Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Hivi wazungu kwanini wananuka,tatizo ni nini ?

Wazungu niliowahi kukaa nao huwa wanakaharufu furani hivi kabovu na usiombe awe ameloana na mvua
Waafrika tunanuka wazungu wananukia tuache kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.Kama unabisha panda dala dala na panda kwenye truck lililosheheni watalii wazungu utaelewa.
 
Tunalogana,tulikuwa uchi mpaka leo wazungu wanakuja kumuona mtu anaitwa Masai kisa kaambiwa ni mdogo wake zinja thropus.mpaka leo wahadzabe unawatengenezea shule wanaikimbia na kuhama,Tumeachiwa mikorosho na wakoloni ikazaa wakati wa kuuza tukaongeza na mawe ili kilo zipande,hata vyoo ni kwa hisani ya watu wa Marekani.Tunatenga viumbe wa Mungu na kuwaua (albino) kisa utajiri akili za uvivu hizi leo useme tulikuwa wastaarabu tunakunya maporini.SISI TUNA UZEZETA WA ASILI HATA ELIMU YETU IMESHINDWA KUUONDOA WE ARE SHITHOLES IN DEED
Mawazo yako
 
Na ndio maana alienda kujificha misri kipindi cha herode coz alikua anafanana na watu wa kule
Yesu alikuwa Muisrael aliyezaliwa mjini Bethlehem. Waisrael ni Watu weusi? Ni Wabantu?
 
Umepewa aina tatu za blacks bado umeng'ang'ania wabantu.unaongea kwa ushabiki na hisia kuliko uhalisia
Unaweza kuthibitisha kuwa ni Wabantu / watu weusi ndio waliodesign na kujenga Old Pyramids mpaka za Mexico?

Ni miaka ipi waliishi na kujenga pyramids huko Mexico?
 
Labda niulize swali kwenye ugomvi wa ngumi anayeshinda ina maana ana nguvu kuliko aliyeshindwa sio?

Kama mzungu aliweza kupandikiza kuanzia dini, elimu, siasa na kufanikiwa kufutilia mbali kila kitu chetu, hiyo si inamaana alikuwa advanced na mwenye nguvu kuliko sisi?

Ukishindwa kwenye lolote lile ina maana uwezo wako upo chini ya aliyekushinda, vinginevyo sisi ndo ilibidi tupeleke dini, elimu, siasa na mfumo mzima wa elimu kwao. Sisi ndo ilibidi tukawachukue wao kama makoloni

Story za kujifariji zipo nyingi na tunatamanai zingekua kweli ila uhalisia unakataa. Hadi leo bado tupo pale pale tutaishia kujifariji kwa story za kusadikika tu za miaka ya kale
Haswaa...!

If we failed to fight them...we should join them.
 
Haya ndugu, nakuelewa, shida zikizidi, MTU hata huwezi kufikiri tena, tuko pamoja ndugu yangu, sina cha kukubishia, ikiwa kesho yako huijui, mambo ya zamani huko yanisaidia nini? Sawa ndugu basi tujikwamue tu kama tulivyo, tukisha toka shimoni, tuanze kutaftana, alilichimba shimo naniiiii!!!!!??????????
Nimekuelewa ndugu yangu
Hizo hesabu,formula au aina za hesabu alizoanzisha Mtu mweusi ni zipi?
 
Asante ndugu, alopandikiza mbegu ya ubaguzi wa rangi ni ibilisi, kote duniani ni MTU mweusi baba wa maendeleo, dunia ya zamani taswira ya Mungu alikuwa MTU mweusi, angalia asili ya dini za China na India, miungu yao mikuu ni watu weusi, asante ndugu, pole pole tutafika, chuki ilianza kama miaka 1500 iliyopita...kikubwa hapa MTU mweusi ni ajitambue, na kujikumbuka, kwenye tasnia ya magonjwa ya akili uko mmoja unaitwa amnesia, MTU kupoteza kumbukumbu zake,wengine baada ya kupata ajali, anapoteza kila kitu, anaanza moja, lakini kuna Siku kitu Fulani kikimtokea, wengine alididokewa na Nazi kichwani Basi kumbukumbu zote zina rudi ghafla, Mungu atusaidie tujikumbuke
Na ndivyo hivyo, hata Muhammad alijua dunia hii itabarikiwa mweusi akirudi nyumbani kwake, kufanya ibada zake
 
