Watu weusi na kazi za ulinzi

Daaah mkuu umewahi experience nn maana umeongea uhalisia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Š
 
sasa wezi wakija hata mlinzi wanakuonea huruma akuue wa nini una maisha magumu anakutia kabali za kamba anakutupa huko anaiba anaondoka zake, kumuua mlinzi ni kumuonea tuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, wezi wanakuacha uhangaike na maisha yako magumu.
 
Serikali ndivyo inapenda watu waishi maisha duni, elimu duni waendelee kuwatawala hadi wajukuu zenu.
ndo tujikwamue sasa tuache kucheza na kazi za kindezi ndezi, TUWAZE KUWA JUA walau tukishindwa kuwa JUa tukawe mwezi au nyota
 
Wezi wanakuvua shati wanakufunga kamba alafu shati yako wanakuingizia mdomoni ili usipige kelele
 
Mkuu unajua China kuna walinzi Wachina pia?
 
Wazungu wanaokuja huku wengi ni wasomi na wanauwezo flani hivi,kwahiyo hawawezi kufanya kazi za ulinzi,na hata watu weusi kutoka huku kwetu wanaokwenda kule ulaya nao ni hivyo hivyo,wana vielimu vyao flani hivi au pesa za kutosha hivyo huwezi kuwakuta kwenya mageti ya wazungu wanalinda...
 
Wezi wanakuvua shati wanakufunga kamba alafu shati yako wanakuingizia mdomoni ili usipige kelele
aah kudadek iyo kweli kabisa wanakutia shati na vest ndomoni wanaiba wanakuacha apo, na vibao wana kuzabua
 
Mkuu unajua China kuna walinzi Wachina pia?
wale wanalinda na robot mlinzi ana zimonitor zile robots, ila huku sisi unawajua walinzi wetu ni wale wazee wazee walevi levi hivi, saa tatu kasha lala lindoniπŸ˜€ kajichokea.
 
Wezi wanakuvua shati wanakufunga kamba alafu shati yako wanakuingizia mdomoni ili usipige kelele
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ŠπŸ˜πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜ŠπŸ˜‚
 
ndo tujikwamue sasa tuache kucheza na kazi za kindezi ndezi, TUWAZE KUWA JUA walau tukishindwa kuwa JUa tukawe mwezi au nyota
Hilo ni ngumu, mfumo wa kiuongozi tayari upo corrupted.

Watakaotiboa ni wale wenye uwezo mkubwa kiakili, kifikra, uthubutu plus bahati n.k sio kila mtu huo uwezo anao.

Tuna safari ndefu ..
 
kuna wahindi wamezaliwa kisutu mbona sio walinzi?
 
Yaani unategemea wahindi na Wazungu wafanyekazi za ulinzi hapa TZ? Nenda India na Ulaya/USA utawakuta walinzi wa Kihindi na Kizungu. Tatizo lako exposure bado ni ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…