Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

mkuu siku zote madikteta uchwara hufa vifo vya kiboya Sana harafu utakuta kitu kilichomuua ndio alikua anakichukulia poa
Hata Hitler alikua anawachukulia poa warusi akajua kua strong weapon zake zitawafyeka ndani ya wiki ajabu alisota nao mbaka akajuta kuwachukulia poa pale staringard battle jeshi lake lilikua linakula kichapo na vikundi vya mademu wabishi wa kirusi mbaka akaamua atumie silaha za maangamizi
Imagine mkuu unatumia AK 47 machine gun kumuulia panya ndani kwako what a joke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dikteta wetu aliuawa na dude alilolichukulia “poa”. Naona “nyungu” zilidunda. Bila shaka anaendelea kuvuna alichopanda. Anawashuhudia aliowadhulumu uhai wakifarijiwa, anapiga kelele kuwaomba msaada, ukuta wa Jehanum unameza sauti yake.
 
Nikibonyeza inaleta hivi.
Ipo mkuu, bonyeza itakupeleka
Screenshot_20210704-134736.png
 
Back
Top Bottom