Watu weusi na kazi za ulinzi

Watu weusi na kazi za ulinzi

Kwa uwiano gani kwa hizo race uliowataja?Nyie ndio wenye shida kinda Nchi za Wengine na Kufanya kazi za hadhi ndogo,sasa unategemea Mzungu atoke kwao kuja Kufanya kazi ya ulinzi au bodaboda au ukuli?
 
Tunapenda au akili zetu ndo zimeishia hapo.?
Utavyovimiliki ni matokeo ya size ya akili yako iwe gari,mke,nyumba,kazi,marafiki,uongeaji.
 
Yaani unategemea wahindi na Wazungu wafanyekazi za ulinzi hapa TZ? Nenda India na Ulaya/USA utawakuta walinzi wa Kihindi na Kizungu. Tatizo lako exposure bado ni ndogo sana.
Uwe unaelewa nimetolea mfano Tanzania, bado nikaja nikaeleza hapa hapa Tanzania tuna wahindi wazawa, ni watanzania wenzako wako pale kisutu na kariakoo wamejazana, kwanini wao sio walinzi? Exposure yako inakusaidia nn sasa kama hauna akili?
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Ila kwakweli tuoneane huruma. Mtu ni mlinzi analipwa laki na nusu, yaan elfu Tano Kwa siku. Mbu wake, baridi lake, matusi yake. Kujitambua na kuwa na hasira ya maisha ni jambo la muhimu Sana.
 
Tatizo comfort zone mtu anataka apate mshahara kwa kutumia macho bila kuzungusha brain.
 
wale wanalinda na robot mlinzi ana zimonitor zile robots, ila huku sisi unawajua walinzi wetu ni wale wazee wazee walevi levi hivi, saa tatu kasha lala lindoni😀 kajichokea.

China yote wanalinda na robots?
 
Katika pitapita zako wapi?

Yaani na akili yako kabisa unataka umkute mbuzi kwenye zizi la nguruwe? Tangu lini?
Wewe umezaliwa bongo,umekulia hapa hapa,sasa unataka umkute mwarabu au muhindi akilinda bongo kwani Tz ni kwao? Kwasababu kuna kzi ambazo syo rahisi mtu akafanya nje ya country of origin yake.
 
Sisi watu weusi sijui nani alituroga, mimi katika pita pita zangu hapa Tanzania sijawahi kukuta mlinzi wa kihindi au au wa kiarabu, mlizi wa kizungu au wa kichina, ila sisi ngozi nyeusi ndo tunapenda penda kazi za ulinzi, kushinda magetini na manguo ya dark blue, ukiona ndugu yako ana taka kazi za ulinzi kemea sana pepo hilo, mzabe vibao akatafute kazi nyingine, hii tumezidi.

Tunakua na maisha duni kwa sababu tunapenda kazi za chini chini, shule tunakimbia umande, hatutaki kujituma ndo tunaishia kushinda kufungua mageti maisha yetu yote. Kwanini sio wachina sio wahindi au wazungu wao wasiwe walinzi? tusome bas kama wao, tumejazana huko ma Gardaworld kama makenge yasio na mwelekeo.

Walinzi wa kizungu utawakuta kwenye embassy zao kama US Embasy , British council na balozi zingine, ila humu kwenye mastoo na magodauni ndo sisi tunazaliana humo, tunalinda na mapanga na masululu shwain kabisa sisi chakula maandazi na mihogo.


Mbona uindini walinzi wao ni waindi hao hao? Dunia nzima hizo ni kazi za wenyeji na ni za chini....
 
Kwani na huko india walinzi ni wabongo nako??
 
Hahaha hao walinzi ndio huwa wana panda vyeo wanakuwa usalama wa Taifa, wana vishwa suti nyeusi na miwani myeusi, wanaivaa muda wote hadi usiku.

Wakali hao utadhani wanamlinda MUNGU.
 
Sisi watu weusi sijui nani alituroga, mimi katika pita pita zangu hapa Tanzania sijawahi kukuta mlinzi wa kihindi au au wa kiarabu, mlizi wa kizungu au wa kichina, ila sisi ngozi nyeusi ndo tunapenda penda kazi za ulinzi, kushinda magetini na manguo ya dark blue, ukiona ndugu yako ana taka kazi za ulinzi kemea sana pepo hilo, mzabe vibao akatafute kazi nyingine, hii tumezidi.

Tunakua na maisha duni kwa sababu tunapenda kazi za chini chini, shule tunakimbia umande, hatutaki kujituma ndo tunaishia kushinda kufungua mageti maisha yetu yote. Kwanini sio wachina sio wahindi au wazungu wao wasiwe walinzi? tusome bas kama wao, tumejazana huko ma Gardaworld kama makenge yasio na mwelekeo.