Asante ndugu, alopandikiza mbegu ya ubaguzi wa rangi ni ibilisi, kote duniani ni MTU mweusi baba wa maendeleo, dunia ya zamani taswira ya Mungu alikuwa MTU mweusi, angalia asili ya dini za China na India, miungu yao mikuu ni watu weusi, asante ndugu, pole pole tutafika, chuki ilianza kama miaka 1500 iliyopita...kikubwa hapa MTU mweusi ni ajitambue, na kujikumbuka, kwenye tasnia ya magonjwa ya akili uko mmoja unaitwa amnesia, MTU kupoteza kumbukumbu zake,wengine baada ya kupata ajali, anapoteza kila kitu, anaanza moja, lakini kuna Siku kitu Fulani kikimtokea, wengine alididokewa na Nazi kichwani Basi kumbukumbu zote zina rudi ghafla, Mungu atusaidie tujikumbuke
Na ndivyo hivyo, hata Muhammad alijua dunia hii itabarikiwa mweusi akirudi nyumbani kwake, kufanya ibada zake

Duuh, mifano ya Miungu yao iliyo watu weusi ni kama ipi? Vishnu?
 
Mkuu hao watu weusi wanaozungumziwa hapa walishakufa miaka 5000 huko imeshapita na kila kitu chao kimeshakufa hakuna tena kilichobakia.
Sawa walikuwa wastaarabu wakaenda huko kwa wazungu wakawafundisha ustaarabu kisha muda wao wa kuishi duniani ukawa umefika hivyo wakafa hivi sasa WAMEREST IN PEACE.
Uongo Mtupu.
 
Wabantu wenye pua pana, lips pana iliyosambaa na nywele ngumu hawakufanya lolote katika Ancient world zaidi ya kujificha mapangoni kisha kwenye nyumba za tembe na kuzaliana tu.

Waliishi katika milima ya Cameroon kisha baadae wakafunguka na kuja kutoa viongozi wachache shupavu kama Shaka Zulu, Mkwawa na Kabaka ila hawakuwa wagunduzi wa silaha na mfumo wa utawala wenye nguvu nyingi.

Ukoloni ulivyokuja ukawaonesha kuwa wao si lolote kwa watu weupe.

Historia ya Mbantu inaishia hapo.

NB: Waethiopia wenye historia tangu katika dunia ya zamani sana (Ancient world) sio Wabantu asilani.

Hata Emperor Haile Selassie alibeba damu ya kiisrael kutoka kwa bibi yake yaani Queen of Sheba.

 
Wabantu wenye pua pana, lips pana iliyosambaa na nywele ngumu hawakufanya lolote katika Ancient world zaidi ya kujificha mapangoni kisha kwenye nyumba za tembe na kuzaliana tu
So kweli, wao walistaarabika kitambo, MTU alitoka Africa mweusi akaenda kote duniani, zeruzeru walikuja baadae sana, mbona kuna ushahidi wa ustaarabu wa hali ya juu Zimbabwe na Sudani kusini, miongoni mwa hao wabantu babuzo uwachukiao michoro ya mapangoni imetapakaa duniani kote alichora nani?
Sifa hizo za wabantu ulizozisema ndio wataaluma wamesema zilikuwa za wa misri wa zamani, Azraeli baada ya kupatamaarifa una kengeuka tena? Pia una leta maneno bila ushahidi, kwetu sisi mweusi ni mbantu,muhadzabe, mmasai babu ya hayo tustsi Somali na habeshi yaani vizazi vya wa mbulu na wa Iraq, pia ndio chanzo cha weupe, ambao tuliwafukuza mazeruzeru wakakimbilia uhamishoni na kuoana wao kwa wao ndio chanzo cha weupe hao, mbona mzungu alikuwa vyoo vya shimo mpaka majuzi tu hapa karne ya 15-16, 17 nyie mnabisha bila ushahidi mambo ambayo wao wamekiri kwa ushahidi, mgunduzi wa gari, chanjo ya polio na baruti walikuwa watu weusi
 
Hata Emperor Haile Selassie alibeba damu ya kiisrael kutoka kwa bibi yake yaani Queen of Sheba.
Yaani MTU mkongwe abebe damu ya MTU wa juzi, wakati wa misri na Ethiopia ya zamani waisraeli hawakuwepo, alafu kitabu mnachokitumia kama ushahidi na rejea biblia, cha huyo huyo myahudi, kitabu ambacho imashakubaliwa kwamba so cha kihistoria Bali ngano
 
Ukoloni ulivyokuja ukawaonesha kuwa wao si lolote kwa watu weupe.
Unayo chuki na dharau binafsi kwa wabantu,lakini mbegu ya binadamu ikianzia kwa MTU mweusi ni mafungu matatu na vitawi vyake narudia tena ni Bantu, nilotiki na kushitiki kama nilivyo Kwisha sema, kizazi cha watu wote duniani
Unabisha kwa ushahidi gani? Misingi tuliiweka sisi, ni fact za kisayansi wa we unaletamaneno yako tu????
 
Back
Top Bottom