wa Jehanum unameza sauti yake.mkuu siku zote madikteta uchwara hufa vifo vya kiboya Sana harafu utakuta kitu kilichomuua ndio alikua anakichukulia poa
Hata Hitler alikua anawachukulia poa warusi akajua kua strong weapon zake zitawafyeka ndani ya wiki ajabu alisota nao mbaka akajuta kuwachukulia poa pale staringard battle jeshi lake lilikua linakula kichapo na vikundi vya mademu wabishi wa kirusi mbaka akaamua atumie silaha za maangamizi
Imagine mkuu unatumia AK 47 machine gun kumuulia panya ndani kwako what a joke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo hata mimi naweza ingia ktk rekodi "nimegombea ubunge mara sita bila kushinda na sijakata tamaa"Ngoja aje afanye matembezi Bongo
Laliga wameondoa video yako.
Restriction: Copy right issue
Why: This video may play in some state or Browser but not every where
Alternative: Remove some content and make it again
Kwahiyo mkuu Hutu boya Alifia wapiZile zilikuwa βfixβ zake tu, tena alikuwa chizi! Katika nchi makini angeshtukiwa asingepata nafasi ya kugombea u Rais!
πππππππ16.john p Magufuli
Huyu Ana uwezo wa kwenda mbinguni akaongoza malaika
Ndo maana ukiambiwa kila mafanikio ya mwanaume nyuma yake kuna mwanamke ndo Huyo mama,sio huyu we limtu lizima linakita babe.πππ Hongera kwa huyo mama na mama wengine wa aina hiyo.