Walinzi wa kizungu utawakuta kwenye embassy zao kama US Embasy , British council na balozi zingine, ila humu kwenye mastoo na magodauni ndo sisi tunazaliana humo, tunalinda na mapanga na masululu shwain kabisa sisi chakula maandazi na mihogo.
Wewe toka hujazaliwa, mpaka unazaliwa,mpaka malezi yako yote, umejazwa ujinga wa kuwa mfanyakazi sehemu fulani, tena unalelewa kwa kukumbushwa kumbushwa, kusomeshwa ujinga, mara kwa mara kuwa "mwanamme hachaguwi kazi".

Kwa ufupi, Mzungu usukani (steering).
Mwarabu injini (engine).
Mhindi gea boksi (gear box).

Wewe, mwenzangu na mie, ni matairi (tyres). Mzigo mzito, wako, njia mbovu, zako. Tope, lako. Mavi yako, uchafu wako.

Unategemea nini zaidi? Muujiza tu.
 
Mkuu ni wazi una ufahamu na uwezo mdogo wa kuchambua mambo.

Unatakiwa kwanza ujue wageni hao uliowataja hawaruhusiwi kufanya kazi zinazoweza kufanywa na raia/wenyeji wao.

Wachina waje kufungua mageti hapa si mtaandamana kama walivyokuja kuichukua kariakoo, na wachina hawashindwi ila ni hatari kuwa na wageni wa hivyo nchini. Hilo unatakiwa kulijua pia. Maana unaweza kuwa na taifa lenye raia wa kigeni wa hovyo sana, hasa wahalifu waliotumikia vifungo huko kwao wakatupiwa Afrika huku. (Wachina wengi wapo hivyo)

Pia tofautisha taasisi binafdi na za kiserikali
 
Sisi watu weusi sijui nani alituroga, mimi katika pita pita zangu hapa Tanzania sijawahi kukuta mlinzi wa kihindi au au wa kiarabu, mlizi wa kizungu au wa kichina, ila sisi ngozi nyeusi ndo tunapenda penda kazi za ulinzi, kushinda magetini na manguo ya dark blue, ukiona ndugu yako ana taka kazi za ulinzi kemea sana pepo hilo, mzabe vibao akatafute kazi nyingine, hii tumezidi.

Tunakua na maisha duni kwa sababu tunapenda kazi za chini chini, shule tunakimbia umande, hatutaki kujituma ndo tunaishia kushinda kufungua mageti maisha yetu yote. Kwanini sio wachina sio wahindi au wazungu wao wasiwe walinzi? tusome bas kama wao, tumejazana huko ma Gardaworld kama makenge yasio na mwelekeo.

Walinzi wa kizungu utawakuta kwenye embassy zao kama US Embasy , British council na balozi zingine, ila humu kwenye mastoo na magodauni ndo sisi tunazaliana humo, tunalinda na mapanga na masululu shwain kabisa sisi chakula maandazi na mihogo.
Kuna muda ugumu wa maisha unakusukuma kufanya shughuli yoyote iliyo rasmi ili kujikwamua.

Ulinzi hasa katika nchi zisizoendelea( zisizo na ustaarabu) ni kazi ngumu yenye kila aina ya dharau na risk. Mishahara midogo nk. Walinzi wengi wamejazana magerezani kwa kesi hata haziwahusu.

Tumuombe Mungu atufanyie wepesi lakini tusichague kazi, tutakufa njaa
 
CIA
MOSAD
FBI
Miongoni mwa mashirika mengine ya usalama nao ni WALINZI.

ULINZI ni kazi kama kazi zingine labda kama unazungumzia mishahara Duni hapo tunaweza kujadili.

Yaani unavyomwona JWTZ, TISS, TANPOL, MAGEREZA, UHAMIAJI wote ni WALINZI hao
 
Mkuu ni wazi una ufahamu na uwezo mdogo wa kuchambua mambo.

Unatakiwa kwanza ujue wageni hao uliowataja hawaruhusiwi kufanya kazi zinazoweza kufanywa na raia/wenyeji wao.

Wachina waje kufungua mageti hapa si mtaandamana kama walivyokuja kuichukua kariakoo, na wachina hawashindwi ila ni hatari kuwa na wageni wa hivyo nchini. Hilo unatakiwa kulijua pia. Maana unaweza kuwa na taifa lenye raia wa kigeni wa hovyo sana, hasa wahalifu waliotumikia vifungo huko kwao wakatupiwa Afrika huku. (Wachina wengi wapo hivyo)

