Watu weusi Afrika Kusini waache kujifaragua. Bila wazungu hayo maendeleo na uchumi utabaki ndoto


"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
📌Tafuta hela maskini wewe!!!
 
Inaonekana wasouth hawajui shuruba tunazopitia sisi tusiokuwa na wazungu.

📌Na wakija tuwape serikali watuongoze na kutuonyesha kwa vitendo how to run things🤝🤝🤝🤝
Kweli maana Waafrika hatuna akili.
 
dadeQ kumbe mpo peponi hapa hapa bongo? Haya Mimi ni JOBLESS.
 
Ardhi inarudishwa kwa wamiliki wake halali, blacks. Ratio ya wazungu Africa Kusini ni 7% lakini wanamiliki 70% ya ardhi yote ya kilimo, hii haikubaliki na ni wendawazimu.
Sasa kama hamuwezi Kuzalisha ulitaka amiliki nani?

Harafu hao Wazungu wame incur costs za kutosha hapo bila kuwafidia halikubaliki.

Pia hao mafukara mnaowapa Ili wafanyie nini?

Mbona Zimbabwe wamerudishiwa?
 
Lengo hapo ni maslahi ya Kisiasa na mambo yakihatibika wao Wanasiasa wataendelea kuneemeka huku wale waliodai kupewa ardhi hawana hata play ya kulimia 😁😁
 
Alichukua likiwa pori na ameshaloendeleza hapo.

Pia miaka hiyo nani ana ushahidi kwamba walimpora mtu?
 
Kwani maendeleo ni majengo marefu?
 
Ni ufukara wa kuganga njaa Kwa kwenda mbele.
 
Alichukua likiwa pori na ameshaloendeleza hapo.

Pia miaka hiyo nani ana ushahidi kwamba walimpora mtu?
UShahidi upo mkubwa tu makaburu walitunga sheria 1913 inaitwa native land act, wakapora mashamba ya watu weusi kwa kupitia mfumo wa apartheid kwamba priority anapewa mzungu, na baba yake musk ni mmoja ya wamilikiwakubwa wa ardhi aliyopora kwa kupitia sheria hii
Na acheni kujidharau , 1913 waafrika walikuwa wanajitosheleza kwa chakula tena bila ya haya gmo,
DUniani kote usipoendeleza ardhi serikali inachukua bila ya compensation hata hapa tanzania, kwa nini hawa makaburu wajione wao wapo above the law? Trump na marekani wakati waafrika kusini wanaporwa ardhi yao na kuuliwa wao walikuwa wapi? huku kila aliyepinga aliitwa gaidi
 
MODS!!!🤗🤗🤗

ACHENI UZI UPUMUE,HAWA WASOUTH LAZIMA WAAMBIWE UKWELI🤝

📌📌UKWELI NI MCHUNGU NA NI DAWA ILA HAKUNA JINSI, LAZIMA MGONJWA APEWE DAWA ATAKE ASITAKE!!!

Tatizo wasouth hawapo humu kusoma uzi wako.
 
Wewe laana yako ni ya nini ?
Ni kama laana yako tu, chuki, ubinafsi, tamaa, kichwani hamna maarifa mapya/ubunifu!
ngono tu na wanawake wenye matako makubwa ndo wazo lililotawala ubongo!
majivuno mengi account hamna kitu!
ubongo mkubwa IQ kiduchu!
wizi, ulevi!
Kijisifu uwezo wa kutombana muda mrefu
Kusema uongo uliopitiliza
CHAGUA LAANA YAKO KATI YA HIZO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…