Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,365
- 2,732
Dah ! Akili zetu zmenunuliwa na mbow.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Scooby Doo
Hi ni kijeli ya kiwango cha lami.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ! Akili zetu zmenunuliwa na mbow.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Scooby Doo
Kuwa na raia wenye Low IQ kama huyo ni ngumu sana kama nchi kuendelea. Nchi ili iendelee kwa maana ya kuwa na maendeleo ya mtu mmoja mmoja, mbali na sababu zingine; Inabidi nchi isiwe na raia kama hawa.Huenda Mkuu ,kuwa mjinga ni hasara sana .
Sijapanga ila pia sjajenga. Naamini nmekujibu vizuri, sasa usianze kuniulza naishi wap au kuanza kukisia kisia kuwa naishi kwa wazee maana utakuwa umenikosea adabu.Mkuu usiwasemee watu, nimekuuliza ww uneshajinga kwako au bdo umepanga kwa mjasiriamali??😛😛
Amewakosea adabu sana walio jiajiri na walio na mpango wa kujiajiriKuwa na raia wenye Low IQ kama huyo ni ngumu sana kama nchi kuendelea. Nchi ili iendelee kwa maana ya kuwa na maendeleo ya mtu mmoja mmoja, mbali na sababu zingine; Inabidi nchi isiwe na raia kama hawa.
Leo kwa mara ya kwanz ndio nimeshuhudia binadamu mmoja kutoka Tanzania anadiscourage kujiajiri. Ni hatari sana.
Hahaha, unanikumbusha Lord Lofa wa madenge. Ila mtakoma tu mpaka 2025Huyo ni Lofa mkuu achana nae.
U idiot huanza pela mtu unapodhani kuwa kuajiriwa ni laana. Mimi nasisitiza vijana kuwa wabunifu hata ktk mazingira yao ya kazi. Kwa hiyo akili zenu mbovu nyie mnadhani kuajiriwa ni laana eti ujiajiri, hivi unajiajiri kwa mfumo upi??? Kwa sababu IQ yenu ndogo basi siwezi kubishana na ninyi.Amewakosea adabu sana walio jiajiri na walio na mpango wa kujiajiri
Serekali na mashirika yote hayawezi kuajiri watu wote wanaotaka ajira ndo maana kujiajiri si mhimu tu bali ni lazima wengine wafanye hivo ili wajipatie mahitaji mhimu ya kibidamu
Sasa nadhanga huyu, unaye discourage kujiajiri
Kanikosea adabu sana kias chake.
Mtu yeyote mwenye mind ya kuajiriwa ni masikini wa fikra na vitu. Na atakufa masikini labda awe mwizi wa pesa za umma. Full stop.U idiot huanza pela mtu unapodhani kuwa kuajiriwa ni laana. Mimi nasisitiza vijana kuwa wabunifu hata ktk mazingira yao ya kazi. Kwa hiyo akili zenu mbovu nyie mnadhani kuajiriwa ni laana eti ujiajiri, hivi unajiajiri kwa mfumo upi??? Kwa sababu IQ yenu ndogo basi siwezi kubishana na ninyi.
Ungesoma vizur nlichokiandika usingesema haya unayosema,U idiot huanza pela mtu unapodhani kuwa kuajiriwa ni laana. Mimi nasisitiza vijana kuwa wabunifu hata ktk mazingira yao ya kazi. Kwa hiyo akili zenu mbovu nyie mnadhani kuajiriwa ni laana eti ujiajiri, hivi unajiajiri kwa mfumo upi??? Kwa sababu IQ yenu ndogo basi siwezi kubishana na ninyi.
Umesema ukweli Mkuu , atakaye pinga hilo atakuwa kakukosea adabu sana.Mtu yeyote mwenye mind ya kuajiriwa ni masikini wa fikra na vitu. Na atakufa masikini labda awe mwizi wa pesa za umma. Full stop.
Asubuhi njema.
Kuchomekea mda wote na viyoyozi vinawangarsha kiasi chakeUzuri nikishawahi Fanya kazi kwenye ofisi flani wanakopesha wafanyakazi!
Kwahiyo mawazo kama yako nikiona nacheka sana.....
Maisha mnayoishi waajiriwa Ni vile kuoga na kufua nguo vizuri ndo kunawasitiri!
Kuna watu wana ajira zinawalipa vzr sana, huu ni mtazamo wako tu mkuu. Huo uhuru mnaousema ata kwenye kujiajiri haupo , jaribu kuwa huru ulale njaa. Ata ivyo mkuu ww unafuga nn? Au unalima nn??Mtu yeyote mwenye mind ya kuajiriwa ni masikini wa fikra na vitu. Na atakufa masikini labda awe mwizi wa pesa za umma. Full stop.
Asubuhi njema.
hahaha JF raha sana.Si utakua Tarzan?
Kweli kabisa!Kuchomekea mda wote na viyoyozi vinawangarsha kiasi chake
Cha mhimu walioajiriwa na kujiajiri waheshimiane .Maana kudharauliana ni kukoseana adabu sana.
wewe mdada una akili mgando sana.....yaani mzazi aache kumwandalia mwanae future yake na amuachie Mungu???Hapo mdau ndiyo unakosea, familia hawaachiwi urithi wa hela. Ila urithi wa wazo la ubunifu lililozaa hela ndicho unatakiwa kuwaachia familia. Pia usipende kuingilia majukumu yasiyokihusu, Mungu kawaandalia wanao namna ya kutoka kimaisha.
Amna kwenye uhuru hata kidogo, na ukisema unajiajiri ili upate uhuru utakuwa wewe ni zezeta, kujiajiri kunahitaji umakini sana mda mwingne ,Kuna watu wana ajira zinawalipa vzr sana, huu ni mtazamo wako tu mkuu. Huo uhuru mnaousema ata kwenye kujiajiri haupo , jaribu kuwa huru ulale njaa. Ata ivyo mkuu ww unafuga nn? Au unalima nn??
Wadada achana nao hatuwapagi kitu cha urithi ili ku avoid double counting, Heshma Sana kwa wazee wetu wa zamani kwa kujua jinsi kuondoa tatizo la double counting kwa kuwanyima wanawake urithiwewe mdada una akili mgando sana.....yaani mzazi aache kumwandalia mwanae future yake na amuachie Mungu???
Acha kauli za kibaguzi , dada ako aliyekupikia leo unamwita housegirl asiye na mshahara. Nyie ndo mamburula mnaowaacha watoto wenu wa kike wakateseke kwenye ndoa badala ya kuwaandaa wajitegemee.Wadada achana nao hatuwapagi kitu cha urithi ili ku avoid double counting, Heshma Sana kwa wazee wetu wa zamani kwa kujua jinsi kuondoa tatizo la double counting kwa kuwanyima wanawake urithi
Hamna haja ya Wanawake kurithi mali kama watoto wa kiume wapo, maana wao watazikuta kwa mumewe naye kurithi
Kama mumewe hajarithi chochote ni uzembe wa wakwe wake kutafuta mali
Kama mwanamke akisema yeye haolewi ili arithi mali, anaangukia pua vibaya kwa kuwa house girl asiye kuwa na mshahara
NB. Tutafute vyetu vya wazaz ni vyao
Pia
Usikubali kugawana mali za urithi na Dada, unakuwa umeunda tatizo la double counting