Pia tofautisha taasisi binafdi na za kiserikali
Kampuni ipo inaitwa China Tanzania Security Company Ltd wanaajiri watanzania usenge ni kule juu, unajua haya makampuni ujinga wake ni kitu kimoja tu yangekuwa yanaendeshwa na wenyewe km wenyewe (wageni au wahusika wa makampuni) nakwambia wafanyakazi wa haya makampuni wangekuwa wanaishi maisha mazuri sana nazungumzia walinzi na wasingekua wakidharauliwa ila shida ni moja tu na hio ni shida kubwa kubwa kubwa mnooooooooo kule juu narudia kule juu kwenye uongozi wanaajiri wabongo sasa hapo ndio balaa la ukandamizaji linapoanzia hawa wageni hawana tatizo ila tatizo lipo kwa wabongo wanaoajiriwa kwenye zile nyadhifa za juu ukianza na mkurugenzi, meneja, mwasibu, hr, supervisor yaan hawa woooooote wabongo sasa hapo ndio kisanga kinapoanzia yaan yanaibuliwa mambo ya kishenzi mpaka kazi inaonekana ya kifala na inaonekana km kazi fulani ya laana hivi sababu kule juu kuwekwa wabongo kwenye makampuni ya kigeni au local wanaanza kuwakandamiza wabongo wenzao walio kwenye nafasi za chini tena wanawakandamiza haswa wanahakikisha kwamba hawapumui kabisa yaani wanakandamiza na kukandamiza

Ila katika kazi zenye malipo mazuri ni hizi nasema zina malipo mazuri sababu wale wa juu ndio wanalipwa vizuri wakati kazi ya kulinda hawafanyi wao kwa hio wanawaminya hawa wa chini wanawafanyia kazi kisha kwenye malipo wanaminya pia wao wanachukua kikubwa hawa wanaofanya kazi wanapewa kidogo hapa nadhani km una akili unaweza ukanielewa ninachomaanisha ipo hivi kua mteja anachukua walinzi 20/25 labda tufanye anasema hapa kila kichwa nitakilipa 1M au 1.5M kila kichwa maana yake kwa mwezi anaiingizia kampuni 20M/25M kadrio la chini unanielewa? Katika hio 1M au 1.5M unakuta mlinzi anapewa 150k upto 300k tu yaan hapo hajapigwa pigwa mapanga ya hapa na pale akipigwa pigwa mapanga anajikuta kwa mwezi ana 90 au 100 amejitahidi sana 200 mfukoni sasa km sio laana ni nini? Na kule juu wanaokamua hela hawakatwi hata sumni wanapiga hela wao wanapaua majumba ila wewe mlinzi uliepo huku chini kujenga nyumba utakusikia kwenye bomba kodi kula kwa shida na tabu kazi unafanyia wengine unanufaisha wengine kwenye 10 unayoitolea jasho mwenyewe unapewa 1 na 9 unapokonywa inatumiwa na wengine wanaokuminya uwafanyie kazi kwa ujira mdogo

Na tatizo ni kule juu tu wakiwekwa wabongo tu wanaanza kuwaminya wabongo wenzao waliopo nafasi za chini huku wanawafanyia visavisa vya ajabu ajabu mara wanawatungia ma-bylaws ya ajabu ajabu na makanuni na masheria ya kutungatunga ya ajabu ajabu tu kuwatishatisha na kuwafanya waone wanafanya kazi gani isiyokua na maana yaan wanatengeneza mavituvitu ya kishenzi mara kuwakata mishahara yao kishenzi kishenzi tu baasi tu mambo vululuvululu mwisho mtu anaona km anafanya kazi ya kulinda makaburi usiku watu wakiwa wamelala maana yeye ni kaburi namba 1 na wale anaowalinda ni makaburi mengine any time anything can happen yaan ni mtafaruku mtupu washenzi washenzi pesa wanaambiwa na Serikali makato ya wafanyakazi wenu yawekwe kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii washenzi wanakukata na pesa hawazipeleki kwenye mifuko wanazitafuna wenyewe ukienda kukagua ukakuta hawajaweka kitu ukirudi kuhoji unaanza kutishwa na pesa ni ya kwako mwenyewe na umefanya kazi mwenyewe kuhatarisha uhai wako maana ni kazi ya kifo muda wowote lolote linaweza likatokea unakufa na ukiwauliza wanaleta upuuzi wa sheria na bylaws zao za kukutishatisha kukufukuza kazi yaan kazi ya ulinzi inaonekana ni kazi kifala na ya laana sababu ni uongozi wa makampuni kuajiri watu (wabongo) kule juu wanaofanya madili yao wenyewe bila kujali wafanyakazi wa kampuni na mfanyakazi akisema awapandishie sauti jibu linakua moja tu tunakufukuza kazi hatukutaki na hatutaki kufanya kazi na wewe, kwa hio walinzi wengi wengi wengi ukiwaona hawana furaha sura zao zimejaa huzuni kuchanganyikiwa na kazi wanayoifanya ni kazi moja ya laana mno na watu wanaoifanya ionekane kazi ya laana ni wale wabongo waliopo kwenye ngazi za juu za uongozi mbongo sio mtu mzuri jamani sio mtu mzuri mbongo akiwa kwenye nafasi ya juu wewe upo chini sio mtu mzuri mbongo hususani kwenye haya makampuni ya kigeni hata local wewe mbongo muone hivyo hivyo ila mbongo hafai unaweza usiamini hiki ninachokuambia ila ndio ipo hivyo
 
Back
Top Bottom