Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Hivi wazungu kwanini wananuka,tatizo ni nini ?

Wazungu niliowahi kukaa nao huwa wanakaharufu furani hivi kabovu na usiombe awe ameloana na mvua
Waafrika tunanuka wazungu wananukia tuache kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.Kama unabisha panda dala dala na panda kwenye truck lililosheheni watalii wazungu utaelewa.
 
Mawazo yako
 
Na ndio maana alienda kujificha misri kipindi cha herode coz alikua anafanana na watu wa kule
Yesu alikuwa Muisrael aliyezaliwa mjini Bethlehem. Waisrael ni Watu weusi? Ni Wabantu?
 
Umepewa aina tatu za blacks bado umeng'ang'ania wabantu.unaongea kwa ushabiki na hisia kuliko uhalisia
Unaweza kuthibitisha kuwa ni Wabantu / watu weusi ndio waliodesign na kujenga Old Pyramids mpaka za Mexico?

Ni miaka ipi waliishi na kujenga pyramids huko Mexico?
 
Haswaa...!

If we failed to fight them...we should join them.
 
Hizo hesabu,formula au aina za hesabu alizoanzisha Mtu mweusi ni zipi?
 
 

Duuh, mifano ya Miungu yao iliyo watu weusi ni kama ipi? Vishnu?
 
Uongo Mtupu.
 
Wabantu wenye pua pana, lips pana iliyosambaa na nywele ngumu hawakufanya lolote katika Ancient world zaidi ya kujificha mapangoni kisha kwenye nyumba za tembe na kuzaliana tu.

Waliishi katika milima ya Cameroon kisha baadae wakafunguka na kuja kutoa viongozi wachache shupavu kama Shaka Zulu, Mkwawa na Kabaka ila hawakuwa wagunduzi wa silaha na mfumo wa utawala wenye nguvu nyingi.

Ukoloni ulivyokuja ukawaonesha kuwa wao si lolote kwa watu weupe.

Historia ya Mbantu inaishia hapo.

NB: Waethiopia wenye historia tangu katika dunia ya zamani sana (Ancient world) sio Wabantu asilani.

Hata Emperor Haile Selassie alibeba damu ya kiisrael kutoka kwa bibi yake yaani Queen of Sheba.

 
Wabantu wenye pua pana, lips pana iliyosambaa na nywele ngumu hawakufanya lolote katika Ancient world zaidi ya kujificha mapangoni kisha kwenye nyumba za tembe na kuzaliana tu
So kweli, wao walistaarabika kitambo, MTU alitoka Africa mweusi akaenda kote duniani, zeruzeru walikuja baadae sana, mbona kuna ushahidi wa ustaarabu wa hali ya juu Zimbabwe na Sudani kusini, miongoni mwa hao wabantu babuzo uwachukiao michoro ya mapangoni imetapakaa duniani kote alichora nani?
Sifa hizo za wabantu ulizozisema ndio wataaluma wamesema zilikuwa za wa misri wa zamani, Azraeli baada ya kupatamaarifa una kengeuka tena? Pia una leta maneno bila ushahidi, kwetu sisi mweusi ni mbantu,muhadzabe, mmasai babu ya hayo tustsi Somali na habeshi yaani vizazi vya wa mbulu na wa Iraq, pia ndio chanzo cha weupe, ambao tuliwafukuza mazeruzeru wakakimbilia uhamishoni na kuoana wao kwa wao ndio chanzo cha weupe hao, mbona mzungu alikuwa vyoo vya shimo mpaka majuzi tu hapa karne ya 15-16, 17 nyie mnabisha bila ushahidi mambo ambayo wao wamekiri kwa ushahidi, mgunduzi wa gari, chanjo ya polio na baruti walikuwa watu weusi
 
Hata Emperor Haile Selassie alibeba damu ya kiisrael kutoka kwa bibi yake yaani Queen of Sheba.
Yaani MTU mkongwe abebe damu ya MTU wa juzi, wakati wa misri na Ethiopia ya zamani waisraeli hawakuwepo, alafu kitabu mnachokitumia kama ushahidi na rejea biblia, cha huyo huyo myahudi, kitabu ambacho imashakubaliwa kwamba so cha kihistoria Bali ngano
 
Ukoloni ulivyokuja ukawaonesha kuwa wao si lolote kwa watu weupe.
Unayo chuki na dharau binafsi kwa wabantu,lakini mbegu ya binadamu ikianzia kwa MTU mweusi ni mafungu matatu na vitawi vyake narudia tena ni Bantu, nilotiki na kushitiki kama nilivyo Kwisha sema, kizazi cha watu wote duniani
Unabisha kwa ushahidi gani? Misingi tuliiweka sisi, ni fact za kisayansi wa we unaletamaneno yako tu????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…